Tundu Lissu: Tutazipima kauli za Kikwete kwenye Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala!

Tundu Lissu: Tutazipima kauli za Kikwete kwenye Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala!

Unafiki na uzandiki maana yeke nini?......nijuavyo mnafiki ni mtu muongo anayechukua maneno huku na kuyapeleka huku,uzandiki sijui.......kumuita Tundu Lissu hayo majina sijui kama kweli mheshimiwa hapo kashauriwa vizuri,mwisho wa siku itakuja dhihirika Lissu alikuwa sahihi kama anavyojieleza sasa huko makao makuu ya CDM na Mh.Rais atabaki na soni,JK ana nia nzuri na katiba mpya lkn wenzake ndani ya chama hawana so asiwasikilize 100% maana hawana dhamira ya kweli,ngoja Tundu Lissu amalize press yake raia tuchuje,yupi mnafiki na mzandiki,Lissu au washauri wa Mh.Rais?

Sifongo,mimi sioni kama Raisi JK ana NIA YA DHATI ya sisi wananchi kupata KATIBA ya Watanzania wote bila kujali itikadi kisiasa za wananchi, kwani suala hili kwanza halikuwa kwenye manifesto ya CCM wala ILANI ktk uchaguzi mkuu uliopita(2010).Hili lilikua la chama cha CDM ambao naamini waliishajipanga vizuri kukabiliana nalo na kulitimiza ipasavyo.

Kwa vyovyote vile itakuwa vigumu sana kwa serikali ya CCM kutimiza matakwa ya Ukweli na Uwazi katika mchakato huu mzima bila KUUCHAKACHUA ili uendane na itikadi za chama chao cha CCM bila kujali kuwa KATIBA ni ya mawazo na mapendekezo ya wananchi na si ya chama chochote cha siasa.Kwani sioni kuwa amejipanga kukabiliana na wabunge wenye msimamo mkali wa chama chake CCM ambao ki-ukweli tangu awali hawakuwa na nia ya kufanyika kwa mchakato ya Katiba Mpya

Hata hotuba yake ya juzi kwa Taifa siamini mambo ya kuambiwa na wasaidizi wake hakuona kuwa yameleta mtafaruku bungeni na hakuona sababu za wabunge wa upinzani wao kutoka nje kikao cha bunge ili wasijadili MUSWADA mmbovu wenye uwelekeo wa kupedelea maoni ya chama tawala na si maoni ya wananchi wote(Watanzania)
Kwa hapa tulipofikia tuombe Mungu sana NINA WASIWASI..........!!!!!!!!!
 
Halaf kuna haja ya KU-ERADICATE watu kama LISU kwa maslah mapana ya taifa..
Siku zote amekuwa akionyesha dharau ya wazi na makusudi kwa WAZANZIBAR kisa kikiwa ni UISLAM wao.
Leo hii amekuwa ndio msemaji wa wazanzibar kwa sababu tu anawahitaji.
Uzandiki wake wa kutaka kufarakanisha taifa kwa misingi ya dini umefikia mahali pa kutovumilika.TEC na CCT ni miongoni mwa taasisi zilizoshirikishwa lakini anataka tuelewe tofauti.
Wanasiasa kama huyu wanapoteza kabisa haki ya,kuendelea kuishi kana wanasiasa.
When bange drives the brain of a political leader, the followers wil also be driven by BANGE
 
Wakuu kamanda Lissu anafanya press, sasa hivi Makao Makuu ya Chadema na haya ndiyo amezungumza;

- Wadau wa Zanzibar hawajashirikishwa hata kidogo na hawakuwepo kwenye ratiba ya Kamati.
- Kamati ilipanga kwenda Zanzibar kutembea na sio kuonana na wadau, kwa sabab walitakiwa pkutembelea miradi ya TASAF, OFISI YA MAKAMU WA RAIS NA OFISI YA BUNGE.
- Wakakataa na kuomba kwa katibu wa Bunge kuwaona wadau wa Zanziba, Katibu wa Bunge alikubali.
- Walitengeneza orodha ya wadau.
- Yalianza maneno pembeni kuwa hakuna usalama Zanzibar wakati huohuo Kamati ya Ulinzi na Usalama ilikuwa Zanzibar.
- Wakazuiliwa kwenda na hivyo hakuna mdau wa Zanzibar aliyehusishwa.
- Kama haya ni makosa uzandiki na unafiki unatoka wapi wakati hoja ya kwenda Zanzibar yeye aliyeitoa?

