Tundu Lissu tafadhali simama uhesabiwe katika wanaotetea haki ya Spika kumpinga Rais

Tundu Lissu tafadhali simama uhesabiwe katika wanaotetea haki ya Spika kumpinga Rais

Asingepinga maatamshi yake mwenyewe, angeungwa mkono hata na Jenerali na CAG Jaffery.
 
Tundu Lissu umepigwa risasi ukipigania haki ya kuhoji na kumpinga Rais. Sasa imekupasa kufanyika mfano wa utaua na mzee wa kitaifa, a towering statesman

Spika Ndugai hakujali ulipopigwa risasi, na hajui unachokitetea ni nini, leo hii yamemkuta Spika Ndugai, mwanasiasa mwenzio na mtesi wako, the shoe is on the other foot

Sasa muonyeshe, na ionyeshe nchi na dunia kwamba una misimamo ya kweli na thabiti, you are authentic and principled

Toka hadharini upiganie kwa nguvu haki ya kusema ya Spika Ndugai hata kama yeye amewanyima wenzake haki hiyo

Unakaaje kimya kwenye suala zito la kitaifa kama hili la mhimili wa bunge kupigwa pini na Rais mwenye manguvu ya kimungu ? Unawezaje kukaa kimya?


So you are a definition of someone's principles?
 
Tundu Lissu umepigwa risasi ukipigania haki ya kuhoji na kumpinga Rais. Sasa imekupasa kufanyika mfano wa utaua na mzee wa kitaifa, a towering statesman

Spika Ndugai hakujali ulipopigwa risasi, na hajui unachokitetea ni nini, leo hii yamemkuta Spika Ndugai, mwanasiasa mwenzio na mtesi wako, the shoe is on the other foot

Sasa muonyeshe, na ionyeshe nchi na dunia kwamba una misimamo ya kweli na thabiti, you are authentic and principled

Toka hadharini upiganie kwa nguvu haki ya kusema ya Spika Ndugai hata kama yeye amewanyima wenzake haki hiyo

Unakaaje kimya kwenye suala zito la kitaifa kama hili la mhimili wa bunge kupigwa pini na Rais mwenye manguvu ya kimungu ? Unawezaje kukaa kimya?

Hakuna kipindi bunge limepigwa pini na Rais kama kipindi cha Magu. Wabunge wa upinzani walinyang'anywa hotuba rasm za kambi yao, wasizungumze yale John asiyitaka kusikia.

Mwache Lissu, mwache na Mama ambaye kimsingi anaendelea kulipa meno bunge
 
Wapinzani wanapaswa watetee taasisi, mhimili, sio Ndugai kama mtu binafsi

Ndugai ni mganga cheo, dhaifu, kigeugeu, na mminya demokrasia na haki za watu

Watetezi wa haki za msingi za kikatiba na uhuru wa mihimili wanapaswa watetee uimara wa taasisi, no matter who holds the office or how he behaves

Nilitegemea wakina Lissu wamkeme Rais kwa kuminya haki ya mwana mhimili mwingine kuhoji maamuzi yake
Covid 19 wako huko, watawakilisha
 
Tundu Lissu umepigwa risasi ukipigania haki ya kuhoji na kumpinga Rais. Sasa imekupasa kufanyika mfano wa utaua na mzee wa kitaifa, a towering statesman

Spika Ndugai hakujali ulipopigwa risasi, na hajui unachokitetea ni nini, leo hii yamemkuta Spika Ndugai, mwanasiasa mwenzio na mtesi wako, the shoe is on the other foot

Sasa muonyeshe, na ionyeshe nchi na dunia kwamba una misimamo ya kweli na thabiti, you are authentic and principled

Toka hadharini upiganie kwa nguvu haki ya kusema ya Spika Ndugai hata kama yeye amewanyima wenzake haki hiyo

Unakaaje kimya kwenye suala zito la kitaifa kama hili la mhimili wa bunge kupigwa pini na Rais mwenye manguvu ya kimungu ? Unawezaje kukaa kimya?

Major yako umesema ushujaa Wake na utetezi Wake wa haki … kumpinga Rais . Akapigwa Risasi. Nani kampiga Risasi? Haki gani aliyokuwa anatetea.

Punguza upumbavu.
 
Major yako umesema ushujaa Wake na utetezi Wake wa haki … kumpinga Rais . Akapigwa Risasi. Nani kampiga Risasi? Haki gani aliyokuwa anatetea.

Punguza upumbavu.
alipigwa risasi na watu walioondoa surveillance cameras za serikali na walioondoa walinzi wa serikali, ambao ni serikali...

masaa matatu kabla ya Lissu kupigwa risasi Rais alisema wanaopinga vita vyake vya kiuchumi ni wasaliti, na wasaliti wanastahili kuuliwa...

