- Thread starter
- #81
Kweli kabisa,Alikuwepo Pia Mwandishi Mmoja wa Habari za Anga na Usafiri wa Anga
mr Barafu huyu mwamba wakiungana na Lissu wataokoa Taifa.
Kulinyamazia hili, inaonyesha tumekubaliana na UOVU na HASARA hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa,Alikuwepo Pia Mwandishi Mmoja wa Habari za Anga na Usafiri wa Anga
mr Barafu huyu mwamba wakiungana na Lissu wataokoa Taifa.
HakikaKweli kabisa,
Kulinyamazia hili, inaonyesha tumekubaliana na UOVU na HASARA hii.
Hata Hivyo kama Kila Jambo la Nchi Hii tukimbebesha yeye atachoka.Salaam, Shalom!
Mh Mwanasheria msomi Tundu Lissu, ninafuatilia sana ziara zako nchini,
Ni Kweli unafungua macho Watanzania juu ya yanayoendelea nchini,
Kwa sasa, Nchi yetu inazo ndege za kutosha zilizonunuliwa Kwa Kodi zetu, ndege hizo mara kadhaa zimedaiwa kukamatwa kisa kuvunja baadhi ya masharti ya kimataifa kuhusu nashauri Fulani Fulani.
Ninakuomba, kupitia majukwaa ya kisiasa, ueleze umma njia ambazo Nchi unaweza kuzitumia Ili tuondokane na kesi hizo ikibidi tumia usomi wako Nchi ishinde case hizo, ndege zetu zinufaishe Taifa uchumi wa Nchi ukue.
Ningependa nione kama Mtanzania mwenzio, ukitoa dira ya nini chama chako kitafaifanyia Nchi Kwa kutumia usomi na ubobevu wako katika Sheria. Hotuba zako zilenge Kutoa mawazo mbadala juu ya nini wewe na chama chako mtafanya Ili wananchi tuwapime.
Wananchi tungependa kusikia ukisema, ikiwa Watanzania wataichagua CHADEMA kuongoza Dola, mtahakikisha mnapeleka wataalamu kutetea Nchi na kuhakikisha nchi inashinda case zote zinazotukabili.
Napenda nikusikie katika Upande huo wa UZALENDO juu ya nchi Yako Tanzania.
Ni hayo tu ndugu Mzalendo TUNDU Antipas Mugwai Lissu, ubarikiwe.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni.
Kushindwa kesi ni dili za wakubwaTunataka tupate solution,
Tupate wataalamu Ili tusishindwe kesi, ikiwa Haiwezekani tujue tunafanyaje.
Kuthibiti huu ujinga tunakiwa kutibu chanzo cha tatizo, sio matokeo.Wewe haikuumi kama Mwananchi Kodi Yako umenunua ndege Kisha zinapaki na hata hustuki?
Uzalendo hapo ni upi?
Halafu kunihusisha Mimi na CCM ni kunivunjia Heshima.
Tafadhali sana.
Kiukweli Mimi sikubali ndege zilizonunuliwa Kwa Kodi yangu tena mpya zipaki bila kufanya KAZI iliyokusudiwa,Haha..
Sasa hawa ndiyo wanatakiwa kuwajibishwa kwanza ili tuweze kusonga mbele kama taifa.
Jitihada zozote za kuwashauri hao ni kupoteza muda, ni kama kupigia mbuzi gitaa.
Siyo wasikivu kwa umma.
Kwa mfano, waliunda tume ya Warioba, ikipatikana rasimu ya Katiba yenye maoni ya wananchi, lakini hadi leo hakuna utashi wa kutekeleza
Mbona mafao yake walionunua ndege walipoyagawana hukuja na maombi ya namna hiyo kwa hao unawaona ni wazalendo kwa kuliingiza taifa kwenye mgogoro unaopelekea kukamatwa kwa hao njiwa?Salaam, Shalom!
Mh Mwanasheria msomi Tundu Lissu, ninafuatilia sana ziara zako nchini,
Ni Kweli unafungua macho Watanzania juu ya yanayoendelea nchini,
Kwa sasa, Nchi yetu inazo ndege za kutosha zilizonunuliwa Kwa Kodi zetu, ndege hizo mara kadhaa zimedaiwa kukamatwa kisa kuvunja baadhi ya masharti ya kimataifa kuhusu nashauri Fulani Fulani.
Ninakuomba, kupitia majukwaa ya kisiasa, ueleze umma njia ambazo Nchi unaweza kuzitumia Ili tuondokane na kesi hizo ikibidi tumia usomi wako Nchi ishinde case hizo, ndege zetu zinufaishe Taifa uchumi wa Nchi ukue.
Ningependa nione kama Mtanzania mwenzio, ukitoa dira ya nini chama chako kitafaifanyia Nchi Kwa kutumia usomi na ubobevu wako katika Sheria. Hotuba zako zilenge Kutoa mawazo mbadala juu ya nini wewe na chama chako mtafanya Ili wananchi tuwapime.
