Pana uchaguzi mbeleni, tungependa jua mawazi ya CDM kuhusu ndege zilizopaki,This is a national issue, in reality though opposition parties are not involved in political decisions made by a ruling party
Basi ukalale ndugu ikiwa huna HOJA.WATANZANIA WENGI UKIWEMO WEWE MNAPASWA KUWA MIREMBE!
Hakuna chama kinaitwa CDMUle msemo wa kudai, adui mwombee njaa kwetu hautasaidia,
Wananchi wote CCM, CDM na wasio na vyama, tunalipia ndege zilizopaki bila kufanya KAZI.
Lissu na CDM njooni na mpango MIKAKATI, Ili wananchi tuone tofauti yenu na hao CCM!!
Nimekwambia Sina kadi ya Chama chochote, nyie Ndiyo tunaita nyumbu unyumbu ni tabia ya binadamu kuahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza, kutumikia kundi fulani na uoga wa viongozi wake, herding behavior is an occurrence of entrusted people suspending their individual reasoning because of flattering or working towards group objectives and fear of their leaders. Nahii tabia ya unyumbu Ndiyo imelifikisha taifa hapa hadi hizo ndege zinakamatwa na mengi ya kipuuziPana uchaguzi mbeleni, tungependa jua mawazi ya CDM kuhusu ndege zilizopaki,
Wakipewa kuongoza nchi watazipiga mnada, au watazisusa, au watafanya nini Ili zirudi kusaidia Utalii wa Nchi ukue?
Achana na hao walioshindwa, chama tawala.Maji yamekuwa ya shingo nini? Wako wapi waliokiwa wanashangilia kununua ndege bila mpango, na wale wa mikataba ya siri?
Nafikiri hawezi kutoa ushauri wa kitaalamu bila kuona mkataba na mwenendo wa kesi. Kama kweli utaalamu wa Lissu unahitajika wahusika wanajua jinsi ya kum.engage.
Soma Ilani ya Uchaguzi ya CHADEMA 2020 kwenye uchaguzi ulioibiwa na wezi waliozoea kuiba mali ya umma.Pana uchaguzi mbeleni, tungependa jua mawazi ya CDM kuhusu ndege zilizopaki,
Wakipewa kuongoza nchi watazipiga mnada, au watazisusa, au watafanya nini Ili zirudi kusaidia Utalii wa Nchi ukue?
Ndio hayo yaliyoandikwa kwenye Ilani hiyo,Soma Ilani ya Uchaguzi ya CHADEMA 2020 kwenye uchaguzi ulioibiwa na wezi waliozoea kuiba mali ya umma.
Wanajifanya wamesahau na kuja na kihojaNakumbuka kipindi anapigia kelele kuvunjwa hovyo kwa mikataba wakatuambia anatumiwa na Mabeberu.
Soma wewe utaelewaNdio hayo yaliyoandikwa kwenye Ilani hiyo,
Ayaseme japo Kwa kugusia kwenye mikutano anayofanya sasa Ili wananchi tujue way forward kuhusu ndege zilizopaki.
Hao wamepita,Nakumbuka kipindi anapigia kelele kuvunjwa hovyo kwa mikataba wakatuambia anatumiwa na Mabeberu.
Kwani CHADEMA Ina mpango kubaki WAPINZANI milele?Soma wewe utaelewa
Hata wewe unaweza kusema nini kifanyike siyo lazima Lisu au CHADEMA. Maoni yako ni yapi?Hao wamepita,
Ndege zimenunuliwa, na zimepaki!!
Wananchi tunataka kujua way forward.
Nini Lissu atafanya akisaidia a na chama chake Ili tushinde case ndege ziache kulala,
Au aseme maoni Yao ni zipigwe mnada, au zikodishwe tupate TIJA.
Hilo pekee ndilo wananchi tungependa kujua Kutoka Kwa CHADEMA na Lisu Mwanasheria msomi!!
