Utaniwia radhi sana kama nimekuchanganya na mnyarwanda mmoja humu aliyeleta tabia za huko kwao na kubandika lugha yao kwenye jukwaa hili wiki chache zilizo pita akijibishana na mkuu 'imhotep'.
Kitu pekee kinachoweza kumvurugia Tundu Lissu kwa sasa hivi ni CHADEMA tu basi!