Hapa Lissu kapotea!
Umkabili Samia kwenye uchaguzi wenye tume ile ile iliyojaa maafisa vipenyo wa serikali wenye viapo vya utii kwa rais??
Wakurugenzi na PoliCCM wanalinda vibarua vyao unatarajia ushindi gani?
Hapo baada ya uchaguzi tutarajie wimbo ule ule wa miaka yote "TUMEIBIWA" halafu inapita miaka mingine mitano mnajiingiza kwenye igizo hili linaoitwa uchaguzi.
CHADEMA walitakiwa wasusie uchaguzi huu bila tume huru na mfumo mpya wa kueleweka.
Umkabili Samia kwenye uchaguzi wenye tume ile ile iliyojaa maafisa vipenyo wa serikali wenye viapo vya utii kwa rais??
Wakurugenzi na PoliCCM wanalinda vibarua vyao unatarajia ushindi gani?
Hapo baada ya uchaguzi tutarajie wimbo ule ule wa miaka yote "TUMEIBIWA" halafu inapita miaka mingine mitano mnajiingiza kwenye igizo hili linaoitwa uchaguzi.
CHADEMA walitakiwa wasusie uchaguzi huu bila tume huru na mfumo mpya wa kueleweka.