Pre GE2025 Tundu Lissu: Tume ya Uchaguzi sio Huru, ni Tume ya Rais

Pre GE2025 Tundu Lissu: Tume ya Uchaguzi sio Huru, ni Tume ya Rais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
eleza vizuri kwamba kinagaubaga kwamba, sifa ya Tume Huru ya Uchaguzi inapotea pale tu mpinzani anaposhindwa uchaguzi, lakini akishinda uchaguzi hu,

tume hiyo hiyo ni huru, haina kasoro wala dosari, inaongozwa na watu waadilifu wenye mioyo mieupe kama pamba šŸ’
Mkuu Umebahatika Kusoma Report ys Uchaguzi ya waangalizi wa Uchaguzi kila uchaguzi Mkuu???
 
Ukimaliza kuongea Yote tunaomba uchangie kuhusu Tume ya Uchaguzi maana Najua kuwa Huna Na huwezi kuchangia Chochote
Tume huru ya uchaguzi ilikuwa inahitajika kabla ya chadema kukubali kufanya kazi na samia sasa kila kitu kitashindikana na imekuwa muhali sasa Mbowe kumsema Rais
 
Nonsense. Unajadili watu badala ya hoja.
Mlisema maalim seif alikuwa anatumiliwa na ccm sasa muda umefika kwa chama chenu mnatia ulimi puani, tume huru ya uchaguzi ni ndoto mana sasa imekubwa ni muhali chadema kumsema ama kukosoa kwa rais, mbowe yupo ikulu muda wote
 
Mlisema maalim seif alikuwa anatumiliwa na ccm sasa muda umefika kwa chama chenu mnatia ulimi puani, tume huru ya uchaguzi ni ndoto mana sasa imekubwa ni muhali chadema kumsema ama kukosoa kwa rais, mbowe yupo ikulu muda wote
Acha porojo jikite kwenye mada
 
KWenye hili naomba Nipingane na wewe..
Tanzania hatuna Tume Huru Endapo Mgombea Wa urais (Mmoja ya wagombea) Ndio Anayechagua Tume na Tume iko chini yake..

Tume Huru wakati Tamisemi "Serikali" Ndo inasimamia Uchaguzi wa Serkali za Mitaa..?

Kuhusu Kuwa Huru kwa Jina Kweli jina lake limeitwa Tume huru...Je iko Huru??

Mimi ninaweza kuita au kuandika Tanzania Ni Nchi tajiri na TunaIzidi Dollar kwa Thamani ila je Kiuhalisia Tunaizidi Dollar??
suala la imani ya mtu kwamba aamini jambo fulani au asiamini hiyo ni issue binafsi siwezi babaika kumlazimisha yeyeto aamini ninacho amini mimi kuhusu Tume Huru ya Uchaguzi....

Liko wazi na bayana kabisa hili, tangu tulipoanza uchaguzi wa vyama vingi, na hata leo hii wanao sema si tume huru, ndio hao hao walithibitishwa na tume hii hii huru kwamba ndio washindi wa uchaguzi, wakati huo ilikua huru right?šŸ’

so,
mie sidhani kama serikali itababaika hata kidogo kwenye jambo hili, iko hivyo na itakua hivyo regardless nchi nyingine wanafanya tofauti nasi šŸ’

hata hivyo,
by the way maeneo mengi duniani Mwenyekiti wa tume huru ya uchaguzi anateuliwa na Rais baadaa ya kuthibitika kwamba ana vigezo vyote kushika wadhifa huo.šŸ’

kupanga ni kuchagua,
maoni ya wachache yataendelea kuskizwa na kuheshimiwa, na yale ya wengi yataendelea kutekelezwa bila mbambamba ya shinikizo, kutoka kwa kikundi au watu fulani wa kutoka nje au ndani ya inchi. šŸ’

ni vizur vyama vya kisiasa kujiandaa vyema kwa uchaguzi wa serikali za mtaa mapema mwishoni mwa mwaka huu na uchaguzi mkuu mapema Oct 2025. Serikali iko kazini kuwatumikia wanainchi na kutekeleza ilani ya CCM šŸ’
 
Tume huru ya uchaguzi ilikuwa inahitajika kabla ya chadema kukubali kufanya kazi na samia sasa kila kitu kitashindikana na imekuwa muhali sasa Mbowe kumsema Rais
Sijakuelewa Ulichoandika Mkuu
 
suala la imani ya mtu kwamba aamini jambo fulani au asiamini hiyo ni issue binafsi siwezi babaika kumlazimisha yeyeto aamini ninacho amini mimi kuhusu Tume Huru ya Uchaguzi....

Liko wazi na bayana kabisa hili, tangu tulipoanza uchaguzi wa vyama vingi, na hata leo hii wanao sema si tume huru, ndio hao hao walithibitishwa na tume hii hii huru kwamba ndio washindi wa uchaguzi, wakati huo ilikua huru right?šŸ’

so,
mie sidhani kama serikali itababaika hata kidogo kwenye jambo hili, iko hivyo na itakua hivyo regardless nchi nyingine wanafanya tofauti nasi šŸ’
Mkuu mimi sijazungumzia Kubabaika kwa serkali au Kutingishika kwa Serkali ila Ninachozungumzia kikp Huru kabisa ni kuhusu Hiyo TUME huru ya uchaguzi..
hata hivyo,
by the way maeneo mengi duniani Mwenyekiti wa tume huru ya uchaguzi anateuliwa na Rais baadaa ya kuthibitika kwamba ana vigezo vyote kushika wadhifa huo.šŸ’

Unaweza kunitajia Hizo Nchi as Far as I know Mchi nyingi Except Tanzani huwa Kuna Body Maalumu Huteua Mwenyekiti Na body Hiyo Huwa Huru Ambayo Inatokana na Majaji na Jaji mkuu..
Ndiyo Huteua..

Baadae Huapisha na Jaji mkuu..
Kwa mfano Judicial Service Commission Board Ambayo ilo Ireland..
Pia canada wanafanya hivyo India na kwingine kote..

NIonyeshe Nchi 7 tu tofauti na Tanzania Ambayo Mwenyekiti anachaguliwa na Rais
 
Zinasemaje Shida yetu kwenye Uchaguzi ni nini?
EAC observers waliona dosari kwa vyama vya kisiasa jinsi ya kulalamikia kutoridhishwa kwao na kushindwa uchaguzi šŸ’

mathalani walitoa wito na kushauri wanasiasa kufuata taratibu za kisheria kuonyesha kutoridhishwa kwao na matokeo ya uchaguzi šŸ’

na kuweka maslahi ya waTanzania mbele kuepuka utovu wa kiusalama na amani Lakini pia kunusuru vitendo vyovyote vya uvunjifu wa Amani na utulivu wa waTanzania šŸ’

Otherwise,
waangalizi wa uchaguzi kutoka EAC,
waliipongeza sana tume ya uchaguzi kwa kusimamia kwa usalama sana, uchaguzi huru wa wazi, na wa haki tangu nyakati za kampeni hadi matokeo yalipotangazwa šŸ’
 
Mkuu mimi sijazungumzia Kubabaika kwa serkali au Kutingishika kwa Serkali ila Ninachozungumzia kikp Huru kabisa ni kuhusu Hiyo TUME huru ya uchaguzi..


Unaweza kunitajia Hizo Nchi as Far as I know Mchi nyingi Except Tanzani huwa Kuna Body Maalumu Huteua Mwenyekiti Na body Hiyo Huwa Huru Ambayo Inatokana na Majaji na Jaji mkuu..
Ndiyo Huteua..

Baadae Huapisha na Jaji mkuu..
Kwa mfano Judicial Service Commission Board Ambayo ilo Ireland..
Pia canada wanafanya hivyo India na kwingine kote..

NIonyeshe Nchi 7 tu tofauti na Tanzania Ambayo Mwenyekiti anachaguliwa na Rais
Ireland mbona mbali sana,
hapa tu jirani kenya...

Wafula Chibukati amemaliza muda wake na imesemekana ni wa chama Tawala UDA, na wale makamishna wa5 waliogomea matokeo ya uchaguzi katikati ya kutangazwa, kama unafatilia, utajua na wao walikua nyuma ya nani na aliewateu na kuwatuma kufanya nini pale tume ya uchaguzi. Lakini hiyo sio hoja....

Mwenyekiti mpya wa tume ya uchaguzi Kenya hawezi kutoka nje ya chama Tawala UDA chini ya Muungano wa Kenya kwanza, licha ya kupitia hatua zote, vigezo na masharti ya kikatiba lakini mwishowe atatateuliwa na Rais kama maigizo tu, lakini undani na ukweli wa mambo ni dhahiri Rais hawezi kuepuka kumteua Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi šŸ’
 
Hivi wewe zinakutosha kweli,eti Lissu alimualika Rais kwenda Ubelgiji,hii ni akili au matope,yaani mtu yuko uhamishoni then amuite rais wa nchi aliyotoka na huyo rais aje kweli?
14-640x648.jpg
 
Anapofanya vizuri sio vibaya akasifiwa na kutiwa moyo ili afanye vizuri zaidi.

Chadema sio wanafiki akifanya vibaya wanamkumbusha tena kwamba hapa Mama sio poa.
Na huo ndio uungwana
Unajipa moyo, picha zinaeleza

maxresdefault (1).jpg
 
Back
Top Bottom