Tundu Lissu tafadhali simama uhesabiwe katika wanaotetea haki ya Spika kumpinga Rais

Tundu Lissu tafadhali simama uhesabiwe katika wanaotetea haki ya Spika kumpinga Rais

Taso

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2010
Posts
2,507
Reaction score
2,412
Tundu Lissu umepigwa risasi ukipigania haki ya kuhoji na kumpinga Rais. Sasa imekupasa kufanyika mfano wa utaua na mzee wa kitaifa, a towering statesman

Spika Ndugai hakujali ulipopigwa risasi, na hajui unachokitetea ni nini, leo hii yamemkuta Spika Ndugai, mwanasiasa mwenzio na mtesi wako, the shoe is on the other foot

Sasa muonyeshe, na ionyeshe nchi na dunia kwamba una misimamo ya kweli na thabiti, you are authentic and principled

Toka hadharini upiganie kwa nguvu haki ya kusema ya Spika Ndugai hata kama yeye amewanyima wenzake haki hiyo

Unakaaje kimya kwenye suala zito la kitaifa kama hili la mhimili wa bunge kupigwa pini na Rais mwenye manguvu ya kimungu ? Unawezaje kukaa kimya?
 
Unamuangushia jumba bovu mwenzio ...atoe support achanganye fans wake lol
enheee...... na hapo ndio tatizo kubwa na la msingi la wapinzani

Wapinzani ni watu wepesi sana kuwachanganya akili na kufanya wasikuelewe na mwisho kukuita msaliti kama utasimamia misingi fulani hivi ambayo hawajaizoea
 
..Ndugai alishasalimu amri kwa kuomba msamaha, sasa Lissu atamtetea vipi?
Wapinzani wanapaswa watetee taasisi, mhimili, sio Ndugai kama mtu binafsi

Ndugai ni mganga cheo, dhaifu, kigeugeu, na mminya demokrasia na haki za watu

Watetezi wa haki za msingi za kikatiba na uhuru wa mihimili wanapaswa watetee uimara wa taasisi, no matter who holds the office or how he behaves

Nilitegemea wakina Lissu wamkeme Rais kwa kuminya haki ya mwana mhimili mwingine kuhoji maamuzi yake
 
🤣🤣🤣👇
16413170897720.jpg
 
Wapinzani wanapaswa watetee taasisi, mhimili, sio Ndugai kama mtu binafsi...

..wapinzani wametetea sana mihimili ya bunge, na mahakama.

..unless unataka " wanunue kesi " ktk valangati linaloendelea kati ya SSH vs JYN.

..mimi katika hilo nadhani haiwezekani kwasababu Spika ameshaeleza kwamba hakumpinga, na hapingani na Raisi.

..hoja yako ingekuwa na uzito kama Spika angekuwa hajaikana kauli yake ya mwanzo.
 
Tundu Lissu umepigwa risasi ukipigania haki ya kuhoji na kumpinga Rais. Sasa imekupasa kufanyika mfano wa utaua na mzee wa kitaifa, a towering statesman

Spika Ndugai hakujali ulipopigwa risasi, na hajui unachokitetea ni nini, leo hii yamemkuta Spika Ndugai, mwanasiasa mwenzio na mtesi wako, the shoe is on the other foot

Sasa muonyeshe, na ionyeshe nchi na dunia kwamba una misimamo ya kweli na thabiti, you are authentic and principled

Toka hadharini upiganie kwa nguvu haki ya kusema ya Spika Ndugai hata kama yeye amewanyima wenzake haki hiyo

Unakaaje kimya kwenye suala zito la kitaifa kama hili la mhimili wa bunge kupigwa pini na Rais mwenye manguvu ya kimungu ? Unawezaje kukaa kimya?
Utamsemeaje mtesi wako? Simple, you just mute!
 
Lissu mwenyewe ni wa kutetewa, sasa yeye amtetee mtu? Tena spika?
 
Wapinzani wanapaswa watetee taasisi, mhimili, sio Ndugai kama mtu binafsi

Ndugai ni mganga cheo, dhaifu, kigeugeu, na mminya demokrasia na haki za watu

Watetezi wa haki za msingi za kikatiba na uhuru wa mihimili wanapaswa watetee uimara wa taasisi, no matter who holds the office or how he behaves

Nilitegemea wakina Lissu wamkeme Rais kwa kuminya haki ya mwana mhimili mwingine kuhoji maamuzi yake
Rais si kamkaripia tu? Kwa hiyo Rais hana haki ya kutofautiana na mhimili mwingine? Haki gani imeminywa zaidi ya yeye nae kutumia haki yake ya kutoa duku duku zake?

Amandla...
 
Tundu Lissu umepigwa risasi ukipigania haki ya kuhoji na kumpinga Rais. Sasa imekupasa kufanyika mfano wa utaua na mzee wa kitaifa, a towering statesman

Spika Ndugai hakujali ulipopigwa risasi, na hajui unachokitetea ni nini, leo hii yamemkuta Spika Ndugai, mwanasiasa mwenzio na mtesi wako, the shoe is on the other foot

Sasa muonyeshe, na ionyeshe nchi na dunia kwamba una misimamo ya kweli na thabiti, you are authentic and principled

Toka hadharini upiganie kwa nguvu haki ya kusema ya Spika Ndugai hata kama yeye amewanyima wenzake haki hiyo

Unakaaje kimya kwenye suala zito la kitaifa kama hili la mhimili wa bunge kupigwa pini na Rais mwenye manguvu ya kimungu ? Unawezaje kukaa kimya?
Mkikwama ndo mnamkumbuka Lissu, pumbaf!
 
Back
Top Bottom