Uchaguzi 2020 Tundu Lissu usijidanganye; Watanzania siyo wajinga kama wananchi wa Belarus wanaoshinikizwa na mabeberu wamtoe Rais wao madarakani

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu usijidanganye; Watanzania siyo wajinga kama wananchi wa Belarus wanaoshinikizwa na mabeberu wamtoe Rais wao madarakani

Kwa jinsi nchi yetu livyovurugwa kwa miaka mingi ni vigumu kurekebisha hilo la kipato kwa kutegemea majibu ya papohapo, itachukua muda hivyo tunapaswa kujipa muda wa kutosha.

lakini kama dira ya maendeleo ya taifa inavyoelekeza Inshaalah tutafika na hata kama si raisi huyu ipo siku raisi ajae atatufikisha kwenye dola 3000 kwa mwaka.

Pili, ni kweli kamati ilitoa mapendekezo lakin hakuna anaewafahamu hao watu na kama wamechukuliwa hatua au la.

Isipokuwa ipo mahakama ya mafisadi na hadi sasa kuna watu wengi tu wamefikishwa hapo kujibu mashtaka.

Pia Tundu Lissu angekuwa ni mwanasheria wa serikali bila shaka angewajibishwa.

Raisi Magufuli amefanikisha kurekebisha sheria ya madini ndo jambo la msingi hapa kwamba, serikali na hayo makampuni tunagawana faida inavyotakiwa na pia kuna kampuni moja sasa iitwayo Twiga.

Isitoshe kule Mererani kwa mfano sasa hivi kuna udhibiti wa madini yatokayo nchini hivyo kuzuia wezi kutoka India, Kenya, Thailand na kwingine kutuibia kwenye kuwauzia madini kwa bei ndogo na pia kutorosha mipakani ndo maana sasa kuna ukuta na jeshi latulindia ule ukuta.

Sasa hizi ni juhudi ambazo mtu mwenye uelewa anapaswa angalau kupiga walau kofi moja tu latosha badala ya kupinga kila kitu kutwa kucha.

Kama alivyosema raisi kwamba hii ni vita hivyo anahitaji msaada wa kuungwa mkono badala ya anayoyafanya huyo mwanaharakati wenu Tundu Lissu.
Mkuu wewe ndo Magufuli mwenyewe? Mbona unasahau au kujitoa ufahamu haraka Kama magufuli?hapo juu nimeuliza raslimali za nchi hii kwa miaka 60 chini ya ccm zinaenda wapi? Ukasema Mimi ni masikini kwa sababu ya kujipanga vibaya,nilivyokuonesha umasikini wa watanzania kwa ujumla wetu chini ya ccm,unasema nchi ilivurugwa,je ilivurugwa na kina nani Kama siyo hao akina magu?lakini pia sijui kwanini unajitoa ufahamu kuwa wale waliopendekezwa na tume kwamba wachukuliwe hatua kwamba hawajulikani while walitajwa kwa majina yao.Ni mjinga tu wa kiwango chako anaweza akaamini fisadi mkuu Magu anapambana na ufisadi
 
Me wawepo hao kina mbuzi na beberu wao wasiwepooo ninavyowafahamu wabongo walishaanza kuandamana kwenye mitandao kitambooo,ila litakapokuja suala la kuingia barabarani hapo ndo huwa maajabu yanaanza kuonekana.
Yule dada aliishiaga kutukana kimya kimya hakuamini kilichotokea heh
 
Mkuu wewe ndo Magufuli mwenyewe? Mbona unasahau au kujitoa ufahamu haraka Kama magufuli?hapo juu nimeuliza raslimali za nchi hii kwa miaka 60 chini ya ccm zinaenda wapi? Ukasema Mimi ni masikini kwa sababu ya kujipanga vibaya,nilivyokuonesha umasikini wa watanzania kwa ujumla wetu chini ya ccm,unasema nchi ilivurugwa,je ilivurugwa na kina nani Kama siyo hao akina magu?lakini pia sijui kwanini unajitoa ufahamu kuwa wale waliopendekezwa na tume kwamba wachukuliwe hatua kwamba hawajulikani while walitajwa kwa majina yao.Ni mjinga tu wa kiwango chako anaweza akaamini fisadi mkuu Magu anapambana na ufisadi

Sawa nimekuelewa.