Nitaendelea kuwapa update

- Kama hakuna ulazima kwa mujibu wa kanuni kwenda Zanzibar ofisi ndogo za Bunge Zanzibar zina maana gani, kwa hili rais amepotoka na hajui analolifanya.
- Hawajawahi kukutana na mjumbe wa Baraza la wawakilishi Zanzibar, na hata M/sheria amekiri.
UTEUZI KWENYE TUME YA KATIBA
- Hoja ni mamlaka ya Rais kuteua wajumbe 166
- Walipinga 2011 Ikaondolewa na wakairudisha tena kwenye muswada huu
- Uteuzi wa wajumbe wa Tume usilinganishwe na uteuzi wa wajumbe wa Bunge la Katiba. Ushahidi wa TEC , CCT na Shirikisho la walemavu kutoteuliwa pamoja na kupeleka majina kwa Rais ulitolewa kwenye Kamati ya Bunge, uongo wake unatoka wapi?
- Shirikisho la walemavu halikumpendekeza Al Shaimar Kwegir na hivyo Rais aliteua watu alkyewaona yeye wanafaa. Uongo unatoka wapi?

Maneno ya Rais,
- Hatamuita mzindiki, mnafiki wala mwongo ila ametoa hitimisho kwa maneno ya sikia sema (hearsay) kwa sababu ametumia maneno "nimeambiwa, nimesikia na nimejulishwa" mara tisa kwenye hotuba yake.

Kuhusu kuwa na mazungumzo ya pamoja;
- Kama ana nia njema basi asiusaini muswada na Katiba inamruhusu kufanya hivyo.
- Akiusaini ataendekeza mambo ya kiccm na hana haja ya kuaminiwa tena.
- Kamati ya Sheria na Utawala ya Bunge inakutana kuanzia kesho na hivyo anasubiri sheria husika iliyopitishwa kinyemela kurudishwa Bungeni.

Mwisho. Anakaribisha maswali;

- Ukiwa na mchakato mbovu yatatokea mambo kama ya Zimbabwa miaka 16 ndiyo ikapata Katiba na Kenya miaka 11 ndipo wakapata Katiba, kwa sababu mwanzoni hakukuwa na mchakato shirikishi.
- Wanachokifanya CCM sasa ndicho walichokifanya KANU kule Kenya
- Wananchi hawatanyamaza kamwe katika mchakato huu.

Lissu hawa magamba hawapiti kwenye Tundu!
 
Porojo ni za nani kati ya "aliyeambiwa" na "aliyekuwepo"? Hapo wewe unamwimini aliyeambiwa halafu hakuchanganya na za kwake, pole FF.

Ndio maana wengine tuliikandia ile hotuba muda ule ule, ni porojo na hadithi za ki-CCM wakati wengine tuko very serious na mustakabali wa Tanzania na vizazi vijavyo vya watoto.

Nikuulize swali, kwa mujibu wa vijembe na mipasho lukuki ya JK (rejea hotuba husika) dhidi ya Upinzani na hasa CHADEMA (read Lissu) je ni kwa vipi alipenyeza "ushauri" wake kuwa ule muswada urudi Bungeni? Maana kama hakuona dosari za mchakato mzima je ni kwanini anaurudisha tena Bungeni?

Mnafikiri kama watoto wadogo. Hamjui kuwa Serikali nzima nje na ndani ya bunge ina ripoti kwa Kikwete?

Hivi nyinyi mnazo haswa?
 
Tundu hakuitaja hiyo, jiulize kwanini?

HakunA taasisi yyt ya walemavu iliyompendekeza MB Al Shaimar Kwegir awawakilishe maana alikuwa tayari MBUNGE wa Jamhuri la Muungano.

JK anapotulisha maneno ya uongo kuwa kila aliyependekezwa na taasisi zao aliteuliwa anazidi jivunjia heshima!Mbona wajumbe waliopendekezwa na taasisi ya walemavu wote WALIACHWA akateua anayemtaka yy?

JK haaminiki na asihusike hata kidogo kwenye teuzi wa wajumbe 166 wa Bunge la Katiba;JK asituvurugie katiba yetu!
 
Wakuu kamanda Lissu anafanya press, sasa hivi Makao Makuu ya Chadema na haya ndiyo amezungumza;

- Wadau wa Zanzibar hawajashirikishwa hata kidogo na hawakuwepo kwenye ratiba ya Kamati.
- Kamati ilipanga kwenda Zanzibar kutembea na sio kuonana na wadau, kwa sabab walitakiwa pkutembelea miradi ya TASAF, OFISI YA MAKAMU WA RAIS NA OFISI YA BUNGE.
- Wakakataa na kuomba kwa katibu wa Bunge kuwaona wadau wa Zanziba, Katibu wa Bunge alikubali.
- Walitengeneza orodha ya wadau.
- Yalianza maneno pembeni kuwa hakuna usalama Zanzibar wakati huohuo Kamati ya Ulinzi na Usalama ilikuwa Zanzibar.
- Wakazuiliwa kwenda na hivyo hakuna mdau wa Zanzibar aliyehusishwa.
- Kama haya ni makosa uzandiki na unafiki unatoka wapi wakati hoja ya kwenda Zanzibar yeye aliyeitoa?

