Tundu Lissu: Tutazipima kauli za Kikwete kwenye Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala!

kama viongozi wa upinzani wangekuwa na maono kama ya jk hili taifa lingekuwa mbali sana wao wanaandamana na kupigana lakini jk hoja tu watu wanashuka wenyewe.
 

Lissu anatapatapa, na ni mnafiki kweli, yeye alikuwa kwenye kamati kwa nini aliruhusu vipengele vingine viongezwe? mnafiki sana huyu mtu. Amebaki kulalama kwa vile Rais amemchana live.
 

kumbe mtu ukiwa unawaza negative ndiyo uwezo kubwa wa kufikiri?,tundu lisu anawaza negative ni mzushi,mnafiki,mbea hilo halina ubishi,
ukiona mpaka rais anaona unafiki na umbe wa mtu huyo mtu ni mbea kweli.
 
kama viongozi wa upinzani wangekuwa na maono kama ya jk hili taifa lingekuwa mbali sana wao wanaandamana na kupigana lakini jk hoja tu watu wanashuka wenyewe.

Mkuu mimi nilkjua tu siku JK akishuka nondo watabaki kutapatapa tu kama anavyofanya LISSU sasa.
 
kama utaki basi amuige abdallah bulembo,,le baharia,,ndugai,,wasira,lukuvi,chikawe..
Wauaji wa CHADEMA ndiyo hao na mtawakumbuka daima jinsi walivyo mwiba kwenu, teh teh teh.
 

Mbona haya anayasema leo baada ya kuchanwa live na Rais?
 
kumbe mtu ukiwa unawaza negative ndiyo uwezo kubwa wa kufikiri?,tundu lisu anawaza negative ni mzushi,mnafiki,mbea hilo halina ubishi,
ukiona mpaka rais anaona unafiki na umbe wa mtu huyo mtu ni mbea kweli.

inawezekana kama ukimtumia rais kama malaika/mungu......alaf sioni haja ya mzee (happy birthday) kumuita TL hayo majina yote wakati basis ni ....kuambiwa,kusikia,nk....siyo sahihi maana inawezekana walokwambia wamekudanganya...na hili suala la kudanganya ikulu linaelekea kuota mizizi....
 

umeamka na hangover?
 
Hapana bhana , mimi nakataa ! Tundu lisu ni neema .
namshangaa sana tundu la ushuzi sijui anaona WTZ kama makalio yake, acha uzezeta, mwanaizaya we, hiyo akili uliyopewa mbona unaitumia kuangamiza watu wasio na hatia? kama kweli mnania hiyo mbona mmejipanga ikiludi bungeni mtatoka nje ili katiba mpya isipatikane? ivi kweli nyie viongozi wa chadema mnawaza kwa kutumia nini? kweli mmevulugwa vya kutosha, kumbukeni mmetumwa kama wawakilishi bungeni kwa niaba ya Wananchi, mnavyokimbia vikao vya bunge wanaoumia ni wananchi waliowaagiza au matumbo yenu? acheni ubahadhuri wana watoka pabaya, wana wajambia -----. huyu mtu hafai ktk jamii ya kitanzania.
 
Hili nalo neno!!


Aliongeza kuwa Rais Kikwete katika hotuba yake alisema ‘ameambiwa’, ‘ameelezwa’ na ‘amefahamishwa’, maneno ambayo ameyatamka mara tisa, na hivyo kuhoji inakuwaje rais anahutubia taifa kwa maneno ya kuambiwa ambayo kisheria hayana nguvu?
 
chama kipya

Today 07:57
#14
MemberArray


Join Date : 30th September 2013
Posts : 81
Rep Power : 317
Likes Received5
Likes Given6



.

Join date: 30th September, 2013

Huhitaji kujua ni member mwingine wa buku7 project
 
mkuu mimi naamini hata kama utachanganya watu wa ukoo wenu wote hamuwezi kufikia akili ya jk ni kiongozi wa pekee sana japo wapo watu ambao hawamwelewi.

Akili! kwa kigezo kipi? darasani wote tunajuwa alichovuna, katika uongozi wewe mwenyewe unajuwa mara ngapi amekiri kupewa ushauri mbovu, alikochukuwa net za futi 2 unajuwa aliwapa nini, bandari ya bagamoyo na gasi pia ni akili labda ya kulinda maslahi ya familia, kushindwa kukemea vitendo vya kifisadi, rushwa na wizi wa mali ya umma nayo pia ni akili?! MIMI SIDHANI BENDELA KUFUATA UELEKEO WA UPEPO NI AKILI. Tupo hapa tulipo kwa sababu ya kuweka madarakani viongozi wasio na upeo wa kulinda mali za nchi, kusimamia umoja wetu katika sekta za elimu, afya, mahakama na ajira.
 
Tundu lissu zidi kutupa ukweli, ufisadi tumechoka na hatutaki,hotuba nzima Tundu lissu-go ahead Brother Tundu.
 
Tundu lissu zidi kutupa ukweli, ufisadi tumechoka na hatutaki,hotuba ni Tundu lissu-go ahead Brother Tundu.
 

Namuomba mod wa Lumumba akupe red card, huna unachofanya.... Unazidiwa hadi na Le Mutuz
 
wauaji wa chadema ndiyo hao na mtawakumbuka daima jinsi walivyo mwiba kwenu, teh teh teh.

kwa taarifa yako hakuna anayeiweza chadema ,,maana chadema nikama pumzi utake usitake utaivuta tu,,ukijifanya mkaidi tunakupoteza,,,,,,labda waishinde chadema kwakuendeleea kumdanganya mzee wa magogoni,,,NILIAMBIWA AKA NILIAMBIWA AKA NILIAMBIWA AKA,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…