zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Dawa ya deni ni kulipa mkuu hakuna janja janja, mahakama za huko nje hazina utani siku mkiporwa ndege ikataifishwa ndio mtaelewa hakuna longo longo kama mahakama za humu ndani.Tundu Lisu hana ujuzi wa kisheria kutuzuia tusilipe?
Amewatetea wapi? Unaweza taja hata kesi Moja.Ila Lisu ana muda msafi wa kutetea Acacia?
Kabudi si yupo!! Mumtume akawatolee macho mabeberu plus Yale mapovu yake labda wataogopa.Atusaidie na sasa ndege yetu iachiwe
Kweli...Sema hii imekaa kinafki sana
Yaani umemcheka bila yeye kujua.
Lisu anajua sheria za kutetea Acacia tu?Yaani umemcheka bila yeye kujua.
Ndipo shida na chuki ilipoanzia, sio suala la haki na mustakabali kamili wa nchi, ila ULAFI wa wachache ULIBANWA.Nenda chato utapata majibu ya yote hayo. Alibana mwisho akaachia.
Atatumia ujuzi gani wakati ndio anafurahia ndege kukamatwa wakati mwingine usikute ndio wanawaelekeza wao hao wakamataji wa ndege soma humu chini jinsi nyumbu wanavyokometi kwa kufurahaWatanzania hawana haja ya kuteseka kuhusiana na kukamatwa kwa ndege ya Air Tanzania ambayo imefikisha miezi 6 sasa bila kuachiwa kwani walitumia kodi zao kusomesha wasomi wazuri wa sheria wenye uwezo wa kutetea hadi makampuni ya nje kama Acacia akina Tundu Lisu na wenzake.
Kwenye awamu ya tano kila ndege inapokamatwa Rais Magufuli alikuwa anamtuma Prof Kabudi na ndege zilikuwa zinaachiwa kwa kasi ya ajabu ndani ya mwezi mmoja kwa kutumia ujuzi wake wa sheria aliosomea kwa kodi za watanzania, leo kwenye awamu ya sita Prof. Kabudi ametumbuliwa hayupo.
Kwa kuwa Chadema wameamua kulamba asali na kuungana na awamu ya 6 basi tunamuomba Rais Samia amtume Tundu Lisu aende akaikomboe hiyo ndege kwani uzalendo wa Lisu utapimwa kwa kuwatetea watanzania na siyo kutetea kampuni la Acacia.
Ona hili jinga baada ya dawa zake za kuongeza nguvu za kiume kukosa soko msikiti wa Riadha Moshi umehamia Singida kwa Tundu.Lisu anajua sheria za kutetea Acacia tu?
Unaweza ukatuambia ni deni gani?Dawa ya deni kulipa deni
Tupe ushahidi walilipa deni?Sio kweli, mlikubali kulipa ndio maana.
Watanzania hawana haja ya kuteseka kuhusiana na kukamatwa kwa ndege ya Air Tanzania ambayo imefikisha miezi 6 sasa bila kuachiwa kwani walitumia kodi zao kusomesha wasomi wazuri wa sheria wenye uwezo wa kutetea hadi makampuni ya nje kama Acacia akina Tundu Lisu na wenzake.
Kwenye awamu ya tano kila ndege inapokamatwa Rais Magufuli alikuwa anamtuma Prof Kabudi na ndege zilikuwa zinaachiwa kwa kasi ya ajabu ndani ya mwezi mmoja kwa kutumia ujuzi wake wa sheria aliosomea kwa kodi za watanzania, leo kwenye awamu ya sita Prof. Kabudi ametumbuliwa hayupo.
Kwa kuwa Chadema wameamua kulamba asali na kuungana na awamu ya 6 basi tunamuomba Rais Samia amtume Tundu Lisu aende akaikomboe hiyo ndege kwani uzalendo wa Lisu utapimwa kwa kuwatetea watanzania na siyo kutetea kampuni la Acacia.
Hawezi kukwambia huyo nyumbuUnaweza ukatuambia ni deni gani?
kwanza aliesababisha pipa letu lidakwe ndio wa kupewa lawama zote, pili.. hakunaga janja janja kweny ishu ya madai au mkataba, deni lilipwe effectively!!Watanzania hawana haja ya kuteseka kuhusiana na kukamatwa kwa ndege ya Air Tanzania ambayo imefikisha miezi 6 sasa bila kuachiwa kwani walitumia kodi zao kusomesha wasomi wazuri wa sheria wenye uwezo wa kutetea hadi makampuni ya nje kama Acacia akina Tundu Lisu na wenzake.
Kwenye awamu ya tano kila ndege inapokamatwa Rais Magufuli alikuwa anamtuma Prof Kabudi na ndege zilikuwa zinaachiwa kwa kasi ya ajabu ndani ya mwezi mmoja kwa kutumia ujuzi wake wa sheria aliosomea kwa kodi za watanzania, leo kwenye awamu ya sita Prof. Kabudi ametumbuliwa hayupo.
Kwa kuwa Chadema wameamua kulamba asali na kuungana na awamu ya 6 basi tunamuomba Rais Samia amtume Tundu Lisu aende akaikomboe hiyo ndege kwani uzalendo wa Lisu utapimwa kwa kuwatetea watanzania na siyo kutetea kampuni la Acacia.
Siyo mara kwanza ndege kukamatwa na kuachiwa, kwa nini hii haiachiwi?kwanza aliesababisha pipa letu lidakwe ndio wa kupewa lawama zote, pili.. hakunaga janja janja kweny ishu ya madai au mkataba, deni lilipwe effectively!!
Mlipeni beberu hela yake hakuna short cut hapo.Siyo mara kwanza ndege kukamatwa na kuachiwa, kwa nini hii haiachiwi?
Wewe kiroboto wewe!! nani akubali kuwapa ujiko CDM? kwani kabundi katumbuliwa? Kutokuwepo serikalini ni kuwa hakusomeshwa na kodi yako! Kiroboto kunguni wahead!Watanzania hawana haja ya kuteseka kuhusiana na kukamatwa kwa ndege ya Air Tanzania ambayo imefikisha miezi 6 sasa bila kuachiwa kwani walitumia kodi zao kusomesha wasomi wazuri wa sheria wenye uwezo wa kutetea hadi makampuni ya nje kama Acacia akina Tundu Lisu na wenzake.
Kwenye awamu ya tano kila ndege inapokamatwa Rais Magufuli alikuwa anamtuma Prof Kabudi na ndege zilikuwa zinaachiwa kwa kasi ya ajabu ndani ya mwezi mmoja kwa kutumia ujuzi wake wa sheria aliosomea kwa kodi za watanzania, leo kwenye awamu ya sita Prof. Kabudi ametumbuliwa hayupo.
Kwa kuwa Chadema wameamua kulamba asali na kuungana na awamu ya 6 basi tunamuomba Rais Samia amtume Tundu Lisu aende akaikomboe hiyo ndege kwani uzalendo wa Lisu utapimwa kwa kuwatetea watanzania na siyo kutetea kampuni la Acacia.