Sio wewe ndo mpumbavuWapumbavu nyie, raisi wa nchi anayekaa ughaibuni unamlinganisha na takataka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wewe ndo mpumbavuWapumbavu nyie, raisi wa nchi anayekaa ughaibuni unamlinganisha na takataka
Hivi kumbe wengi Sana ni mizigo eeh!! Na wewe ni mzigo piaSiwezi kamwe kamwe kumuunga mkono jitu lililo kana baba yake hadharani.
Kwani hayo madini huoni serikali imesalimu amri kwa beberu kuendelea na shughuli ya kuyasafirisha.
JPM aliyashikilia huku akiwa hujui afanye nayo nini.
Tulimwomba tuyayachukue angalau tupandishe thamani nyumba zetu kwa kuyafetulia matufali.
Sent from my Infinix X622 using JamiiForums mobile app
Jeshi gani nyie washindia mihogo.Nakuhurumia kwa sababu haulijui jeshi halisi la Wasafi ni kina nani. Labda kama Lissu Hana mpango wa kugombea tena urais. Kama ungelijua jeshi nalolizungumzia ungeskitikia chama chenu.
Waweke tume huru ya uchakuzi na kuonda uporaji wa dola halafu uje tena na kauli zako za mlenda.Udikteta ni kusema mchagueni yule maana huyu hayuko kwenye chama chetu.
Huo ni upumbavu kwa sababu diamond ana mashabiki wake ambao ni wanachadema pia!
Ndio maana ccm huwa inawagonga kila uchaguzi sababu ya mambo ya hovyo kma haya.
Sasa kama walioshikilia makenikia sii mzigo si wangeyachakata?Hivi kumbe wengi Sana ni mizigo eeh!! Na wewe ni mzigo pia
Hata iliwepo hiyo tume huru, bado kwenu itakuwa sio tume huru!!Waweke tume huru ya uchakuzi na kuonda uporaji wa dola halafu uje tena na kauli zako za mlenda.
Sent from my Infinix X622 using JamiiForums mobile app
Wewe ni mzigo tu!!Sasa kama walioshikilia makenikia sii mzigo si wangeyachakata?
Beberu sasa karuhusiwa kuendelea kusafirisha kwao bila kuwalipa chochote ila kuendelea na makubaliano ya awali ya mgawanyo.
Tundu lissu katoa maoni yake kama Tundu lissu kwa akili finyu za wanaojiiti wasafi huku tukiwaona ni wachafu mnazivuta kuzihusisha na Chama.
Sasa watu wa chama tupo na tunasimamia kutetea chama hadi tone la mwisho.
Sent from my Infinix X622 using JamiiForums mobile app
Mzigo ni mondi anaelilia kura za watu kinguvu wakati hastahili.Wewe ni mzigo tu!!
Tuoneshe wapi mondi analilia kura kwa nguvu au umedandia treni kwa nyumaMzigo ni mondi anaelilia kura za watu kinguvu wakati hastahili.
Sent from my Infinix X622 using JamiiForums mobile app
Hao ndio huwa wanaipa ccm ushindi ila kwa akili zako na kina Lisu unaona hawana impact
Nani apoteze mda kumsikiliza Lissu.....!!! Kwa Lissu Maghufuli alikuwa na hoja ya msingi , tena kama akijiingiza kwenye Sanaa huku ndo ataharibu kabisaLissu sasa hivi ni wa kushindana na Mange Kimambi tu, na nakuhakikishia Mange atambwaga. Mange ana agenda imyojulikana wakatoi Lissu ni personality tu asiyekuwa na agenda yoyote ila Magufuli tu.
Propaganda hizi, unasemaje??Hamna kijana anaipa kura ccm, labda msaka fursa na asiyejitambua. Ccm ingekuwa inategemea kura kushinda uchaguzi isingejiegemeza kwenye vyombo vya dola.
Hakuna kitubkama hicho. Mwajichanganya sana.Nakuhurumia kwa sababu haulijui jeshi halisi la Wasafi ni kina nani. Labda kama Lissu Hana mpango wa kugombea tena urais. Kama ungelijua jeshi nalolizungumzia ungeskitikia chama chenu.