Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hints:
Tundu Lissu anasema kuwa siku aliyopigwa risasi ndio siku Rais Magufuli alikuwa akipokea ripoti ya makinikia.
Na masaa mawili kabla ya shambulio lake alitangazia umma kuwa kuna mtu anapiga kelele sana huko nje na katika vita jeshini watu wa namna hiyo ni sawa na wasaliti hivyo kazi huwa ni moja kuuliwa tu.
Kumbuka ripoti hiyo ilikuwa inakabidhiwa jijini Dar huku mkuu wa mkoa wa mkoa huyo hakuwepo Dar alikuwa Dodoma.
Na cha ajabu eneo analoishi hulindwana masaa 24 na askari wenye silaha ila cha ajabu hawakuwepo kabisa katika viunga vya Area D.
Lakini hao Polisi wanaotaka kunihoji mimi hawajawai kumwita wala kumuhoji Makaonda akiwa kama suspect.
Na aliyesema anafaa kufa hajawai kuulizwa juu ya kauli yake.
Wala askari waliotakiwa kuwa lindo hawajawai kuulizwa walikuwa wapi siku ya tukio na nani aliwapa amri waondoke.
Saa nane mchana wa leo.Kwani kuna masharti ya watu kuwepo Dodoma ? Basi kumbe Dodoma nzima iliatakiwa asiwepo mtu siku hiyo kwa kuwa Tundu Lisu atapigwa risasi.Naona hata wale tunaomshabikia Tundu Lisu
tutaanza kumchoka kwa sababu anayoongea hayana mashiko.Dodoma ndiyo makao makuu watu wasije ?
[emoji115]mbwa jike weweHuyu jamaa atapiga mayowe hadi sauti itamkauka. Si aende tu akashitaki umoja wa mataifa?
Mku nachojua Makonda hatakiwi kuwepo America lakini sio DodomaKwani kuna masharti ya watu kuwepo Dodoma ? Basi kumbe Dodoma nzima iliatakiwa asiwepo mtu siku hiyo kwa kuwa Tundu Lisu atapigwa risasi.Naona hata wale tunaomshabikia Tundu Lisu
tutaanza kumchoka kwa sababu anayoongea hayana mashiko.Dodoma ndiyo makao makuu watu wasije ?
HakikaMarekani wametuthibitishia watz hizi tuhuma kumhusu Bashite ambazo Lisu alikwisha zirusha hapo awali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa maswali ya kujiuliza ni mengi sana, Kama walioenda kumuuwa Lissu walikuwa na Nissan nyeupe Bashite aliiitoa wapi? Kama walioenda kumuuwa Lissu walikuwa na silaha za kivita na magazine zaidi ya moja( kwa mujibu wa idadi ya maganda ya risasi na matundu kwenye gari) walizitoa wapi hizi silaha?Kama walioenda kumuuwa Lissu walikuta geti lipo wazi Nani aliwafungulia geti na kuliacha wazi,na Kama ni walinzi walifungua geti walipolifungua walienda wapi? Na kama walioenda kumuuwa Lissu hawakumshirikisha Bashite,Sasa alienda kufanya nini Dodoma siku ya tukio wakati rais alikuwa Ikulu anapokea ripoti ya makinikia ambapo protocol inamtaka Bashite awe Ikulu. Naje walioenda kumuuwa Lissu ndo waliozitoa camera baada ya tukio? Je Kama angepigwa risasi hizo Lusinde au Ridh 1au Jenista au Prof Lipumba,raisi pamoja na spika wasinge mpigia simu akiwa hospital kumjulia MAENDELEO ya afya yake? Je angepigwa hizi risasi Mbatia akiwa Kilimanjaro na familia yake pamoja na chama chake wakaamua apelekwe Nairobi kwa matibabu bila kwenda Muhimbili,asingelipiwa garama za matibabu? Naje angenyimwa mshahara? Je Mbatia angepoteza ubunge? MASWALI NI MENGI NGOJA NIISHIE HAPA. Asante wajumbe wa Taifa(kigamboni) kwa kura zenu mmeliokoa taifa.Hakika
Maswali yasiyo saidia, Hata ukiuliza kwa sauti yatakusaidia kitu gani? Utavuna zao gani?Sasa maswali ya kujiuliza ni mengi sana, Kama walioenda kumuuwa Lissu walikuwa na Nissan nyeupe Bashite aliiitoa wapi? Kama walioenda kumuuwa Lissu walikuwa na silaha za kivita na magazine zaidi ya moja( kwa mujibu wa idadi ya maganda ya risasi na matundu kwenye gari) walizitoa wapi hizi silaha?Kama walioenda kumuuwa Lissu walikuta geti lipo wazi Nani aliwafungulia geti na kuliacha wazi,na Kama ni walinzi walifungua geti walipolifungua walienda wapi? Na kama walioenda kumuuwa Lissu hawakumshirikisha Bashite,Sasa alienda kufanya nini Dodoma siku ya tukio wakati rais alikuwa Ikulu anapokea ripoti ya makinikia ambapo protocol inamtaka Bashite awe Ikulu. Naje walioenda kumuuwa Lissu ndo waliozitoa camera baada ya tukio? Je Kama angepigwa risasi hizo Lusinde au Ridh 1au Jenista au Prof Lipumba,raisi pamoja na spika wasinge mpigia simu akiwa hospital kumjulia MAENDELEO ya afya yake? Je angepigwa hizi risasi Mbatia akiwa Kilimanjaro na familia yake pamoja na chama chake wakaamua apelekwe Nairobi kwa matibabu bila kwenda Muhimbili,asingelipiwa garama za matibabu? Naje angenyimwa mshahara? Je Mbatia angepoteza ubunge? MASWALI NI MENGI NGOJA NIISHIE HAPA. Asante wajumbe wa Taifa(kigamboni) kwa kura zenu mmeliokoa taifa.