Nitaendelea kuwapa update

- Kama hakuna ulazima kwa mujibu wa kanuni kwenda Zanzibar ofisi ndogo za Bunge Zanzibar zina maana gani, kwa hili rais amepotoka na hajui analolifanya.
- Hawajawahi kukutana na mjumbe wa Baraza la wawakilishi Zanzibar, na hata M/sheria amekiri.
UTEUZI KWENYE TUME YA KATIBA
- Hoja ni mamlaka ya Rais kuteua wajumbe 166
- Walipinga 2011 Ikaondolewa na wakairudisha tena kwenye muswada huu
- Uteuzi wa wajumbe wa Tume usilinganishwe na uteuzi wa wajumbe wa Bunge la Katiba. Ushahidi wa TEC , CCT na Shirikisho la walemavu kutoteuliwa pamoja na kupeleka majina kwa Rais ulitolewa kwenye Kamati ya Bunge, uongo wake unatoka wapi?
- Shirikisho la walemavu halikumpendekeza Al Shaimar Kwegir na hivyo Rais aliteua watu alkyewaona yeye wanafaa. Uongo unatoka wapi?

Maneno ya Rais,
- Hatamuita mzindiki, mnafiki wala mwongo ila ametoa hitimisho kwa maneno ya sikia sema (hearsay) kwa sababu ametumia maneno "nimeambiwa, nimesikia na nimejulishwa" mara tisa kwenye hotuba yake.

Kuhusu kuwa na mazungumzo ya pamoja;
- Kama ana nia njema basi asiusaini muswada na Katiba inamruhusu kufanya hivyo.
- Akiusaini ataendekeza mambo ya kiccm na hana haja ya kuaminiwa tena.

- Kamati ya Sheria na Utawala ya Bunge inakutana kuanzia kesho na hivyo anasubiri sheria husika iliyopitishwa kinyemela kurudishwa Bungeni.

Mwisho. Anakaribisha maswali;

- Ukiwa na mchakato mbovu yatatokea mambo kama ya Zimbabwa miaka 16 ndiyo ikapata Katiba na Kenya miaka 11 ndipo wakapata Katiba, kwa sababu mwanzoni hakukuwa na mchakato shirikishi.
- Wanachokifanya CCM sasa ndicho walichokifanya KANU kule Kenya
- Wananchi hawatanyamaza kamwe katika mchakato huu.

Lissu hana ubavu wa kumuelekeza Raisi nini afanye na katika kumuamini Raisi si Lissu wala chama chake wanaomuamini ni kauli ya kijeuri tu na wala hawajawahi kumuani na bora waendelee kutofautiana. Sidhani kama Kikwete anahitaji kuaminiwa na Lissu and etal na kama atasikiliza maneno haya ya kifedhuli ya huyu jamaa atakuwa hajawatendea haki watanzania wengi waliomchagua na kumuunga mkono.

Wananchi hawana mbungi sema wanasiasa ndio mmejitwika kazi zisizokuwa zenu katika kuandaa katiba bora na wananchi wengi sio wanachama wa vyama vyenu wako wanachapa kazi ya kujenga taifa.
 
Rais ana nia njema sana ula nina mashaka makubwa sana na washwaauri wake, Washauri wa rais wanatakiwa kuwa makini sana na mustakabali wa hii nchi yetu, kinyume na hivyo Ccm ndio itakuwa ya kwanza kuharibu amani yetu

Kwa hiyo unataka kusema Rais hatumii akili yake bali ya washauri wake !!?

Washauri kazi yao ni kushauri. Rais anatakiwa achambue mwenyewe!!
 
Halaf kuna haja ya KU-ERADICATE watu kama LISU kwa maslah mapana ya taifa..
Siku zote amekuwa akionyesha dharau ya wazi na makusudi kwa WAZANZIBAR kisa kikiwa ni UISLAM wao.
Leo hii amekuwa ndio msemaji wa wazanzibar kwa sababu tu anawahitaji.
Uzandiki wake wa kutaka kufarakanisha taifa kwa misingi ya dini umefikia mahali pa kutovumilika.TEC na CCT ni miongoni mwa taasisi zilizoshirikishwa lakini anataka tuelewe tofauti.
Wanasiasa kama huyu wanapoteza kabisa haki ya,kuendelea kuishi kana wanasiasa.
When bange drives the brain of a political leader, the followers wil also be driven by BANGE

Wazanzibar wana haki sawa ya kushirikishwa ili waamue hatima yao wenyewe regardless tunawapenda au hawapendi.
 
Back
Top Bottom