Mimi ni Mtanzania Sina chama Cha siasa zaidi ya kuwa mtumishi wa Mungu, mlipa Kodi wa kawaida.
CCM hawana mpango wamelala USINGIZI fofofo.
..serikali hii ya Ccm iko radhi Atcl ife, au ipoteza ndege zote, kuliko kupokea mchango wa Tundu Lissu, au mpinzani yeyote.