Pre GE2025 Tundu Lissu: Tume ya Uchaguzi sio Huru, ni Tume ya Rais

Pre GE2025 Tundu Lissu: Tume ya Uchaguzi sio Huru, ni Tume ya Rais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huwezi kuiita Tume Huru ya Uchaguzi kwenye nchi yenye mfumo wa Vyama Vingi vya Siasa lakini Wakurugenzi na Watendaji wakuu 100% wanatoka chama Tawala na asilimia kubwa ni wateule wa Rais aliyep madarakani.Sifa ya neno HURU inapotea pale tu ambapo asilimia kubwa watendaji wake na wasimamizi wake ni wa chama kimoja cha siasa tena chama dola.
eleza vizuri kwamba kinagaubaga kwamba, sifa ya Tume Huru ya Uchaguzi inapotea pale tu mpinzani anaposhindwa uchaguzi, lakini akishinda uchaguzi hu,

tume hiyo hiyo ni huru, haina kasoro wala dosari, inaongozwa na watu waadilifu wenye mioyo mieupe kama pamba 🐒
 
Tume Huru ya UchaguziTz, ni huru na itaendelea kua hivyo regardless ya maoni na mtazamo wa wachache wanaona sio huru 🐒

daima maoni yao yataheshimiwa huku yale ya wengi ambayo ndio katiba yenyewe sasa, ikiendelea kutekelezwa bila kuinajisi hata sheria moja 🐒

Katiba ni ya waTanzania, taasisi za uma ni za waTanzania na zinafanya kazi kwa kutokana na matakwa ya wengi kwa maslahi mapana ya wanainchi walio wengi, lakini kwa maslahi mapana ya waTanzania wote. wachache wanabaki kuskizwa na kuheshimika sana 🐒
Hujajibu hoja. Umeongea-ongea tu kiswahili
 
Kuzira,Kugoma na Kususa ni ubinadamu wa hali ya juu pale mtu anayekuzidi nguvu anapoamua kukugandamiza makusudi huku akijua fika kuwa anachokitenda si hali.Ni hali ya uzalendo kupinga dhuluma kwa vitendo,kupinga kunyanyaswa.Soma Katiba ya Jamhuri ya Muungano ya 1977 ibara ya 13(5)
sasa kuna haja gani kubwekabweka na mikelele mingi na porojo kibao,

si muendelee kuinjoy hicho kifungu ulicho nukuu, kwasabb hakuna kinachowezekana miongni mwa vinavyowafanya muwe na mihemko ambayo haina tija yoyote dhidi ya Tume Huru ya UchaguziTz chaguzi,

ambayo inakwenda kusimamia uchaguzi huru, wa wazi na wa haki mapema Oct 2025 bila mbambamba yoyote 🐒
 
eleza vizuri kwamba kinagaubaga kwamba, sifa ya Tume Huru ya Uchaguzi inapotea pale tu mpinzani anaposhindwa uchaguzi, lakini akishinda uchaguzi hu,

tume hiyo hiyo ni huru, haina kasoro wala dosari, inaongozwa na watu waadilifu wenye mioyo mieupe kama pamba 🐒
Siyo anaposhindwa uchaguzi bali Watoa maamuzi wanapofanya kwa makusudi kama walivyofanya 2019 na 2020.Mchezo baina Yanga na Mamelod Sundowns uliochezwa Afrika Kusini tarehe 05/04/2024 ni ushahidi tosha jinsi matokeo ya Uchaguzi yanavyokuwa yamepangwa na watawala.Mamelod na Waafrika Kusini mpaka leo wanakubali kuwa goli la AZIZ KI ni halali ila kuna maelekezo kutoka juu(from nowhere) ambayo yaliwanyima Yanga nafasi ya kupata goli halali.Na haya yamefanyika kwenye chaguzi nyingi Tanzania lakini kiboko yake ni 2019 na 2020.
 
sasa kuna haja gani kubwekabweka na mikelele mingi na porojo kibao,

si muendelee kuinjoy hicho kifungu ulicho nukuu, kwasabb hakuna kinachowezekana miongni mwa vinavyowafanya muwe na mihemko ambayo haina tija yoyote dhidi ya Tume Huru ya UchaguziTz chaguzi,

ambayo inakwenda kusimamia uchaguzi huru, wa wazi na wa haki mapema Oct 2025 bila mbambamba yoyote 🐒
Kubwekabweka ni halali yetu.Halafu wewe siyo mbwa pamoja kwamba nimekujibu kufwatana na kauli yako.Heshimu watu.Tanzania ni yetu.Ogopa kumchafua rais wako kejeli zisizo na tija.Leo Sukuma gang msiba haujaisha kwa sababu ya kauli hizi hizi za kijinga.
 