Kama wewe waniona mimi ni mjinga hayo ni mawazo yako maana kwa sasa nimezoea hayo maneno, hayanipi tabu.

Ila kiukweli wapinzani mna kazi kubwa sana ya kuwa-convince watanzania kuwapa dhamana ya kuongoza nchi hii balada ya CCM.

Ni kwasababu mpaka sasa hawajasikia sera zenu.

Tukutane October 28th
 
Gadafi kaondoka na amani yake kwa wanalibya.kwa sasa Libya hapakaliki.
kwanza msiwe mnamtolea mifano Gadafi,Gadafi alipigania maisha bora kwa wanalibya.
amani ni tunda la haki, basi.
maisha bora si kitu kama haki haipo!
 
OTTER,

Hata wapambe wa Gaddafi nao walikuwa wakijimwambafai hivi hivi.

Gaddafi hakuondoka kwa ballot box kwa sababu chaguzi zilijaa mizengwe kama za kwetu sasa hivi, lakini ulipofika wakati wa kuondoka akaondolewa - tena kwa aibu!

There're several ways of skinning a cat mind you!
Kawaulize sasa walibia wanajisikiaje banda ya kjkubari upumbafu kutoka kwa baberu Obama!! Wanalia na kusaga meno
 
Mimi binafsi wala sisubiri Lissu au mwana siasa yeyote anambie, Miaka mitano ya Magufuli ilikua ni mateso, dhuruma na mauaji. Mkivuruga Uchaguzi huu tutapasuana matumbo tulane maini, wenyewe kwa wenyewe. Mwaka huu ni kufa na kupona. Magufuli alishashindwa ampishe Lissu.
Tanzania ya wapi iyo watu waingie barabarani kupasuana utumbo, uliendaga wapi ule ukuta uliotrend mtandaoni miaka ya juzi, CCM bado miaka kama 100 ivi, acheni kujipa stress, napenda sana lichama libabe kama hili. CCM mbele kwa mbele......
 
Kawaulize sasa walibia wanajisikiaje banda ya kjkubari upumbafu kutoka kwa baberu Obama!! Wanalia na kusaga meno
chini ya Gaddafi, Walibya walikuwa na maisha mazuri sana kiuchumi lakini hawakuwa na uhuru na pia haki ilikosekana.... ndicho kilichopelekea Gaddafi ang'olewe.

najua unayajua haya yote lakini nayarudia kutokana na context ya post yako.

so, ili sisi tukwepe yaliyowasibu Walibya, ni muhimu na ni lazima kuwepo haki kwa watu wote!
 
Tutamtoa Magufuli wenyewe bila msaada wa mnaowaita mabeberu. Hata NEC/Polisi/Jeshi havitamsaidia. Wananchi tuna nguvu kuliko jeshi lolote. Aende akautumie uwanja wake wa Chato kwa jogging. Hakutakuwa na ndege za kwenda huko.

OTTER
Utamtoa Wewe na nani?..
 
OTTER,

Nguruwe akishindwa lazima aondoke hats kwa mapambano na watanzania sio wajinga ndo maana pamoja na mapambio ya vinyago kuwa madaraja sijui ndege bado watanzania wameona huo ni upuuzi mtupu wanasubir October wamuadhibu vampire.
Watanzania wa wapi hao wahangaike....
 
Wanajamvi Salaam,

Bw. Lissu katika muda wake wakufanya kampeni ya kutafuta wadhamini alisikika mara kwa mara akisema hatokubaliana na matokeo ya uchaguzi yakitangazwa iwapo kama hatotangazwa mshindi, akaenda mbele zaidi akawahamasisha wananchi waingie barabarani kupinga matokeo hayo yatakayotangazwa kinyume na matarajio yao yeye na mabeberu. Sasa hii inaonyesha ni mkakati maalum ambao tayari umeshapangwa kwa ajili ya kuivuruga amani iliyopo Tanzania.