Wewe kwako ni kelele.Iko siku inakuja kwako utajua kama ilikuwa kelele au kilio au muziki wa ala.Mungu akusaidie.Haki huinua taifa bali dhambi ni Aibu wa taifa.Taifa hili litabaki masikini milele.Huyu jamaa atapiga mayowe hadi sauti itamkauka. Si aende tu akashitaki umoja wa mataifa?
Kwa hiyoMaswali yasiyo saidia, Hata ukiuliza kwa sauti yatakusaidia kitu gani? Utavuna zao gani?
Hapa
Wote mshambuliwaji na mshambuliaji wanafanana.
Huyu anashambulia kwa maneno na yule kwa risasi. Iko Siku moja watabadilishana siraha mwengine maneno
Kama unamaswali unauliza huku wenyewe wanavuna walicjopanda.
maswali yako utavuna nini?
Ukweli ni kwamba hutavuna chochote zaidi ya kuwa shabiki wa Simba na Yanga , huku anaye lipwa ni mchezaji.
Sio kila mwajiriwa anapenda kuona wengine wakionewa,wakibaguliwa au kutotendewa haki Mungu ana watu wake kila mahali.Tambua kuwa tone moja la damu thamani yake ni kubwa.Linapopotea bila sababu,na anayesababisha tone hilo kudondoka bure ukawa ni wewe,basi subiri yatakayofuata.Kuna mtu anamwambia..kila analosema anasema "nimeambiwa"!! Huyu mtoa taarifa anayefanya kazi serikalini adhabu yake hasa ni ipi..?
Kwa mujibu wa maelezo yake Tundu lissu ana vyanzo vya taarifa kutoka Usalama wa Taifa, kutoka Polisi, kutoka Bungeni, kutoka Wizara ya Afya. Na kila sehemu ambao wanampa hizo taarifa nyeti.
Katika moja ya maelezo yake amesema hataki kumtaja huyo mtoa taarifa wake sabbu akimtaja "atauwawa"!!
Je huyu mtoa taarifa mara atakapogulika /ama watakapogundulika kufanya hivyo adhabu yao halisi huwa ni ipi?
Je, maadili yao ya kazi yanawaruhusu kutoa hizo habari?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wabongo bhanaLissu unakosea,kama ni 'mission' sio lazima ai excute yeye Makonda mwenyewe,unless Makonda ni mafia na yeye..anashika bunduki...na sio 'masterminder'...
Hints:
Tundu Lissu anasema kuwa siku aliyopigwa risasi ndio siku Rais Magufuli alikuwa akipokea ripoti ya makinikia.
Na masaa mawili kabla ya shambulio lake alitangazia umma kuwa kuna mtu anapiga kelele sana huko nje na katika vita jeshini watu wa namna hiyo ni sawa na wasaliti hivyo kazi huwa ni moja kuuliwa tu.
Kumbuka ripoti hiyo ilikuwa inakabidhiwa jijini Dar huku mkuu wa mkoa wa mkoa huyo hakuwepo Dar alikuwa Dodoma.
Na cha ajabu eneo analoishi hulindwana masaa 24 na askari wenye silaha ila cha ajabu hawakuwepo kabisa katika viunga vya Area D.
Lakini hao Polisi wanaotaka kunihoji mimi hawajawai kumwita wala kumuhoji Makaonda akiwa kama suspect.
Na aliyesema anafaa kufa hajawai kuulizwa juu ya kauli yake.
Wala askari waliotakiwa kuwa lindo hawajawai kuulizwa walikuwa wapi siku ya tukio na nani aliwapa amri waondoke.