Taifa fedha nyingi japokuwa kutakuwa na mikwaruzo
Kweli bora nusu shari kuliko shari kamili wahenga wetu walisema. Mwisho wa kunukuu
Halmashauri Kuu ya Taifa ya chama kongwe dola wao bado hawajesema kama waishauri Bunge la chama chao kimoja wafute azimio la tarehe 10 June 2023 ili kuinusuru nchi kupigwa mnada kwa deni lisilo himilivu wakichelewa kuvunja mkataba.