Ningependa Lissu aseme maana namuona anaweza kulisaidia Taifa livuke.Hata wewe unaweza kusema nini kifanyike siyo lazima Lisu au CHADEMA. Maoni yako ni yapi?
Unachojaribu kufanya wewe ni kujaribu kudili na matawi badala ya mizizi. Hautatui tatizo.Hao wamepita,
Ndege zimenunuliwa, na zimepaki!!
Wananchi tunataka kujua way forward.
Nini Lissu atafanya akisaidia a na chama chake Ili tushinde case ndege ziache kulala,
Au aseme maoni Yao ni zipigwe mnada, au zikodishwe tupate TIJA.
Hilo pekee ndilo wananchi tungependa kujua Kutoka Kwa CHADEMA na Lisu Mwanasheria msomi!!
Mikataba Lissu anaijua na ameisoma na mara kadhaa amejinaji kuwa anaijua.Unachojaribu kufanya wewe ni kujaribu kudili na matawi badala ya mizizi. Hautatui tatizo.
Kwanza kubali we fuckd up na tumeingia hasara. Au hawakusemi wahenga "UTAVUNA ULICHOPANDA". Kwanini ulazimishe kuvuna mahindi kwenye shamba la bangi?!
Angalau ungemwambia rais wako amshirikishe Lissu kupitia mikataba upya serikali iliyoingia na wawekezaji ungekua umefanya la maana. Ila kushauri Lissu atetee mtu aliyeua mbele ya Live Tv, ah mkuu you are better than that.
Si wanasema ndege hizi ni za Shujaa wa dunia Magufuli huko Facebook,kama za walipa kodi mbona kablayake hazikuwepo na picha tunawekewa zikiwa zinatuwa Ujerumani sasa imekuwaje??Leo hii wananchi wakiipa CDM kuongoza,
Watafanya nini kuhusu ndege zilizopaki?
Usinirudishe nyuma, nataka way forward, màana mkopo wa ndege hata Lissu analipa kama mtz.
Ni ndege zetu, zingine Bado ni madeni tunalipia.Si wanasema ndege hizi ni za Shujaa wa dunia Magufuli huko Facebook,kama za walipa kodi mbona kablayake hazikuwepo na picha tunawekewa zikiwa zinatuwa Ujerumani sasa imekuwaje??
Mikataba Ile ya ufisadi hata bunge halijawahi Iona sasa lissu atashauri bila kuiona?Salaam, Shalom!
Mh Mwanasheria msomi Tundu Lissu, ninafuatilia sana ziara zako nchini,
Ni Kweli unafungua macho Watanzania juu ya yanayoendelea nchini,
Kwa sasa, Nchi yetu inazo ndege za kutosha zilizonunuliwa Kwa Kodi zetu, ndege hizo mara kadhaa zimedaiwa kukamatwa kisa kuvunja baadhi ya masharti ya kimataifa kuhusu nashauri Fulani Fulani.
Ninakuomba, kupitia majukwaa ya kisiasa, ueleze umma njia ambazo Nchi unaweza kuzitumia Ili tuondokane na kesi hizo ikibidi tumia usomi wako Nchi ishinde case hizo, ndege zetu zinufaishe Taifa uchumi wa Nchi ukue.
Ningependa nione kama Mtanzania mwenzio, ukitoa dira ya nini chama chako kitafaifanyia Nchi Kwa kutumia usomi na ubobevu wako katika Sheria. Hotuba zako zilenge Kutoa mawazo mbadala juu ya nini wewe na chama chako mtafanya Ili wananchi tuwapime.
Wananchi tungependa kusikia ukisema, ikiwa Watanzania wataichagua CHADEMA kuongoza Dola, mtahakikisha mnapeleka wataalamu kutetea Nchi na kuhakikisha nchi inashinda case zote zinazotukabili.
Napenda nikusikie katika Upande huo wa UZALENDO juu ya nchi Yako Tanzania.
Ni hayo tu ndugu Mzalendo TUNDU Antipas Mugwai Lissu, ubarikiwe.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni.