eleza vizuri kwamba kinagaubaga kwamba, sifa ya Tume Huru ya Uchaguzi inapotea pale tu mpinzani anaposhindwa uchaguzi, lakini akishinda uchaguzi hu,Huwezi kuiita Tume Huru ya Uchaguzi kwenye nchi yenye mfumo wa Vyama Vingi vya Siasa lakini Wakurugenzi na Watendaji wakuu 100% wanatoka chama Tawala na asilimia kubwa ni wateule wa Rais aliyep madarakani.Sifa ya neno HURU inapotea pale tu ambapo asilimia kubwa watendaji wake na wasimamizi wake ni wa chama kimoja cha siasa tena chama dola.
Hujajibu hoja. Umeongea-ongea tu kiswahiliTume Huru ya UchaguziTz, ni huru na itaendelea kua hivyo regardless ya maoni na mtazamo wa wachache wanaona sio huru π
daima maoni yao yataheshimiwa huku yale ya wengi ambayo ndio katiba yenyewe sasa, ikiendelea kutekelezwa bila kuinajisi hata sheria moja π
Katiba ni ya waTanzania, taasisi za uma ni za waTanzania na zinafanya kazi kwa kutokana na matakwa ya wengi kwa maslahi mapana ya wanainchi walio wengi, lakini kwa maslahi mapana ya waTanzania wote. wachache wanabaki kuskizwa na kuheshimika sana π
sasa kuna haja gani kubwekabweka na mikelele mingi na porojo kibao,Kuzira,Kugoma na Kususa ni ubinadamu wa hali ya juu pale mtu anayekuzidi nguvu anapoamua kukugandamiza makusudi huku akijua fika kuwa anachokitenda si hali.Ni hali ya uzalendo kupinga dhuluma kwa vitendo,kupinga kunyanyaswa.Soma Katiba ya Jamhuri ya Muungano ya 1977 ibara ya 13(5)
Siyo anaposhindwa uchaguzi bali Watoa maamuzi wanapofanya kwa makusudi kama walivyofanya 2019 na 2020.Mchezo baina Yanga na Mamelod Sundowns uliochezwa Afrika Kusini tarehe 05/04/2024 ni ushahidi tosha jinsi matokeo ya Uchaguzi yanavyokuwa yamepangwa na watawala.Mamelod na Waafrika Kusini mpaka leo wanakubali kuwa goli la AZIZ KI ni halali ila kuna maelekezo kutoka juu(from nowhere) ambayo yaliwanyima Yanga nafasi ya kupata goli halali.Na haya yamefanyika kwenye chaguzi nyingi Tanzania lakini kiboko yake ni 2019 na 2020.eleza vizuri kwamba kinagaubaga kwamba, sifa ya Tume Huru ya Uchaguzi inapotea pale tu mpinzani anaposhindwa uchaguzi, lakini akishinda uchaguzi hu,
tume hiyo hiyo ni huru, haina kasoro wala dosari, inaongozwa na watu waadilifu wenye mioyo mieupe kama pamba π
Kubwekabweka ni halali yetu.Halafu wewe siyo mbwa pamoja kwamba nimekujibu kufwatana na kauli yako.Heshimu watu.Tanzania ni yetu.Ogopa kumchafua rais wako kejeli zisizo na tija.Leo Sukuma gang msiba haujaisha kwa sababu ya kauli hizi hizi za kijinga.sasa kuna haja gani kubwekabweka na mikelele mingi na porojo kibao,
si muendelee kuinjoy hicho kifungu ulicho nukuu, kwasabb hakuna kinachowezekana miongni mwa vinavyowafanya muwe na mihemko ambayo haina tija yoyote dhidi ya Tume Huru ya UchaguziTz chaguzi,
ambayo inakwenda kusimamia uchaguzi huru, wa wazi na wa haki mapema Oct 2025 bila mbambamba yoyote π
Hawa wanalazimisha nguvu itumike kuwatoa
baki na hoja ulizonazo mfukoni ukadhani visionary minds zitakua trapped kwenye zulia uliloliandaa, wasubiri wenzio πHujajibu hoja. Umeongea-ongea tu kiswahili
Tutaona maneno ya makaratasi na matendo ni vitu tofauti.baki na hoja ulizonazo mfukoni ukadhani visionary minds zitakua trapped kwenye zulia uliloliandaa, wasubiri wenzio π
Tume Huru ya Uchaguzi inakwenda kusimamia uchaguzi huru, wa wazi na wa haki mapema Oct 2025, bila mbambamba kutoka upande wowote π
kwahivyo kua na mihemko ndio unaona sifa?
uhuru ni pamoja na kuzira, kususa au kugomea uchaguzi kwan kuna shida gan,
au umelazimishwa kuamini uhuru wa hiyo tume π
yaani wewe ukishinda uchaguzi ndio tume inakua huru, ukishindwa uchaguzi ndio inakua sio Huru π€£
useless and none sense
Jamani, ndo bado bado anajipanga kuanza shuguri subirini kwanzaChadema ni waramba asali mara munamsifu mama na kumtukuza, hamuishi vikao na Samia Ikulu, mulisema Chadema hatapiga magoti kwa serikali ya ccm, hatimae Tundu Lissu alimualika mama belgium bila kuweka wazi hadi leo waliongea nini belgium, lakini mbowe alipotoka jela breki ya kwanza Ikulu, alibadilisha koti na tai akiwa Ikulu ndio akaenda nyumbani kwake sasa mnalalamika nini.
Mmeramba asali sasa wanaoumia ni wananchi, Tundu Lissu haya anaongea sio kutoka moyoni ni kama anamfurahisha mfalme, chadema sasa ni CCM B hawaeleweki, Zamani chadema ikitetea Zanzibar huru sasa wanawatukana wazanzibari waziwazi baada mama kuwa Rais, Chadema haieleweki
Nafkiri Tanzania vyama vya upinzani hasa Chadema kimekosa muelekeo, Watanzania wanahitaji upinzani mpya usio na unafiki ndani yake, Chadema muda wake umekwisha, Mbowe sasa anakazia suruali tu muda wote Ikulu hana tena habari ya Katiba wala Tume huyu ya Uchaguzi. Mbowe siye tena yule wa zamani kwisha habari yake.
maoni na mtazamo wa wachache dhidi ya mambo mbalimbali humu nchini yataskizwa na kuheshimiwa daima πKubwekabweka ni halali yetu.Halafu wewe siyo mbwa pamoja kwamba nimekujibu kufwatana na kauli yako.Heshimu watu.Tanzania ni yetu.Ogopa kumchafua rais wako kejeli zisizo na tija.Leo Sukuma gang msiba haujaisha kwa sababu ya kauli hizi hizi za kijinga.
Lissu ni shujaaKUMEKUCHA!!!!!
Tundu Lissu kiwanda cha UKWELI
wazo zuri sana hilo aise,Tufanye kama Nigeria..kura zihesabiwe hadharani. Haiwezekani tupoteze mabilioni ya shilingi kwenye uchaguzi kisha tuzingue kwenye mchakato mzima wa uchaguzi.
shujaa mwenye njaa πLissu ni shujaa
Uwezo wa Lissu Kiuchumi wewe na ukoo wako wote mkichanga hamuufikii , hata mkifufua na ndugu zenu waliokufa wachangie hamtamfikiashujaa mwenye njaa π
bila kua kibaraka hawezi mshinda mwanangu wa2 kiuchumi achilia mbali wa 1π€£Uwezo wa Lissu Kiuchumi wewe na ukoo wako wote mkichanga hamuufikii , hata mkifufua na ndugu zenu waliokufa wachangie hamtamfikia
Raisi wa chama cha mpira nchini Mbeya.Kutukana Rais tena?
Nonsense. Unajadili watu badala ya hoja.Chadema ni waramba asali mara munamsifu mama na kumtukuza, hamuishi vikao na Samia Ikulu, mulisema Chadema hatapiga magoti kwa serikali ya ccm, hatimae Tundu Lissu alimualika mama belgium bila kuweka wazi hadi leo waliongea nini belgium, lakini mbowe alipotoka jela breki ya kwanza Ikulu, alibadilisha koti na tai akiwa Ikulu ndio akaenda nyumbani kwake sasa mnalalamika nini.
Mmeramba asali sasa wanaoumia ni wananchi, Tundu Lissu haya anaongea sio kutoka moyoni ni kama anamfurahisha mfalme, chadema sasa ni CCM B hawaeleweki, Zamani chadema ikitetea Zanzibar huru sasa wanawatukana wazanzibari waziwazi baada mama kuwa Rais, Chadema haieleweki
Nafkiri Tanzania vyama vya upinzani hasa Chadema kimekosa muelekeo, Watanzania wanahitaji upinzani mpya usio na unafiki ndani yake, Chadema muda wake umekwisha, Mbowe sasa anakazia suruali tu muda wote Ikulu hana tena habari ya Katiba wala Tume huyu ya Uchaguzi. Mbowe siye tena yule wa zamani kwisha habari yake.
Ukimaliza kuongea Yote tunaomba uchangie kuhusu Tume ya Uchaguzi maana Najua kuwa Huna Na huwezi kuchangia ChochoteChadema ni waramba asali mara munamsifu mama na kumtukuza, hamuishi vikao na Samia Ikulu, mulisema Chadema hatapiga magoti kwa serikali ya ccm, hatimae Tundu Lissu alimualika mama belgium bila kuweka wazi hadi leo waliongea nini belgium, lakini mbowe alipotoka jela breki ya kwanza Ikulu, alibadilisha koti na tai akiwa Ikulu ndio akaenda nyumbani kwake sasa mnalalamika nini.
Mmeramba asali sasa wanaoumia ni wananchi, Tundu Lissu haya anaongea sio kutoka moyoni ni kama anamfurahisha mfalme, chadema sasa ni CCM B hawaeleweki, Zamani chadema ikitetea Zanzibar huru sasa wanawatukana wazanzibari waziwazi baada mama kuwa Rais, Chadema haieleweki
Nafkiri Tanzania vyama vya upinzani hasa Chadema kimekosa muelekeo, Watanzania wanahitaji upinzani mpya usio na unafiki ndani yake, Chadema muda wake umekwisha, Mbowe sasa anakazia suruali tu muda wote Ikulu hana tena habari ya Katiba wala Tume huyu ya Uchaguzi. Mbowe siye tena yule wa zamani kwisha habari yake.
KWenye hili naomba Nipingane na wewe..Tume Huru ya UchaguziTz, ni huru na itaendelea kua hivyo regardless ya maoni na mtazamo wa wachache wanaona sio huru π
daima maoni yao yataheshimiwa huku yale ya wengi ambayo ndio katiba yenyewe sasa, ikiendelea kutekelezwa bila kuinajisi hata sheria moja π
Katiba ni ya waTanzania, taasisi za uma ni za waTanzania na zinafanya kazi kwa kutokana na matakwa ya wengi kwa maslahi mapana ya wanainchi walio wengi, lakini kwa maslahi mapana ya waTanzania wote. wachache wanabaki kuskizwa na kuheshimika sana π