Hujajibu hoja. Umeongea-ongea tu kiswahili
baki na hoja ulizonazo mfukoni ukadhani visionary minds zitakua trapped kwenye zulia uliloliandaa, wasubiri wenzio 🐒

Tume Huru ya Uchaguzi inakwenda kusimamia uchaguzi huru, wa wazi na wa haki mapema Oct 2025, bila mbambamba kutoka upande wowote 🐒
 
baki na hoja ulizonazo mfukoni ukadhani visionary minds zitakua trapped kwenye zulia uliloliandaa, wasubiri wenzio 🐒

Tume Huru ya Uchaguzi inakwenda kusimamia uchaguzi huru, wa wazi na wa haki mapema Oct 2025, bila mbambamba kutoka upande wowote 🐒
Tutaona maneno ya makaratasi na matendo ni vitu tofauti.
 
Tufanye kama Nigeria..kura zihesabiwe hadharani. Haiwezekani tupoteze mabilioni ya shilingi kwenye uchaguzi kisha tuzingue kwenye mchakato mzima wa uchaguzi.
kwahivyo kua na mihemko ndio unaona sifa?

uhuru ni pamoja na kuzira, kususa au kugomea uchaguzi kwan kuna shida gan,

au umelazimishwa kuamini uhuru wa hiyo tume 🐒

yaani wewe ukishinda uchaguzi ndio tume inakua huru, ukishindwa uchaguzi ndio inakua sio Huru 🤣

useless and none sense
 
Chadema ni waramba asali mara munamsifu mama na kumtukuza, hamuishi vikao na Samia Ikulu, mulisema Chadema hatapiga magoti kwa serikali ya ccm, hatimae Tundu Lissu alimualika mama belgium bila kuweka wazi hadi leo waliongea nini belgium, lakini mbowe alipotoka jela breki ya kwanza Ikulu, alibadilisha koti na tai akiwa Ikulu ndio akaenda nyumbani kwake sasa mnalalamika nini.

Mmeramba asali sasa wanaoumia ni wananchi, Tundu Lissu haya anaongea sio kutoka moyoni ni kama anamfurahisha mfalme, chadema sasa ni CCM B hawaeleweki, Zamani chadema ikitetea Zanzibar huru sasa wanawatukana wazanzibari waziwazi baada mama kuwa Rais, Chadema haieleweki

Nafkiri Tanzania vyama vya upinzani hasa Chadema kimekosa muelekeo, Watanzania wanahitaji upinzani mpya usio na unafiki ndani yake, Chadema muda wake umekwisha, Mbowe sasa anakazia suruali tu muda wote Ikulu hana tena habari ya Katiba wala Tume huyu ya Uchaguzi. Mbowe siye tena yule wa zamani kwisha habari yake.
Jamani, ndo bado bado anajipanga kuanza shuguri subirini kwanza
 
Kubwekabweka ni halali yetu.Halafu wewe siyo mbwa pamoja kwamba nimekujibu kufwatana na kauli yako.Heshimu watu.Tanzania ni yetu.Ogopa kumchafua rais wako kejeli zisizo na tija.Leo Sukuma gang msiba haujaisha kwa sababu ya kauli hizi hizi za kijinga.
maoni na mtazamo wa wachache dhidi ya mambo mbalimbali humu nchini yataskizwa na kuheshimiwa daima 🐒

na kwakweli yale ambayo yanawasilishwa kiungwana na kwa lugha za staha na heshima, si tu yanaskizwa bali pia yanachukuliwa, yanachakatwa na pengine kutekelezwa kama ambavyo inaonekana inafaa 🐒

ni vizuri kujua maoni hayo ya wachache yana wasilishwa kwa watu ambao wako kazini kuwatumikia wanainchi.

sasa haiwezekani unakuja ofsini kwangu, unaleta ushauri, malalamiko au hoja ukiwa na mihemko au ghadhabu, kwa mtu ambae ana majukumu tayari, definitely atakupuuza tu na kuendelea na majukumu yake 🐒

hayo mengine ya msiba haujaisha, si wewe ulisanabisha au utakae sababisha chochote kwa uhai wa mwanadamu, na wala huna uwezo na chochote kwenye hilo ambalo kwa imani yangu siwezi babaika au kutishwa na wewe 🐒

Otherwise,
Tume Huru ya Uchaguzi, itausimamia kikamilifu kwa uwazi, usawa na haki uchaguzi mkuu ujao 2025. ni vizuri kujiandaa vyema kwa uchaguzi huo muhimu sana kwa Taifa letu 🐒
 