Tundu Lissu was by far and away the harshest critic of Magufuli's repressive presidency, and a decision was made to eliminate him.

The shoe is on the other foot. Spika Ndugai kwa sasa ndio mhanga wa utawala wa kimabavu na manguvu ya kimungu ya Rais. Hakuna mwenye political stature and gravitas ya kutetea haki ya Spika ya kumkosoa Rais zaidi ya Tundu Lissu.

Tundu Lissu be principled, tetea uhuru wa taasisi ya Spika kumkema Rais.
 

.... hongera sana​

.... hatimaye Tundu Lissu ajitokeza na kumpa credit Ndugai​

.... asema amefanya ambacho hakijafanywa na Spika toka bunge la mwaka 1926​


 
Kwa
Wapinzani wanapaswa watetee taasisi, mhimili, sio Ndugai kama mtu binafsi

Ndugai ni mganga cheo, dhaifu, kigeugeu, na mminya demokrasia na haki za watu

Watetezi wa haki za msingi za kikatiba na uhuru wa mihimili wanapaswa watetee uimara wa taasisi, no matter who holds the office or how he behaves

Nilitegemea wakina Lissu wamkeme Rais kwa kuminya haki ya mwana mhimili mwingine kuhoji maamuzi yake
Kwani wakati ndugai anazungumza alizungumza akiwa wapi bungeni au uchochoni? Na je aliwakilisha taasisi ya bunge au kama maoni yake?

Msitake kujifanya wajuaji kwa kutaka muonewe huruma kwa karma inayowatafuna. Mwacheni alinywe maana yeye mwenyewe alishiriki kuwadhuru wengi waliokuwa wanatoa maoni ya kuijenga nchi.
 
Kwani wakati ndugai anazungumza alizungumza akiwa wapi bungeni au uchochoni? Na je aliwakilisha taasisi ya bunge au kama maoni yake?

Msitake kujifanya wajuaji.... Mwacheni alinywe maana yeye mwenyewe alishiriki kuwadhuru wengi waliokuwa wanatoa maoni ya kuijenga nchi.
Well, Tundu Lissu ameshatuelewa....
 

.... hongera sana​

.... hatimaye Tundu Lissu ajitokeza na kumpa credit Ndugai​

.... asema amefanya ambacho hakijafanywa na Spika toka bunge la mwaka 1926​


Uongozi siku zote unahitaji perspectiveness kama hii ya Lissu, sio kuwa myopic, kiongozi anatakiwa kutazama mambo kwa upana wake
 
enheee...... na hapo ndio tatizo kubwa na la msingi la wapinzani

Wapinzani ni watu wepesi sana kuwachanganya akili na kufanya wasikuelewe na mwisho kukuita msaliti kama utasimamia misingi fulani hivi ambayo hawajaizoea
Sikili wewe. Ndugai angetetewa sana na kila mtanzania mwenye akili kama hayo aliyosema angekuwa ameyasema kwa manufaa ya Taifa. Yaani angekuwa anahoji kweli baada ya kuona nchi inakwenda vibaya kwa mikopo na madeni. Lakini kinyume chake ni kuwa Ndugai alisema kwa sababu ya maslahi yake binafsi. Kwa maana nyingine alihoji kwa sababu aliona kuwa maslahi yake yako hatarini ndiyo maana akajaribu kutingisha kibiriti. Hizi ni kambi mbili za CCM ziko vitani kwa sababu ya kusaka madaraka.
 
Tundu Lissu umepigwa risasi ukipigania haki ya kuhoji na kumpinga Rais. Sasa imekupasa kufanyika mfano wa utaua na mzee wa kitaifa, a towering statesman

Spika Ndugai hakujali ulipopigwa risasi, na hajui unachokitetea ni nini, leo hii yamemkuta Spika Ndugai, mwanasiasa mwenzio na mtesi wako, the shoe is on the other foot

Sasa muonyeshe, na ionyeshe nchi na dunia kwamba una misimamo ya kweli na thabiti, you are authentic and principled

Toka hadharini upiganie kwa nguvu haki ya kusema ya Spika Ndugai hata kama yeye amewanyima wenzake haki hiyo

Unakaaje kimya kwenye suala zito la kitaifa kama hili la mhimili wa bunge kupigwa pini na Rais mwenye manguvu ya kimungu ? Unawezaje kukaa kimya?
Hii siku atakapomsapoti huyu asiyejua anataka nini ndo siku tutakapojiondoa kwake rasmi. Kwani wewe mpaka sasa unajua Supika wenu anataka nini? Angesimamia anachoamini angetetea sasa ameshakikana atetewe kwa lipi?
 
Back
Top Bottom