Tundu Lissu, vita na Wasafi hutoiweza, utagalagazwa wewe na chama chako

Alafu Mungu hajaanzisha Demokrasia. Usitukaange..mzee.
 
Inategemea ameongea kuhusu mtu huyo ktk mazingira gani...

Inawezekana, it was just on the way. Hakuwa ajenda rasmi na kujikuta anaulizwa swali la "wewe ni mpenzi wa muziki wa Diamond Plutimuz..?"

Sasa hata kama ungekuwa wewe ingekulazimu useme neno tu juu ya mtu uliyeulizwa ambaye kwako si ajenda kabisa...

Ungesema aidha unaupenda au huupendi musiki wake kwa sababu huyo hajawahi kuwa mpinga maovu na ofcoz ndivyo ilivyo...

Hili halina uhusiano na CHADEMA. Agenda ya CHADEMA kwa sasa ni ujenzi na uimarishaji wa chama na Katiba mpya...

Niambie ajenda yenu ACT na CCM kwa sasa ni nini...?
 
maisha ya wanadamu wengi waliofanikiwa walijipendekeza huo ndio ukweli
chunguza utaona
kama unabisha angalia mkeo anaogopa simu ya nani kati ya yakwako na boss wake? au wewe simu ya boss wako na baba yako
Itagemea unapimaje mafanikio. Kwa mtazamo wako wakina Mkwawa, Kinjeketile, Marcus Garvey, Malcolm X, Muhammad Ali, Steve Biko, Martin Luther King Jr, Sojourner Truth, Dedan Kimathi, Nelson Mandela, Mahatma Gandhi, Patrice Lumumba, Ken Saro-Wiwa, Che Guevara, Marvin Gaye, Bob Marley, Gil Scott-Heron, Billie Holiday, Julius Nyerere, Desmond Tutu, General China, Franz Fanon na wengine wengi walikuwa loosers kwa sababu walikataa kujipendekeza kwa wenye mamlaka?

Amandla...
 
"Team Kiba".... embu njooni huku kuna mtu anavuta sharubu zenu bana!!
 
Diamnond ataaangukia pua kama alivoangukia pua Magufuli vs yule rais wa Ghana. Huu ulikuwa uthibitisho tosha tu kuwa uchaguzi Tanznia chini ya tume huru, CCM ingekuwa ishapigwa teke miaka mingi sana. Uzuri wenyewe hata Polepole mwenyewe analijua hili na alikiri kwa kinywa chake!!
 
Mmeshikwa pabaya[emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1787]

Mnatapatapa
 
Anaimba kile kinachopendwa na kizazi hiki!

Kwani huoni ndie msanii nwenye mashabiki wengi hapa nchini?
Mpendwa
Kwa hiyo kizazi hiki mnajivunia waziwazi kupenda lugha chafu za hovyo hivyo za kishetani.
Mnajivunia kupotoka na kurudi enzi za Loti za Sodom & Gomora? (Mwanzo 19:14)
Kwa kweli ninashindwa kuamini kama hiyo ndo maana yako.
Wewe na hao wenzio na huyo mwimbaji wenu, mwahitaji kuongozwa kwenye sala TOBA.
Mjitafakari na kutubu ili muweze kumrudia Mungu muumbaji wenu kwa unyenyekevu. Mmeshafika Pabaya.
 
Dimond akijiingiza kwenye siasa jua anakaribia mwisho wake
 
Mbona siwaelewi nyie maccm.
Huyi Diamond atapigiwa kura na wanaccm wenzake,sababu ndiyo anaowatetea,sisi tunaojitetea hatutampigia kura.
Na hiyo ndiyo demokrasia.
 
Vile ambavyo Diamond hakumuunga mkono Lissu kwenye harakati zake ni uhuru wake wa kuchagua kitu apendacho....Kwanini inakuwa tatizo kwa Lissu kutomuunga mkono Diamond?Na yeye si ana haki ya kuchagua apendacho?
 
Ccm si inatumia dola kuwa madarakani na kwamba wananchi wameichoka hadi kwenye mikutano yao huwa wanakusanya wanafunzi na kuwachukua watu kwenye mafuso, sasa chama cha aina hiyo inawashughulisha nini hata wasanii wakiwa upande wao kiasi hadi cha kujiingiza kwenye kampeni kama hizi kwa hao wasanii?
 
Kwa hiyo Lisu anamchukia diamond sababu anaimba vitu vya duniani?
 
Wasafi wakiwa ni wa mavazi na muonekano pekee huku wakisahau usafi katika utu na haki ,Hakuna Mtanzania atakaye waelewa.
Watanzania wangekuwa wanawaelewa hao Roma na Nay basi sasa hivi ndio wangekuwa wanapigiwa kura ila hali ipo tofauti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…