Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Raslimali za Tanzania chini ya ccm kwa miaka 60 zinaenda wapi? Mbona maisha yetu ni afadhari ya janaGaddafi aliondolewa na wasaliti na vibaraka wa mabeberu.
Mara nyingi mabeberu huwa nyuma yako ufanye kila kitu ikiwemo kumuua Gaddafi walimuua haowaho walibya wenzake.
Kiko wapi leo Libya wanapata tabu walizojitakia wenyewe?
Unafahamu mafuta ya Libya yanaenda wapi sasa?
Bila shaka majibu yote unayo ila unajitoa ufahamu.
amebaki kutapatapaLissu kakushika pabaya bila shaka
Umetembea wapi ukauliza kishkaji? Nani akupe jibu kinyume na lile unalotaka kulisikia? Unadhani hawajipendi? Pengine mkao wako wewe wakakudanganya, ama umeuliza huko kwenye viunga vyenu.The thing is, jiwe anakubalika na wengi. Tembea na uliza tu kishkaji, watu wa mtaani watakuambia. Pamoja na makosa mengi ya "kiufundi" bado jiwe anashinda bila tatizo, ni kweli kuwa Lissu ataleta ushindani, lakini aandaliwe kwa 2025, not this time.
Raslimali za Tanzania chini ya ccm kwa miaka 60 zinaenda wapi? Mbona maisha yetu ni afadhari ya jana
Mkuu wala hakuna figisu lisu kwa magu ni sisimizi kwa tembo wala usilinganishe atapata anacho style.... ndiyo maana tunawashauri wenye dola yao wasilete figisu kwenye uchaguzi October dhidi ya Lissu ili tusiwe kama ilivyo Libya leo!
kama hujapigwa basi sawa.. waache waliopigwa watupe stori za kupigwa kwao!Sijapigwa Sasa hapo nitafanyaje au wewe umepigwa?
Mkuu average ya kipato Cha mtanzania kwa mwaka ni USD 1080.00 yaani milioni mbili na laki moja na sitini? Hilo wewe unalielewaje? Pili kamati ya makinikia ilipendekeza baadhi ya watu wachukuliwe hatua kwa kuisababishia harasa serikali kwa kuingia mikataba mibovu,je Lissu alikuwa miongoni mwa hao watu? Na je Magufuli amefanya nini?mtadanganywa sanaInategemea maisha yako uliyapanga vipi ni wewe ndie unaefahamu.
Kuhusu rasilimali ni kwamba zilikuwepo na hadi sasa zipo ila ulaghai wa nchi za kibeberu katika kutusainisha mikataba mibovu kwa kushirikiana na viongozi wasaliti.
Hata Tundu Lissu ni mmojawapo wa wasaliti hao kwani yeye alikuwa akisaidia makampuni ya kibeberu kuiba rasilimali zetu kwa kuwaelekeza kisheria namna ya kukwepa kodi na ulipaji mirahaba.
Ndo maana jambo hilo limemfanya awe na chuki tena binafsi dhidi ya raisi JPM na serikali yake.
Kitendo cha kubadilisha sheria ya madini ili itunufaishe kama nchi na kuwabana wenye makampuni ambayo mengine ni ya kitapeli kama ACACIA, kimemchukiza sana Tundu Lissu, yeye kama yeye.
Hivyo amekaa miaka mitatu mizima nchini Ubelgiji akipanga na nchi hizo za kibeberu namna ya kufanya ili awe raisi kibaraka wao halafu akiwa raisi arudishe tena mikataba ileile ilowasaidia wao kuiba rasilimali zetu.
Na hivyo ndivyo wanavyofanya nchi za kibeberu huko Iraq na Libya.
Wanashindwa kufanya hivyo huko Mali kwasababu Mali ni daraja la kwenda hukohuko kwao hivyo usalama wa Mali ndo usalama wa nchi za Italy na Greece na hatimae nchi zote za kibabaru maana hawatutaki sisi waafrika tuendelee kwenda kwao.
Ila wanataka waendelee kutuibia na kututumia.
Mkuu average ya kipato Cha mtanzania kwa mwaka ni USD 1080.00 yaani milioni mbili na laki moja na sitini? Hilo wewe unalielewaje? Pili kamati ya makinikia ilipendekeza baadhi ya watu wachukuliwe hatua kwa kuisababishia harasa serikali kwa kuingia mikataba mibovu,je Lissu alikuwa miongoni mwa hao watu? Na je Magufuli amefanya nini?mtadanganywa sana
Beberu ni Mbuzi Dume.Ukitujibu BEBERU ni nani tutakuelewa zaidi. Je, ni wazungu wa World Bank?, ni Wazungu hawa wa mabenki makubwa ya binafsi? Ni hawa wazungu wanaokuja kuchimba madini yetu? Je, ni Waingeleza ama Wamarekani? BEBERU ni yupi hasa?
