madindigwa
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 2,488
- 2,904
Kama unakula ugali wako na dagaa kwa amani ni bora kuliko pilau nyama bila amani.... ndiyo maana tunawashauri wenye dola yao wasilete figisu kwenye uchaguzi October dhidi ya Lissu ili tusiwe kama ilivyo Libya leo!