Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikazie alikazieSawa
TAL alilizungumzia Hili pale Ikungi Singida
Kweli kuna watu wana roho mbaya sana. Na huu ulikuwa mpango wa magufuli baada ya kuifagia mifuko yo hifadhi. Sasa watu mishahara midogo na madeni isiyoisha na kupelekea kushindwa kufanya la maana wakati wote wa utumishi.
siyo mabubu hawana wawakilishi wa kuwasemea.waliowachagua ni makada wa ccm ambao sera yao ni kuwaibia wananchi tu basi.Hao wastaafu wote ni mabubu ?
Huna akiliHao wastaafu wote ni mabubu ?
wanadaiwa na bank gani?Wanasiasa hawawezi kuwasaidia,maana wao wanapata mafao Yao kamili na kukopa juu kama tundu na lema wanadiwa Hadi sasa.
Umesema kweli tupu! Yule jiwe alikuwa shetwaini mkubwa!Kweli kuna watu wana roho mbaya sana. Ma huu ulikuwa mpango wa magufuli baada ya kuifagia mifuko yo hifadhi. Sass watu mishahara midogo na madeni yasiyoisha na kupelekea kushindwa kufanya la maana wakati wote wa utumishi.
Unajipanya ulilipwa mafao yako ufanye kitu, kamati ya roho mbaya inakija na hicho kitu kinachoitwa kikokotoo. Hi inapelekea wastaafu wengi kifa mapema sana baada ya kustafu kea pressure
Mwambie huyo, hajui hata vyama vya wafanyakazi ni bosheni tu ya maccm, shenzi zao!siyo mabubu hawana wawakilishi wa kuwasemea.waliowachagua ni makada wa ccm ambao sera yao ni kuwaibia wananchi tu basi.
Mpaka lini tuta endelea kuwa mazezeta, mabubu, viziwi na waoga katika taifa letu wenyewe dhidi ya watawala [ CCM ] ?siyo mabubu hawana wawakilishi wa kuwasemea.waliowachagua ni makada wa ccm ambao sera yao ni kuwaibia wananchi tu basi.
Kama wao hawataki kuji pigania wana taka nani sasa awa piganie ?Mwambie huyo, hajui hata vyama vya wafanyakazi ni bosheni tu ya maccm, shenzi zao!
AsanteHuna akili
Shida tuliyonayo wafanyakazi ni aina ya viongozi tunao wachagua , Kwa Nini walikikubali aina hii ya kikokotooNSSF ile sheria ya Fao la kujitoa
Agenda Muhimu sana...
Wawa ambie hao hao makada wa CCM walio wachagua wawasemee.siyo mabubu hawana wawakilishi wa kuwasemea.waliowachagua ni makada wa ccm ambao sera yao ni kuwaibia wananchi tu basi.