Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Labda hujui kinachoendelea Huko Belarus. Umezoea kulishwa matango pori na Tbccm wewe. Zikia Kule Belarus yule dictator mwenzenu ametawala kwa miaka 26. Ana sifa kama za JUHA LENU MNALOLISIFIA KILA SIKU HATA MKIENDA CHOONI. ameminya demokrasia, vyombo vya babar na nchi ni masikini kama Sisi' tu.
Sijui Kwann mnaidanganya dunia kwamba TUNDU LISU KATUMWA. Na kwamba atawahamasisha watu waandamane? Alichosema yeye ni kwamba atakayeshinda KIHALALI atangazwe la sivyo hatakubali na ataingiza watu barabarani. Kwakuwa hamuamini kwenye uchaguzi huru na wahaki. Mnaishia kuweweseka na vihoja vyenu vya MABABEBERU .
Ukiulizwa utaje huyo beberu ni nani unaishia kujichokoa mwenyewe na kunusa kidole kama juzi.
Tunataka maendeleo ya watu hatutaki MIDUBWASHA/ MIDEGE ILONUNULIWA BILA KUFUATA SHERIA ZA MANUNUZI, TENA MWAGIZAJI ALIMWAGIZA MTENGENEZAJI WAKIWA WAWILI CHUMBANI
Kama anapambana na ufisadi wamefungwa wangapi impala sasa?
Sijui Kwann mnaidanganya dunia kwamba TUNDU LISU KATUMWA. Na kwamba atawahamasisha watu waandamane? Alichosema yeye ni kwamba atakayeshinda KIHALALI atangazwe la sivyo hatakubali na ataingiza watu barabarani. Kwakuwa hamuamini kwenye uchaguzi huru na wahaki. Mnaishia kuweweseka na vihoja vyenu vya MABABEBERU .
Ukiulizwa utaje huyo beberu ni nani unaishia kujichokoa mwenyewe na kunusa kidole kama juzi.
Tunataka maendeleo ya watu hatutaki MIDUBWASHA/ MIDEGE ILONUNULIWA BILA KUFUATA SHERIA ZA MANUNUZI, TENA MWAGIZAJI ALIMWAGIZA MTENGENEZAJI WAKIWA WAWILI CHUMBANI
Kama anapambana na ufisadi wamefungwa wangapi impala sasa?