Wananchi tungependa kusikia ukisema, ikiwa Watanzania wataichagua CHADEMA kuongoza Dola, mtahakikisha mnapeleka wataalamu kutetea Nchi na kuhakikisha nchi inashinda case zote zinazotukabili.
Napenda nikusikie katika Upande huo wa UZALENDO juu ya nchi Yako Tanzania.
Ni hayo tu ndugu Mzalendo TUNDU Antipas Mugwai Lissu, ubarikiwe.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni.
Kwamba tusubiri Hadi CCM itapotoka madarani ndipo tufufue ndege zitakazokuwa zimeshaharibika?Kuthibiti huu ujinga tunakiwa kutibu chanzo cha tatizo, sio matokeo.
Salaam, Shalom!
Mh Mwanasheria msomi Tundu Lissu, ninafuatilia sana ziara zako nchini,
Ni Kweli unafungua macho Watanzania juu ya yanayoendelea nchini,
Kwa sasa, Nchi yetu inazo ndege za kutosha zilizonunuliwa Kwa Kodi zetu, ndege hizo mara kadhaa zimedaiwa kukamatwa kisa kuvunja baadhi ya masharti ya kimataifa kuhusu nashauri Fulani Fulani.
Ninakuomba, kupitia majukwaa ya kisiasa, ueleze umma njia ambazo Nchi unaweza kuzitumia Ili tuondokane na kesi hizo ikibidi tumia usomi wako Nchi ishinde case hizo, ndege zetu zinufaishe Taifa uchumi wa Nchi ukue.
Ningependa nione kama Mtanzania mwenzio, ukitoa dira ya nini chama chako kitafaifanyia Nchi Kwa kutumia usomi na ubobevu wako katika Sheria. Hotuba zako zilenge Kutoa mawazo mbadala juu ya nini wewe na chama chako mtafanya Ili wananchi tuwapime.
Wananchi tungependa kusikia ukisema, ikiwa Watanzania wataichagua CHADEMA kuongoza Dola, mtahakikisha mnapeleka wataalamu kutetea Nchi na kuhakikisha nchi inashinda case zote zinazotukabili.
Napenda nikusikie katika Upande huo wa UZALENDO juu ya nchi Yako Tanzania.
Ni hayo tu ndugu Mzalendo TUNDU Antipas Mugwai Lissu, ubarikiwe.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni.
Wewe unafurahia ndege ulizonunua kutokana na Kodi ulipayo zipaki bila KAZI?Mbona mafao yake walionunua ndege walipoyagawana hukuja na maombi ya namna hiyo kwa hao unawaona ni wazalendo kwa kuliingiza taifa kwenye mgogoro unaopelekea kukamatwa kwa hao njiwa?
Zimepaki, zingine engine zinakufa sababu ya kukaa bila kutumika.Ndege ziko wapi kwani!!?
Siyo hao unaowaombea msaada kwa LISU ndio huwa wanashirikiana na wewe kumuita msaliti?Ule msemo wa kudai, adui mwombee njaa kwetu hautasaidia,
Wananchi wote CCM, CDM na wasio na vyama, tunalipia ndege zilizopaki bila kufanya KAZI.
Lissu na CDM njooni na mpango MIKAKATI, Ili wananchi tuone tofauti yenu na hao CCM!!
Aisee,.. so! Way forward!??Zimepaki, zingine engine zinakufa sababu ya kukaa bila kutumika.
Umeshaletewa mjukuu tayari,Siyo hao unaowaombea msaada kwa LISU ndio huwa wanashirikiana na wewe kumuita msaliti?
NB;
Hivi ni nani aliyeidhinisha manunuzi ya hao njiwa na lini ili tumuulize ikiwa alizingatia ushauri wa wataalamu au lah!?
Tumuombe Lissu asaidie utaalamu Ili tusishindwe kesi, ndege zisikamatwe,Aisee,.. so! Way forward!??
Ziuzwe tu.Tumuombe Lissu asaidie utaalamu Ili tusishindwe kesi, ndege zisikamatwe,
Zianze KAZI kushamirisha Utalii na kubeba mizigo.
Na ikiwa hakuna uwezo kushinda kesi, tuzikodishe au kuzirudisha kuziuza.
Mwanasheria msomi Tundu Lissu ashauri kwanza kitaalamu,Ziuzwe tu.
Mimi nataka hizo ndege ziuzwe hela yangu irudi, maana imedhihirika hatuna uwezo wa kuziendesha kwa ufanisi.Twende mbele,
Pesa yetu imetumika kununua ndege, sasa wewe unaridhika zipaki kama vile pesa Yako haikutumika!!
Huna uchungu na hizo ndege, na haikuumi Nchi inavyoshindwa case na kulipa mabilioni Bure?
Yeye ni mwanasheria sio mchumi, atashauri vipi suala la kiuchumi?Mwanasheria msomi Tundu Lissu ashauri kwanza kitaalamu,
Wewe yaezakuwa ni dalali unafukuzia Cha juu ukatupoteza🤔
Ndio nasemaje,Mimi nataka hizo ndege ziuzwe hela yangu irudi, maana imedhihirika hatuna uwezo wa kuziendesha kwa ufanisi.