Jibu hili, kama mnataka wabunge wa CHADEMA warudishe pesa walizolipwa in advance na Bunge, kwanini Rais nae asirudishe hizo pesa alizolipwa muda ambao hakuwa ikulu?!Lissu amekuwa brainwashed,
Hivi Chadema huwa wanawaza kabla ya kuchukua uamuzi?
Wanawezaje kimchagua Tundu lissu kuwa makamu mwenyekiti wakati anaishi kwa Mabeberu ? Hii Sijawahi kuona duniani
Inaamana ndani ya Chadema waliopo Tanzania Hakuna anayeweza kuwa makamu mwenyekiti ? Hivi hamjui kuwa lissu anagundu anakiharibu chama ?
Ndugu.Inabidi washughulikiwe hawa wapinzani. Washukiwe kama mwewe. Haiwezekani muda wa vikao nyie mwala bata Dar alafu mnapewa perdiem?
Sent using Jamii Forums mobile app by My phone
Eti nabakia Africa.
Alivyoliwa ukafaidika nini?Yeye mwenyewe aliliwa kichwa kimasiharasihara tu hivi Leo hii anashauri wenzake! Tunatofautiana akili.
Kumbe huyu jamaa ni mweupe hivi eti kama Spika anabisha! Spika abishe yeye amekuwa daktari?Tayari kuna Wabunge watatu wameshakufa kwa coronavirus. Gertrude Lwakatare, Richard Ndassa na Dr. Augustine Mahiga ni wahanga wa coronavirus. Kama Serikali ya Magufuli na Spika Ndugai wanabisha basi waseme kwa nini wamewazika Waheshimiwa hawa kwa taratibu za mazishi ya
Bunge limebakiza vikao vingapi?Huyu anatafuta wafuasi wenzake, wa kutimuliwa bungeni
Chadema za kuambiwa changanya na zako Lisuu anawavimbisha kichwa tu, fuateni utaratibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Lisu apambane na yake Raisi aweza fanyia kazi popote ndani ya jamhuri ya muungano hata kichakani tofauti na mbunge .Mbunge ofisii yake Ni bungeni ndio kituu chake kazi sionkwrnye chumba Cha lockdown guess house aliko na hawara yakeYa kwake yanamshinda Leo anashauri ya wengine!
Sheria inamtaka afanyie kazi IKULU, acha mapapai yako, IKULU NI DODOMA, DAR ES SALAAM na IKULU NYINE zote kwenye mikoa, CHATO HAKUNA ikulu bali makazi yake binafsi, huwezi kuajiriwa ukfanyia kazi nyumbani kwako, NYERERE HAJAWAHI kufanyia kazi tokea Butiama, bali MagogoniDunia nzima inafahamu pia kama chato ipo ndani ya Tanzania... hata afanye kazi chato ama wapi.. mradi yupo Tanzania, anatuhudumia wa Tanzania.. sisi wananchi tunafurahi tu.
Lissu acha chuki kwa rais wetu wa wanyonge
Chadema wamechanganyikiwa...kampeni za zamani walibebwa sana na machinga na mama ntilie . Sasa wanawaza mwaka huu mtaji wa machinga na mama ntilie umeamia kwa magu
Sio kesi Kama unaupenda uhai rudisha per diem.zikatumike kupambana na Corona kwa Nini unachukua milioni 110 unatokomea nazo gizani rudisha uwe CCM au chadema rudisha haraka .Hakuna Cha kuleana Wala kubembelezana kisa wewe CCMNdugu.
Hakuna asieupenda uhai wake
Mimi Ni lumumba damdam lakini kwa hili
Ndugai amefeli pakubwa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Posho za kujikimu siyo kifungo cha mbunge kuhudhuria bunge, ni Haki kama mbunge kupewa hizo hela whether awepo au asiwe bungeni, Spika wenu ****** alichofanya ni kuupotosha Umma wa Watanzania kuwa wabunge wa CHADEMA wamelipwa sitting allowance ambayo mbunge analipwa tu pale anapohudhuria vikao, PeriodTundu acha kutetea utapeli, wanalipwa posho za kujikimu ili kuwawezesha kuhudhuria vikao vya bunge na si vinginevyo. Kujiweka karantini kuna taratibu zake na si mihemko ya Mbowe. Msigwa, Zitto wamekiri kuwa wapo Dar. Huu utapeli hata wewe uliutumia kukaa ubelgiji huku ukidai kulipwa stahiki za ubunge.
Uwe unawajibu yupo nje ya nchi! Nchini Chato.Kila nikijaribu kitetea serikali yangu naulizwa kwann raisi hayupo ikulu? Hili swali huwa najikanyaga sana kulijibu maana kwa kweli sijui kwann yupo kule.
Aliyejificha Chato hujamuona au unajiondoa ufahamu?Tundu acha kutetea utapeli, wanalipwa posho za kujikimu ili kuwawezesha kuhudhuria vikao vya bunge na si vinginevyo. Kujiweka karantini kuna taratibu zake na si mihemko ya Mbowe. Msigwa, Zitto wamekiri kuwa wapo Dar. Huu utapeli hata wewe uliutumia kukaa ubelgiji huku ukidai kulipwa stahiki za ubunge.