Kwakweli mtu wa aina yako ni hatari sana kwa amani ya nchi yetu. Hivi unathubutu kweli kutunga uwongo kwenye jambo kubwa kama hili? Hivi lengo hasa la wewe kutunga uwongo kama huu ni nini hasa kama sio kuhatarisha amani ya nchi. Sisi watanzania wote tunafuatilia vyombo vya habari na hatukuwahi kabisa kumsikia Lissu akitoa kauli eti asipotangazwa mshindi sijui wataandamana bali tumemsikia akisema wakiibiwa kura wataingia barabarani.Wanajamvi Salaam,
Bw. Lissu katika muda wake wakufanya kampeni ya kutafuta wadhamini alisikika mara kwa mara akisema hatokubaliana na matokeo ya uchaguzi yakitangazwa iwapo kama hatotangazwa mshindi, akaenda mbele zaidi akawahamasisha wananchi waingie barabarani kupinga matokeo hayo yatakayotangazwa kinyume na matarajio yao yeye na mabeberu. Sasa hii inaonyesha ni mkakati maalum ambao tayari umeshapangwa kwa ajili ya kuivuruga amani iliyopo Tanzania.
Wananchi wa Belarus, wanaandamana kwa kupinga ushindi wa Rais wao Bw. Alexander Lukashenko, aliyechaguliwa na wananchi na kushinda kwa asilimia 80 ya kura zote. Sasa maandamano hayo yanaungwa mkono na nchi zao majirani ikiwa ni mkakati wa kibeberu kwa ajili kuifanya nchi yao isitawalike.
Angalizo kwa Lissu: Sisi Watanzania siyo wajinga kiasi hicho cha kuwafanya wananchi waandamane eti kisa hautatangazwa kama mshindi. Waeleze mabeberu maandamano wanaofanya katika nchi ya Belarus wasitarajie yatafanyika katika nchi yetu, kama walikuhaidi kukusaidia katika maandamano hayo ya kuhatarisha amani, waeleze huku Tanzania wameingia mlango ambao hawataweza kutokea.
Salaam hizi ziwafikie nyumbu wote wa ufipa. Amani haina chama.
Kwakweli mtu wa aina yako ni hatari sana kwa amani ya nchi yetu. Hivi unathubutu kweli kutunga uwongo kwenye jambo kubwa kama hili? Hivi lengo hasa la wewe kutunga uwongo kama huu ni nini hasa kama sio kuhatarisha amani ya nchi. Sisi watanzania wote tunafuatilia vyombo vya habari na hatukuwahi kabisa kumsikia Lissu akitoa kauli eti asipotangazwa mshindi sijui wataandamana bali tumemsikia akisema wakiibiwa kura wataingia barabarani.
Pengine nimekuhukumu kwa kukuonea. Pengine mwenyewe hata huna nia mbaya ya kuhatarisha amani ya nhi ikiwa utatueleza kuwa kwa uelewa wako umeona wizi wa kura na kutangazwa mshindi zina maana moja
Nilikuwa nazungumzia sababu ya kufanya hivyo. Sijui hata kama umenielewa. Soma kabla ya hiyo kuingia barabaraniSasa kuingia barabarani si ni sawa na kuandamana au?
Na kuingia barabarani bila kibali kwa minajili ya kuhamasisha vurugu si ni kuhatarisha amani na utulivu?
Delete ccm Oct 28Wanajamvi Salaam,
Bw. Lissu katika muda wake wakufanya kampeni ya kutafuta wadhamini alisikika mara kwa mara akisema hatokubaliana na matokeo ya uchaguzi yakitangazwa iwapo kama hatotangazwa mshindi, akaenda mbele zaidi akawahamasisha wananchi waingie barabarani kupinga matokeo hayo yatakayotangazwa kinyume na matarajio yao yeye na mabeberu. Sasa hii inaonyesha ni mkakati maalum ambao tayari umeshapangwa kwa ajili ya kuivuruga amani iliyopo Tanzania.
Wananchi wa Belarus, wanaandamana kwa kupinga ushindi wa Rais wao Bw. Alexander Lukashenko, aliyechaguliwa na wananchi na kushinda kwa asilimia 80 ya kura zote. Sasa maandamano hayo yanaungwa mkono na nchi zao majirani ikiwa ni mkakati wa kibeberu kwa ajili kuifanya nchi yao isitawalike.
Angalizo kwa Lissu: Sisi Watanzania siyo wajinga kiasi hicho cha kuwafanya wananchi waandamane eti kisa hautatangazwa kama mshindi. Waeleze mabeberu maandamano wanaofanya katika nchi ya Belarus wasitarajie yatafanyika katika nchi yetu, kama walikuhaidi kukusaidia katika maandamano hayo ya kuhatarisha amani, waeleze huku Tanzania wameingia mlango ambao hawataweza kutokea.
Salaam hizi ziwafikie nyumbu wote wa ufipa. Amani haina chama.