Uchaguzi 2020 Tundu Lissu usijidanganye; Watanzania siyo wajinga kama wananchi wa Belarus wanaoshinikizwa na mabeberu wamtoe Rais wao madarakani

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu usijidanganye; Watanzania siyo wajinga kama wananchi wa Belarus wanaoshinikizwa na mabeberu wamtoe Rais wao madarakani

OTTER

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
476
Reaction score
330
Wanajamvi Salaam,

Bw. Lissu katika muda wake wakufanya kampeni ya kutafuta wadhamini alisikika mara kwa mara akisema hatokubaliana na matokeo ya uchaguzi yakitangazwa iwapo kama hatotangazwa mshindi, akaenda mbele zaidi akawahamasisha wananchi waingie barabarani kupinga matokeo hayo yatakayotangazwa kinyume na matarajio yao yeye na mabeberu. Sasa hii inaonyesha ni mkakati maalum ambao tayari umeshapangwa kwa ajili ya kuivuruga amani iliyopo Tanzania.

Wananchi wa Belarus, wanaandamana kwa kupinga ushindi wa Rais wao Bw. Alexander Lukashenko, aliyechaguliwa na wananchi na kushinda kwa asilimia 80 ya kura zote. Sasa maandamano hayo yanaungwa mkono na nchi zao majirani ikiwa ni mkakati wa kibeberu kwa ajili kuifanya nchi yao isitawalike.

Angalizo kwa Lissu: Sisi Watanzania siyo wajinga kiasi hicho cha kuwafanya wananchi waandamane eti kisa hautatangazwa kama mshindi. Waeleze mabeberu maandamano wanaofanya katika nchi ya Belarus wasitarajie yatafanyika katika nchi yetu, kama walikuhaidi kukusaidia katika maandamano hayo ya kuhatarisha amani, waeleze huku Tanzania wameingia mlango ambao hawataweza kutokea.

Salaam hizi ziwafikie nyumbu wote wa ufipa. Amani haina chama.
 
Pepo mchafu toka
Pepo wa upumbavu na ujinga toka
Pepo wa utapeli wa kisiasa toka
Pepo wa kutangatanga toka
Wewe ndiyo Pepo ambalo halijui linataka nini? linataka damu, pesa au amani? pole sana.
 
Ukitujibu BEBERU ni nani tutakuelewa zaidi. Je, ni wazungu wa World Bank?, ni Wazungu hawa wa mabenki makubwa ya binafsi? Ni hawa wazungu wanaokuja kuchimba madini yetu? Je, ni Waingeleza ama Wamarekani? BEBERU ni yupi hasa?
 
OTTER,

Hata wapambe wa Gaddafi nao walikuwa wakijimwambafai hivi hivi.

Gaddafi hakuondoka kwa ballot box kwa sababu chaguzi zilijaa mizengwe kama za kwetu sasa hivi, lakini ulipofika wakati wa kuondoka akaondolewa - tena kwa aibu!

There're several ways of skinning a cat mind you!
 
Lissu mmemtengeneza wenyewe sasa hivi anawashinda hamjui nini cha kumfanya, mjifunze kuishi vizuri na binadamu wenzenu.
ilikuwa tumweke mahabusu ka siku nne hivi ili akose uteuzi sasa imekuwa ngumu kidogo!! dili lishambumburuka mapemaa!
 
hata wapambe wa Gaddafi nao walikuwa wakijimwambafai hivi hivi.

Gaddafi hakuondoka kwa ballot box kwa sababu chaguzi zilijaa mizengwe kama za kwetu sasa hivi, lakini ulipofika wakati wa kuondoka akaondolewa - tena kwa aibu!

there're several ways of skinning a cat mind you!
Sasa hivi wanahali gani mkuu.
 
Back
Top Bottom