Tufanye kama Nigeria..kura zihesabiwe hadharani. Haiwezekani tupoteze mabilioni ya shilingi kwenye uchaguzi kisha tuzingue kwenye mchakato mzima wa uchaguzi.
wazo zuri sana hilo aise,
halafu pia ni rahisi sana hata utekelezeka wake 👊
 
Uwezo wa Lissu Kiuchumi wewe na ukoo wako wote mkichanga hamuufikii , hata mkifufua na ndugu zenu waliokufa wachangie hamtamfikia
bila kua kibaraka hawezi mshinda mwanangu wa2 kiuchumi achilia mbali wa 1🤣

acha na mimi leo nibishane kitoto sasa 🐒
 
Chadema ni waramba asali mara munamsifu mama na kumtukuza, hamuishi vikao na Samia Ikulu, mulisema Chadema hatapiga magoti kwa serikali ya ccm, hatimae Tundu Lissu alimualika mama belgium bila kuweka wazi hadi leo waliongea nini belgium, lakini mbowe alipotoka jela breki ya kwanza Ikulu, alibadilisha koti na tai akiwa Ikulu ndio akaenda nyumbani kwake sasa mnalalamika nini.

Mmeramba asali sasa wanaoumia ni wananchi, Tundu Lissu haya anaongea sio kutoka moyoni ni kama anamfurahisha mfalme, chadema sasa ni CCM B hawaeleweki, Zamani chadema ikitetea Zanzibar huru sasa wanawatukana wazanzibari waziwazi baada mama kuwa Rais, Chadema haieleweki

Nafkiri Tanzania vyama vya upinzani hasa Chadema kimekosa muelekeo, Watanzania wanahitaji upinzani mpya usio na unafiki ndani yake, Chadema muda wake umekwisha, Mbowe sasa anakazia suruali tu muda wote Ikulu hana tena habari ya Katiba wala Tume huyu ya Uchaguzi. Mbowe siye tena yule wa zamani kwisha habari yake.
Nonsense. Unajadili watu badala ya hoja.
 
Chadema ni waramba asali mara munamsifu mama na kumtukuza, hamuishi vikao na Samia Ikulu, mulisema Chadema hatapiga magoti kwa serikali ya ccm, hatimae Tundu Lissu alimualika mama belgium bila kuweka wazi hadi leo waliongea nini belgium, lakini mbowe alipotoka jela breki ya kwanza Ikulu, alibadilisha koti na tai akiwa Ikulu ndio akaenda nyumbani kwake sasa mnalalamika nini.

Mmeramba asali sasa wanaoumia ni wananchi, Tundu Lissu haya anaongea sio kutoka moyoni ni kama anamfurahisha mfalme, chadema sasa ni CCM B hawaeleweki, Zamani chadema ikitetea Zanzibar huru sasa wanawatukana wazanzibari waziwazi baada mama kuwa Rais, Chadema haieleweki

Nafkiri Tanzania vyama vya upinzani hasa Chadema kimekosa muelekeo, Watanzania wanahitaji upinzani mpya usio na unafiki ndani yake, Chadema muda wake umekwisha, Mbowe sasa anakazia suruali tu muda wote Ikulu hana tena habari ya Katiba wala Tume huyu ya Uchaguzi. Mbowe siye tena yule wa zamani kwisha habari yake.
Ukimaliza kuongea Yote tunaomba uchangie kuhusu Tume ya Uchaguzi maana Najua kuwa Huna Na huwezi kuchangia Chochote
 
Tume Huru ya UchaguziTz, ni huru na itaendelea kua hivyo regardless ya maoni na mtazamo wa wachache wanaona sio huru 🐒

daima maoni yao yataheshimiwa huku yale ya wengi ambayo ndio katiba yenyewe sasa, ikiendelea kutekelezwa bila kuinajisi hata sheria moja 🐒

Katiba ni ya waTanzania, taasisi za uma ni za waTanzania na zinafanya kazi kwa kutokana na matakwa ya wengi kwa maslahi mapana ya wanainchi walio wengi, lakini kwa maslahi mapana ya waTanzania wote. wachache wanabaki kuskizwa na kuheshimika sana 🐒
KWenye hili naomba Nipingane na wewe..
Tanzania hatuna Tume Huru Endapo Mgombea Wa urais (Mmoja ya wagombea) Ndio Anayechagua Tume na Tume iko chini yake..

Tume Huru wakati Tamisemi "Serikali" Ndo inasimamia Uchaguzi wa Serkali za Mitaa..?

Kuhusu Kuwa Huru kwa Jina Kweli jina lake limeitwa Tume huru...Je iko Huru??

Mimi ninaweza kuita au kuandika Tanzania Ni Nchi tajiri na TunaIzidi Dollar kwa Thamani ila je Kiuhalisia Tunaizidi Dollar??
 
Back
Top Bottom