Ugomvi wa ndugu wa marehemu unamhusu nini LissuJinga kabisa huyu. Anataka Tundu aingilie Kati ugomvi wa wendawazimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ugomvi wa ndugu wa marehemu unamhusu nini LissuJinga kabisa huyu. Anataka Tundu aingilie Kati ugomvi wa wendawazimu
Ewaaa! Wasimwingize kwenye ujinga huuUgomvi wa ndugu wa marehemu unamhusu nini Lissu
Leo siyo kichaa na vuvuzela?Bwashee akionyesha kuwa yuko principled kiasi hicho unitag!
Nasubiri kwa hamu.
Bwashee akionyesha kuwa yuko principled kiasi hicho unitag!
Nasubiri kwa hamu.
Tundu Lissu umepigwa risasi ukipigania haki ya kuhoji na kumpinga Rais. Sasa imekupasa kufanyika mfano wa utaua na mzee wa kitaifa, a towering statesman
Spika Ndugai hakujali ulipopigwa risasi, na hajui unachokitetea ni nini, leo hii yamemkuta Spika Ndugai, mwanasiasa mwenzio na mtesi wako, the shoe is on the other foot
Sasa muonyeshe, na ionyeshe nchi na dunia kwamba una misimamo ya kweli na thabiti, you are authentic and principled
Toka hadharini upiganie kwa nguvu haki ya kusema ya Spika Ndugai hata kama yeye amewanyima wenzake haki hiyo
Unakaaje kimya kwenye suala zito la kitaifa kama hili la mhimili wa bunge kupigwa pini na Rais mwenye manguvu ya kimungu ? Unawezaje kukaa kimya?
Tundu Lissu umepigwa risasi ukipigania haki ya kuhoji na kumpinga Rais. Sasa imekupasa kufanyika mfano wa utaua na mzee wa kitaifa, a towering statesman
Spika Ndugai hakujali ulipopigwa risasi, na hajui unachokitetea ni nini, leo hii yamemkuta Spika Ndugai, mwanasiasa mwenzio na mtesi wako, the shoe is on the other foot
Sasa muonyeshe, na ionyeshe nchi na dunia kwamba una misimamo ya kweli na thabiti, you are authentic and principled
Toka hadharini upiganie kwa nguvu haki ya kusema ya Spika Ndugai hata kama yeye amewanyima wenzake haki hiyo
Unakaaje kimya kwenye suala zito la kitaifa kama hili la mhimili wa bunge kupigwa pini na Rais mwenye manguvu ya kimungu ? Unawezaje kukaa kimya?
Covid 19 wako huko, watawakilishaWapinzani wanapaswa watetee taasisi, mhimili, sio Ndugai kama mtu binafsi
Ndugai ni mganga cheo, dhaifu, kigeugeu, na mminya demokrasia na haki za watu
Watetezi wa haki za msingi za kikatiba na uhuru wa mihimili wanapaswa watetee uimara wa taasisi, no matter who holds the office or how he behaves
Nilitegemea wakina Lissu wamkeme Rais kwa kuminya haki ya mwana mhimili mwingine kuhoji maamuzi yake
Tundu Lissu umepigwa risasi ukipigania haki ya kuhoji na kumpinga Rais. Sasa imekupasa kufanyika mfano wa utaua na mzee wa kitaifa, a towering statesman
Spika Ndugai hakujali ulipopigwa risasi, na hajui unachokitetea ni nini, leo hii yamemkuta Spika Ndugai, mwanasiasa mwenzio na mtesi wako, the shoe is on the other foot
Sasa muonyeshe, na ionyeshe nchi na dunia kwamba una misimamo ya kweli na thabiti, you are authentic and principled
Toka hadharini upiganie kwa nguvu haki ya kusema ya Spika Ndugai hata kama yeye amewanyima wenzake haki hiyo
Unakaaje kimya kwenye suala zito la kitaifa kama hili la mhimili wa bunge kupigwa pini na Rais mwenye manguvu ya kimungu ? Unawezaje kukaa kimya?
alipigwa risasi na watu walioondoa surveillance cameras za serikali na walioondoa walinzi wa serikali, ambao ni serikali...Major yako umesema ushujaa Wake na utetezi Wake wa haki … kumpinga Rais . Akapigwa Risasi. Nani kampiga Risasi? Haki gani aliyokuwa anatetea.
