Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Hao wapuuzi wa kijani wanahitaji maombi tuMakada wa CCM hawawezi kuelewa hiyo comment yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wapuuzi wa kijani wanahitaji maombi tuMakada wa CCM hawawezi kuelewa hiyo comment yako
Bado unaumwa tena..aisee tuendelee kukuombeaHuyu jamaa atapiga mayowe hadi sauti itamkauka. Si aende tu akashitaki umoja wa mataifa?
Nenda kamuombee huyo mgonjwa wako huko ubelgiji.Bado unaumwa tena..aisee tuendelee kukuombea
Makonda ni suspect kwenye mazingira ya kihisia tu hakuleti ulazima wa yeye kuwa interrogated.
Watu wa kuwahoji tena ikiwezekana wafanyiwe torturing ni wale walinzi waliokuwa na wajibu wa eneo lote ambalo tukio lilifanyika.
Kitaratibu wale walinzi ndio wanapaswa kubanwa hasa maana waliaminiwa kulinda eneo lile kwa hiyo kitendo cha wao kuruhusu kitendo kile kitokee ni obvious walikuwa na taarifa na walifanya uzembe wa makusudi.Nani awatorte sasa ajipendi
wewe tunakufahamu, wewe ni moja kati ya waliompiga mhe lissu risasi, sasa unaona aibu kubwa ati hamukufanikiwa kumuua, mumetambua ya kuwa kuna mungu binguniHuyu jamaa atapiga mayowe hadi sauti itamkauka. Si aende tu akashitaki umoja wa mataifa?
Kitaratibu wale walinzi ndio wanapaswa kubanwa hasa maana waliaminiwa kulinda eneo lile kwa hiyo kitendo cha wao kuruhusu kitendo kile kitokee ni obvious walikuwa na taarifa na walifanya uzembe wa makusudi.
kuna video ya hao watu waliompiga risasi lissu, na pia iko mawasiliano kati ya makonda na wao, muda wafaka ukifika ushahindi utawekwa wazi, na makonda ataishi segerea maisha yake yote, subiri tu mkuu, niko na video ya tokeo zima kabisaSiku baada ya shambulio(tarehe 8/09/2017), alionekana Morogoro anapiga tizi majira ya asubuhi, akinyosha misuli baada ya kazi nzito jana yake...
mulitaka awe ako kaburini sasa, lakini mungu ni mkubwa kuliko nyinyi wanafiki wa UVCCMInasikitisha sana mwanasheria msomi anaongea kwa hisia badala ya facts.
I predict his spiral down fall even to beat the constant gravitational force.
Hakika ipo siku tu hata kama muhusika akiwa katangulia mbele za hakiAwamu nyingine labda.Ila Kwa Mola wanayo hatia kuruhusu MILANGO shetani atende nia uovu.Wao pia karma haitowaacha Salama mikosi lzm iwaandame
Lowasa na ccm yake hakuna anaye wahitaji tena labda mkaongoze hukoo dodoma
Je ulisoma mpaka wapi, au darasa gani??????Lissu unakosea,kama ni 'mission' sio lazima ai excute yeye Makonda mwenyewe,unless Makonda ni mafia na yeye..anashika bunduki...na sio 'masterminder'...
Hints:
Tundu Lissu anasema kuwa siku aliyopigwa risasi ndio siku Rais Magufuli alikuwa akipokea ripoti ya makinikia.
Na masaa mawili kabla ya shambulio lake alitangazia umma kuwa kuna mtu anapiga kelele sana huko nje na katika vita jeshini watu wa namna hiyo ni sawa na wasaliti hivyo kazi huwa ni moja kuuliwa tu.
Kumbuka ripoti hiyo ilikuwa inakabidhiwa jijini Dar huku mkuu wa mkoa wa mkoa huyo hakuwepo Dar alikuwa Dodoma.
Na cha ajabu eneo analoishi hulindwana masaa 24 na askari wenye silaha ila cha ajabu hawakuwepo kabisa katika viunga vya Area D.
Lakini hao Polisi wanaotaka kunihoji mimi hawajawai kumwita wala kumuhoji Makaonda akiwa kama suspect.
Na aliyesema anafaa kufa hajawai kuulizwa juu ya kauli yake.
Wala askari waliotakiwa kuwa lindo hawajawai kuulizwa walikuwa wapi siku ya tukio na nani aliwapa amri waondoke.
Unajua huu unafiki huu utafanya wengi msione mbingu.Inasikitisha sana mwanasheria msomi anaongea kwa hisia badala ya facts.
I predict his spiral down fall even to beat the constant gravitational force.
Rais wa mioyo ya wana ccm na kama hujui basi chukua hilo kuwa lowasa ni mwana ccm na yupo ccmUsitugeuza tuliompigia deki barabara ni wajinga bro....
Raisi wa mioyo ya watanzania
Unajua huu unafiki huu utafanya wengi msione mbingu.
Sijapata ona watu wanafiki kama nyinyi.
Nani anayepaswa kuthibitisha kwa mwenzake aliye sahihi??
Lissu ni Muhanga, usomi ni usomi ,nakam muhanga lazima atape tape iwe ni hisia za kweli au za uongo.
Je Makonda alishawah jitokeza kemea shutuma zakihisia za Lissu??
Je Serikal imeshafanya nn, kumfanya Lissu aamini kua hisia zake ni zauongo??
Mwisho niseme, ACHA KULOPOKA SABABU UNA MDOMO, kuna nyakati unapaswa uunganishe kaubongo kako kakuvukia barabara na mdomo wakokubwa kisha uongee!!
Minafiki kama nyinyi huwa nawaita MAKALIO!!!
Kuna siku ukweli utajulika..... Leo, Kesho Ama keshokutwa.Huyu jamaa atapiga mayowe hadi sauti itamkauka. Si aende tu akashitaki umoja wa mataifa?
Rais wa mioyo ya wana ccm na kama hujui basi chukua hilo kuwa lowasa ni mwana ccm na yupo ccm