Wananchi wa Belarus, wanaandamana kwa kupinga ushindi wa Rais wao Bw. Alexander Lukashenko, aliyechaguliwa na wananchi na kushinda kwa asilimia 80 ya kura zote. Sasa maandamano hayo yanaungwa mkono na nchi zao majirani ikiwa ni mkakati wa kibeberu kwa ajili kuifanya nchi yao isitawalike.

Angalizo kwa Lissu: Sisi Watanzania siyo wajinga kiasi hicho cha kuwafanya wananchi waandamane eti kisa hautatangazwa kama mshindi. Waeleze mabeberu maandamano wanaofanya katika nchi ya Belarus wasitarajie yatafanyika katika nchi yetu, kama walikuhaidi kukusaidia katika maandamano hayo ya kuhatarisha amani, waeleze huku Tanzania wameingia mlango ambao hawataweza kutokea.

Salaam hizi ziwafikie nyumbu wote wa ufipa. Amani haina chama.
Kiazi wewe leo ndo unajua kuwa Amani haina chama!! Jino kwa jino, Shetani wewe rudi nyuma hatua 3 unatakakuturudisha zama za mawe!
 
Wanajamvi Salaam,

Bw. Lissu katika muda wake wakufanya kampeni ya kutafuta wadhamini alisikika mara kwa mara akisema hatokubaliana na matokeo ya uchaguzi yakitangazwa iwapo kama hatotangazwa mshindi, akaenda mbele zaidi akawahamasisha wananchi waingie barabarani kupinga matokeo hayo yatakayotangazwa kinyume na matarajio yao yeye na mabeberu. Sasa hii inaonyesha ni mkakati maalum ambao tayari umeshapangwa kwa ajili ya kuivuruga amani iliyopo Tanzania.

Wananchi wa Belarus, wanaandamana kwa kupinga ushindi wa Rais wao Bw. Alexander Lukashenko, aliyechaguliwa na wananchi na kushinda kwa asilimia 80 ya kura zote. Sasa maandamano hayo yanaungwa mkono na nchi zao majirani ikiwa ni mkakati wa kibeberu kwa ajili kuifanya nchi yao isitawalike.

Angalizo kwa Lissu: Sisi Watanzania siyo wajinga kiasi hicho cha kuwafanya wananchi waandamane eti kisa hautatangazwa kama mshindi. Waeleze mabeberu maandamano wanaofanya katika nchi ya Belarus wasitarajie yatafanyika katika nchi yetu, kama walikuhaidi kukusaidia katika maandamano hayo ya kuhatarisha amani, waeleze huku Tanzania wameingia mlango ambao hawataweza kutokea.

Salaam hizi ziwafikie nyumbu wote wa ufipa. Amani haina chama.
Kwa kuanza,tutaanza na wewe kukutoa humu jamii forum maana huna hoja nnkupepesuka na hoja za viroba na siasa za maji taka
 
Mimi haunijui. M-tag mama yako. Hata Idd Amin, alikuwa na wapambe pamoja na mambo yote aliyofanya ikiwemo kula nyama za watu. Hata shetani ana wafuasi. Tena wengi tu.
Siku ikifika nitakutag upate kusikia uchungu vizuri.....
 
Mimi haunijui. M-tag mama yako. Hata Idd Amin, alikuwa na wapambe pamoja na mambo yote aliyofanya ikiwemo kula nyama za watu. Hata shetani ana wafuasi. Tena wengi tu.
Hahaha Bila shaka hiyo siku unaiogopa kama kiama subiri uone utakavyolia kwa uchungu......
 
Mtoa mada naomba unitajie MABEBERU JAPO WATATU UNAOWAFAHAMU.
 
Back
Top Bottom