Punguza upumbavu.
Kwani wakati ndugai anazungumza alizungumza akiwa wapi bungeni au uchochoni? Na je aliwakilisha taasisi ya bunge au kama maoni yake?Wapinzani wanapaswa watetee taasisi, mhimili, sio Ndugai kama mtu binafsi
Ndugai ni mganga cheo, dhaifu, kigeugeu, na mminya demokrasia na haki za watu
Watetezi wa haki za msingi za kikatiba na uhuru wa mihimili wanapaswa watetee uimara wa taasisi, no matter who holds the office or how he behaves
Nilitegemea wakina Lissu wamkeme Rais kwa kuminya haki ya mwana mhimili mwingine kuhoji maamuzi yake
Well, Tundu Lissu ameshatuelewa....Kwani wakati ndugai anazungumza alizungumza akiwa wapi bungeni au uchochoni? Na je aliwakilisha taasisi ya bunge au kama maoni yake?
Msitake kujifanya wajuaji.... Mwacheni alinywe maana yeye mwenyewe alishiriki kuwadhuru wengi waliokuwa wanatoa maoni ya kuijenga nchi.
Uongozi siku zote unahitaji perspectiveness kama hii ya Lissu, sio kuwa myopic, kiongozi anatakiwa kutazama mambo kwa upana wake.... hongera sana
.... hatimaye Tundu Lissu ajitokeza na kumpa credit Ndugai
.... asema amefanya ambacho hakijafanywa na Spika toka bunge la mwaka 1926
I echo that viewUongozi siku zote unahitaji perspectiveness kama hii ya Lissu, sio kuwa myopic, kiongozi anatakiwa kutazama mambo kwa upana wake
Sikili wewe. Ndugai angetetewa sana na kila mtanzania mwenye akili kama hayo aliyosema angekuwa ameyasema kwa manufaa ya Taifa. Yaani angekuwa anahoji kweli baada ya kuona nchi inakwenda vibaya kwa mikopo na madeni. Lakini kinyume chake ni kuwa Ndugai alisema kwa sababu ya maslahi yake binafsi. Kwa maana nyingine alihoji kwa sababu aliona kuwa maslahi yake yako hatarini ndiyo maana akajaribu kutingisha kibiriti. Hizi ni kambi mbili za CCM ziko vitani kwa sababu ya kusaka madaraka.enheee...... na hapo ndio tatizo kubwa na la msingi la wapinzani
Wapinzani ni watu wepesi sana kuwachanganya akili na kufanya wasikuelewe na mwisho kukuita msaliti kama utasimamia misingi fulani hivi ambayo hawajaizoea
Hii siku atakapomsapoti huyu asiyejua anataka nini ndo siku tutakapojiondoa kwake rasmi. Kwani wewe mpaka sasa unajua Supika wenu anataka nini? Angesimamia anachoamini angetetea sasa ameshakikana atetewe kwa lipi?Tundu Lissu umepigwa risasi ukipigania haki ya kuhoji na kumpinga Rais. Sasa imekupasa kufanyika mfano wa utaua na mzee wa kitaifa, a towering statesman
Spika Ndugai hakujali ulipopigwa risasi, na hajui unachokitetea ni nini, leo hii yamemkuta Spika Ndugai, mwanasiasa mwenzio na mtesi wako, the shoe is on the other foot
Sasa muonyeshe, na ionyeshe nchi na dunia kwamba una misimamo ya kweli na thabiti, you are authentic and principled
Toka hadharini upiganie kwa nguvu haki ya kusema ya Spika Ndugai hata kama yeye amewanyima wenzake haki hiyo
Unakaaje kimya kwenye suala zito la kitaifa kama hili la mhimili wa bunge kupigwa pini na Rais mwenye manguvu ya kimungu ? Unawezaje kukaa kimya?
Bwashee, I thought you're tagging me after the dude stood up on his principles!So you are a definition of someone's principles?