Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,761
- 4,535
Yeye na fisadi mwenzake ndo wajiandae kisaikolojia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni kati ya wale wanaofadhiliwa na CCM, mfukoni alikuwa na shilingi elfu kumi na nne tu (14,000/=)!Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Sauti ya Umma (SAU) Mhe Mtamwega Mgaiwa amewataka wagombea wenzake wa kiti cha Urais kutokuwa na asilimia mia ya kushinda kwani wananchi ndio wenye uamuzi wa mwisho siku ya kupiga kura hivyo kila mmoja akubali matokeo atakayoyapata kuepusha ghasia baada ya uchaguzi.
ITV Tanzania
'Mtani' wangu Tundu Lissu kwa nia njema tu nakushauri anza 'Kujiandaa' Kisaikolojia kwani katika Jumla ya Vituo 80,155 vya Kupigia Kura Waliojindikisha wote wapatao 29,188,347 'wameshaamua' kuwa 'watampigia' tu Dk. John Pombe Magufuli huku nafasi zote 264 za 'Wabunge' na zile 5,350 za 'Madiwani' kuwa ni za wana 'CCM' Watupu tu. Hongera kwa 'Kujitahidi' Kushiriki.
Uoga wa wananchi ndo kikwazo,wakiingia wengi hawawezi piga mabomu.Serikali ya vitisho mpaka vyombo vya habari hawatangazi habari za Lissu, Dawa ni moja tu road ndio suruhisho la Tanzania na Zanzibar. Hakuna haki inakuja kiulaini laini, Wacha tujiandae.
Naanza kukuweka kundi hili rasmi bwana GENTAMYCINE. Umepatwa na nini? Mbona huko nyuma hukuwa hivi?Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Sauti ya Umma (SAU) Mhe Mtamwega Mgaiwa amewataka wagombea wenzake wa kiti cha Urais kutokuwa na asilimia mia ya kushinda kwani wananchi ndio wenye uamuzi wa mwisho siku ya kupiga kura hivyo kila mmoja akubali matokeo atakayoyapata kuepusha ghasia baada ya uchaguzi.
ITV Tanzania
'Mtani' wangu Tundu Lissu kwa nia njema tu nakushauri anza 'Kujiandaa' Kisaikolojia kwani katika Jumla ya Vituo 80,155 vya Kupigia Kura Waliojindikisha wote wapatao 29,188,347 'wameshaamua' kuwa 'watampigia' tu Dk. John Pombe Magufuli huku nafasi zote 264 za 'Wabunge' na zile 5,350 za 'Madiwani' kuwa ni za wana 'CCM' Watupu tu. Hongera kwa 'Kujitahidi' Kushiriki.
Unajua wengine neema kwao inaweza wajia na wasiitambue kwa ajili ya kiburi walichonacho.Nakwambiaje endapo itatokea Lissu sio Raisi basi jua Magufuli ni mtuhumiwa no 1 kwenye mahakama ya ICC na wakuu wake wa vyombo vya dola.
Who are you by the way... Mgaa gaa tu wewe... Shut up manYaani Wewe 'Pimbi' usikie kuwa kuna 'Mauwaji' yametokea huko Pemba halafu Mimi nisisikie? Naona mmeshaanza 'Propaganda' zenu mapema tu.
Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Sauti ya Umma (SAU) Mhe Mtamwega Mgaiwa amewataka wagombea wenzake wa kiti cha Urais kutokuwa na asilimia mia ya kushinda kwani wananchi ndio wenye uamuzi wa mwisho siku ya kupiga kura hivyo kila mmoja akubali matokeo atakayoyapata kuepusha ghasia baada ya uchaguzi.
ITV Tanzania
'Mtani' wangu Tundu Lissu kwa nia njema tu nakushauri anza 'Kujiandaa' Kisaikolojia kwani katika Jumla ya Vituo 80,155 vya Kupigia Kura Waliojindikisha wote wapatao 29,188,347 'wameshaamua' kuwa 'watampigia' tu Dk. John Pombe Magufuli huku nafasi zote 264 za 'Wabunge' na zile 5,350 za 'Madiwani' kuwa ni za wana 'CCM' Watupu tu. Hongera kwa 'Kujitahidi' Kushiriki.
JokaKuu, eti polisi wanafanya mazoezi ya kuwapiga wananchi wao! Ni dunia ya karne gani unakuta afande wa polisi anatamba mbele ya camera akitishia kuwapa wananchi kipigo cha mbwa koko! Ni Tanzania tu. Hebu tazama ufedhuli huu wa wana usalama wetu...
View attachment 1613134
Kwa nini asiseme tutawakamata badala ya tutawapa kipigo cha mbwa koko? Hivi huyu polisi anajua anavyojishtaki?
Hivi hawa ndivyo wanavyofundishwa kweli au ni ushamba na ulimbukeni!
Mkuu unapoteza nguvu zako kuyaelewesha hayo majitu yaliyo amua kuwa ujinga ni fahari kwaoUna uzoefu na ushoga mpaka mnajuana !!. Nenda Hansard za bunge utakuta serikali humo ikitetea haki za mashoga (waziri wa mambo ya ndani) .
Na Waziri wa nje akiwathibitishia mabalozi haki za mashoga akimkana Makonda . Sasa hapo Lissu anahusikaJe ?!.
Umeshachelewa wananchi wamefanya maamuzi tayari.Chagua Tundu Lissu kwa Bara, Chagua Maalim Seif kwa Zanzibar
Kwani hakika ya ushindi chadema nanyi mnaitoa wapi!? Ebu acheni uzwazwa na mihemuko ya kijinga.Kama ni kura, huyo Maghufuli yeye hakika ya ushindi wake unatoka wapi ?!.
Sawa mkimchagua kwa wingi mgombea wenu basi bila shaka ndo atakuwa rais lakini muamchague wachache then nyie mlazimishe kuwa mmeshinda ndipo patakapo chimbika.Sisi ni watanzania na tutamchagua kwa nguvu
Ni mpaka mtoshe sasa msipotosha itakula kwenu automatical.Sisi ni watanzania na tutamchagua kwa nguvu
Tumetosha na Tupo wengi saaaanaNi mpaka mtoshe sasa msipotosha itakula kwenu automatical.
Basi mtangazeni lissu ndo rais mpya....kujibishana na yumbu ni kuchoshana akili subiri th after 28Tumetosha na Tupo wengi saaaana