Tundu Lissu: Uchaguzi huu siyo kusema tu "People's power" wala "tumekupa kura zote tayari"; huko ni kutiana ujinga. Uchaguzi ni kusoma makaratasi

Kikao kile YouTube kilufuatiliwa na watu 25k kwenye live stream.

Leo Asubuhi kimefikisha 46K views.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Lipo tena kubwa sana, Mbowe hapa ndipo huwa nasema aachie madaraka siyo strategist ata chembe, walitakiwa kuwa wamejenga mtandao wa mawakala nchi nzima na kuwapa mafunzo ya kiitikadi.
Upo sahihi kabisa ndio maana Mbowe namuonaga ni opportunist......"mfanya biashara"yupo kwenye class ya cartail ya kutengeneza deal tu na sio kuweka mizizi ya upinzani kwa maandalizi ya kushika dola...
 
Hao ccm wenyewe wanapumulia mashine..wagombea wake wanalia ukata

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulishawahi kuwaona wanatembeza bakuli kama wa chama cha Mbowe?.Ruzuku, michango bado bakuli mwatembeza na bado Mijitu inashabikia kama sio utopolo ni nini?. Chama cha Mbowe, ni Moja ya vyama hovyo kabisa kuwahi Kutokea Tanzania.
 
Ulishawahi kuwaona wanatembeza bakuli kama wa chama cha Mbowe?.Ruzuku, michango bado bakuli mwatembeza na bado Mijitu inashabikia kama sio utopolo ni nini?. Chama cha Mbowe, ni Moja ya vyama hovyo kabisa kuwahi Kutokea Tanzania.
Na bado kinawaliza hivi? Nazungumzia "Chama cha Mbowe ni moja ya vyama hovyo kabisa..."
 
Ngumu sana kumshinda mtu huyu
Hata uwe malaika

1.Mtu aandae uchaguz
2.posho ya chama chenu awape yeye.
3.mashine za kura anunue yeye
4.karatas za uchaguz aandae yeye
5.mkurugenz wa tume amteue yeye
6.tareh za uchaguz apange yeye
Ukiwa na akili hauhitaji hata kutumia nguvu kupata majibu, kwasababu majibu unayo kichwani, Ngoja baada ya tarehe 28/10/2020 uje uwasikie walalamishi watakavyokuja na ujinga mwingine, Ujinga ni mtaji.
 
Mkuu nilikuwa nakuona umevuka ile tabia ya kujiliwaza na kuogopa kuface "reality" hata kama inaumiza.....hebu toka kwenye comfort zone! kuna kipi kipya kwenye huu uchaguzi?
'Indicator nyekundu' ilishawaka kipindi Cha uchaguzi Serikali za Mitaa.

'Uchafuzi' ulikuwa wa kutisha uliojaa woga, fedheha,kiburi na uvunjaji mkubwa wa Sheria ya uchaguzi.

This time 'mapya' ndio Kama hayo TL aliyoyarecommend na mengine yaliyo behind the wall.
 
Huo mtandao waujenge sasa hivi muda uko wapi..? Hapa ndipo ninapo madharau Mbowe na Mnyika.

Mawakala wa kuunga unga watapewa rushwa kwisha kazi.
Hawana wagombea udiwani na ubunge kwenye kata na majimbo mengi tu, lakini wanafikiria kuwa na mawakala eti kila kituo! Ahahahahahahhh! Nacheka kwa huruma!
 
Huyu ndo Mwanaume sasa
 
Nani asiyemjua Lissu hadi uhangaike kuchapisha makaratasi ? ni wapi uliona picha ya Mtume Muhammad , lakini mbona kila siku waislam wanamtaja ?
LOooo, ni wewe hasa, 'sharp, precise and to the point'!
Hata huo mfano wa 'picha' jamaa bado anakaza shingo? Huyu atakuwa nalo tatizo.
 
Nani asiyemjua Lissu hadi uhangaike kuchapisha makaratasi ? ni wapi uliona picha ya Mtume Muhammad , lakini mbona kila siku waislam wanamtaja ?
Itakuta hata Lisu na team yake yote wana akili kama hizi hizi
 
Hahahah..! Huwajui vizuri CCM rafiki yangu..! Ni maharamia kuliko unavyoweza KUDHANI. Ata wale waangalizi wanapewa pesa kukaa kimya.

2010 zanzibar wanaangalizi wa ndani walipewa pesa nyingi mno wakaachana na kutoa taarifa kwa walio watuma.
Nawwe unafurahia
 
umeeandikaaaaaaa.gazeti
 
Upo sahihi kabisa ndio maana Mbowe namuonaga ni opportunist......"mfanya biashara"yupo kwenye class ya cartail ya kutengeneza deal tu na sio kuweka mizizi ya upinzani kwa maandalizi ya kushika dola...
Wajinga mko wengi unaijua Mbowe alikoita Chadema mpaka kuwa hapo au ndio mnamiliki vichwa kama masanduku yakubebea meno sio kufikiri! wewe umesaidia nini kukuza democracy ya Nchi hii ikiwa hata jina humu unatumia bandia
 
Kosa lipi hilo ccm tunalifanya ?
Tungependa kujirekebisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…