Uchaguzi 2020 Tundu Lissu usijidanganye; Watanzania siyo wajinga kama wananchi wa Belarus wanaoshinikizwa na mabeberu wamtoe Rais wao madarakani

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu usijidanganye; Watanzania siyo wajinga kama wananchi wa Belarus wanaoshinikizwa na mabeberu wamtoe Rais wao madarakani

OTTER,

Nguruwe akishindwa lazima aondoke hats kwa mapambano na watanzania sio wajinga ndo maana pamoja na mapambio ya vinyago kuwa madaraja sijui ndege bado watanzania wameona huo ni upuuzi mtupu wanasubir October wamuadhibu vampire.
 
Bw. Lissu katika muda wake wakufanya kampeni ya kutafuta wadhamini alisikika mara kwa mara akisema hatokubaliana na matokeo ya uchaguzi yakitangazwa iwapo kama hatotangazwa mshindi, akaenda mbele zaidi akawahamasisha wananchi waingie barabarani kupinga matokeo hayo

Mbona watu wengine mnajivunia dhambi bure za kuwaumiza nyie wenyewe na watoto wenu bila sababu?

Una hakika Tundu Lissu alisema hivi ulivyoandika wewe?

Ni mbaya sana kutoka huko ulikotoka na kuja kuandika uongo na upotoshaji humu.

Hebu kama wewe ni muungwana kweli, tuombe radhi wajumbe au kubali laana ya dhambi hii ya uongo ikutafune wewe na familia yako na kizazi chako chote hadi cha nne mbele!
 
Kakiona hao wananchi walioitwa kwa vinubi waje kumshangaa kanazadhani kuwa kanakubalika. kashenzi sana. kanajimix vibaya mmno.
Lengo lake kafungiwe ili kaonekane kameonewa na tume ya uchaguzi mana kamesha anza kapeni mapema lakin naiomba serekali yangu sikivu wakaache tukaadhibu kwenye sanduku tuu
 
The thing is, jiwe anakubalika na wengi. Tembea na uliza tu kishkaji, watu wa mtaani watakuambia. Pamoja na makosa mengi ya "kiufundi" bado jiwe anashinda bila tatizo, ni kweli kuwa Lissu ataleta ushindani, lakini aandaliwe kwa 2025, not this time.
 
Ukitujibu BEBERU ni nani tutakuelewa zaidi. Je, ni wazungu wa World Bank?, ni Wazungu hawa wa mabenki makubwa ya binafsi? ni hawa wazungu wanaokuja kuchimba madini yetu? Je, ni Waingeleza ama Wamarekani? BEBERU ni yupi hasa?
Ni wale usiowajua wewe ndio Mabeberu
 
Mbona unakuwa na kiwewe kama vile umembiwa unakufa kesho ni hivi sie tunajua kuchuja pumba na mchele usitulishe maneno tafadhali panapo majaliwa kura ni siri yangu najua nitampa nani manake mimi ni Mtanzania halali najua chungu na tamu na wagombea wote ni Watanzania tuonane kwenye sanduku la kura
 
OTTER,

Hata wapambe wa Gaddafi nao walikuwa wakijimwambafai hivi hivi.

Gaddafi hakuondoka kwa ballot box kwa sababu chaguzi zilijaa mizengwe kama za kwetu sasa hivi, lakini ulipofika wakati wa kuondoka akaondolewa - tena kwa aibu!

There're several ways of skinning a cat mind you!
Chaguzi zote Gaddafi alishinda kwa 99.9%
 
OTTER,

Hata wapambe wa Gaddafi nao walikuwa wakijimwambafai hivi hivi.

Gaddafi hakuondoka kwa ballot box kwa sababu chaguzi zilijaa mizengwe kama za kwetu sasa hivi, lakini ulipofika wakati wa kuondoka akaondolewa - tena kwa aibu!

There're several ways of skinning a cat mind you!

Gaddafi aliondolewa na wasaliti na vibaraka wa mabeberu.

Mara nyingi mabeberu huwa nyuma yako ufanye kila kitu ikiwemo kumuua Gaddafi walimuua haowaho walibya wenzake.

Kiko wapi leo Libya wanapata tabu walizojitakia wenyewe?

Unafahamu mafuta ya Libya yanaenda wapi sasa?

Bila shaka majibu yote unayo ila unajitoa ufahamu.
 
Huyu utopolo wenu Magu akiiba kura tu tunaye,I believe this time support ya beberu tunayo,lazima kieleweke tu.ccm hamuwezi kujimilikisha nchi yetu bwana
 
Back
Top Bottom