Tundu Lissu, vita na Wasafi hutoiweza, utagalagazwa wewe na chama chako

Tundu Lissu, vita na Wasafi hutoiweza, utagalagazwa wewe na chama chako

Utakuta hata Lisu nae ana mawazo mfu kama haya akilini mwake!

Wasafi siyo ile tv na redio tu!

Wasafi ni kundi la mashabiki ambao wameea nchi nzima, hao wana impact maana ni wapiga kura na wengine wako huko chadema.

Sasa kwa akili kama hizi ccm inashindwaje kuwagonga kwenye box la kura?
Wachukueni ccm sie hatuwataki ,mbona unalazimisha Mambo ,aendelee nao na wamfuate huko ccm Kama 2020 walivyo mfuata uliona wapi chadema ikimpigia MAGOTI,
 
Ushindi wapi bana hamjawahi kujitambua njaa tupu, kifupi hawana issue wawape tu mpaka watakapo jotambua siku moja.
Sasa usiwe unatoka ubelgiji mbio mbio na kuzunguka nchi nzima kuomba kura kwa wasiojitambua na wenye njaa.
 
Lissu nakushauri kabisa achana na habari za Diamond maana vita yake hauiwezi. Diamond anafanya sanaa na anawapa watu burudani.

Team Wasafi ni jeshi kubwa na likishambulia linashambulia kama waveitnamu.

Yeye kuchagua chama cha CCM chama cha watoto wa mjini, kosa lake mpaka wewe na wafuasi wako wa Chadema kumshambulia mitandaoni ni lipi?

Mnahubiri haki ila haki ya wenzenu kuchagua wanachopenda hamuitaki. Huu mbona ni udikteta sasa, siku mkipewa nchi watu wasiounga mkono chama chenu hakuna rangi wataacha ona hapa. Hamna polisi hamna jela ila mnataka kila mtu aamini mnachoamini kwa mabavu akiwa tofauti ni adui.

Beyonce alimpigia Hillary Clinton kampeni za kufa mtu ila Trump akachukua nchi, Trump akumgeuza Beyonce adui wala Republican hawakuanzisha vita na Beyonce kwanza full unyamwezi yani Beyonce support bila kujali vyama.

Lissu na viongozi wa huko dizaini yako mnafanya vijana wa kisasa wasivutiwe na Chadema. Yani kwa kifupi mnatuonyesha nyie sio watu poa, kwenu huko ni vurugu, visasi, ukamanda, usela nnya ndio umejaa mpo so harsh 😖😖 mnayafanya maisha kama kitu kigumu sana.

Huyo Ney wenu mnaemsifia mkumbuke jina halisi ni Elibariki wa kulekule sasa kwanini asiwe Chadema.

Hili ni onyo Lissu fanya siasa zako na kina Polepole achana na Wasafi kama unahitaji kuungwa mkono na watoto wa mjini.
Yaani TZ bhana mtu akiwa chama fulani basi anataka kila mtu awe mfuasi wa hicho chama, sasa ni nini maana ya Demokrasia.

NB; Tusipende kuchanganya siasa na vitu vingine kama mpira na music, binafsi naona mh. amefeli sana.
 
Kayataka mond, nchi Ina watu wa itikadi tofaufi za vyama, yeye Kama msanii mkubwa alitakiwa ajiongeze kwakutokuwa na upande hasa wakati was chaguzi
Hakatazwi kuwa mwanachama wa chama chochote au kupigia kura chama Fulani

Bali ktk kampeni angekaa pembeni asubiri kupiga kura.

Ujue ktk mafanikio Kuna level nyingi, ukifika level Fulani km ya mond lazima macho yote ya wananchi yakutazama Tena waitikadi tofauti.
Kwa hiyo Lisu nae akitaka kuja kuomba kura hahitaji kura za wana ccm, act, cuf ila ni za chadema tu?

Akili mgando hizi
 
Alichosema Lissu ndio kweli.

Diamond ndio walewale walioishi ktk unafiki na uzandiki mtupu, kamwe mie siwezi kumuunga mkono mnafiki.
ni kweli kaka unalolisema - wewe ni kama mimi - wanafiki nafiki na mimi ni mbali mbali kabisa.
 
Wacheni kelele, hawa wasanii wa hili taifa wanatakiwa kufunzwa iwe kwa mijeledi au vyovyote waache kujipendekeza kwa CCM halafu ukifika wakati wanahitaji kupigiwa kura ili washinde tuzo fulani, wanawaomba watanzania wawachague.

Wanatakiwa wakawaombe CCM wenzao wawapigie hizo kura, wasanii wa Tanzania ni mfano wa wasanii wachovu kiakili ambao hawawazi chochote kingine kinachoisibu jamii iliyowazunguka, zaidi ya kuangalia maslahi yao kwa kujipendekeza kwa mabwana zao.
Mkuu hivi unafahamu maana ya Demokrasia kweli, sasa wote tukiwa chama kimoja (upinzani) kuna haja gani ya kuwa na mfumo wa vyama vingi.??
 
Mungu mwenyewe mwanzilishi wa mfumo wa demokrasia ametupa uhuru wa kumfata au lah,kwanini mnalazimisha kila mtu amchague Diamond, huo ndiyo udikteta uchwara, amesema mapenzi hayalazimishwi hivyo ni haki yake na demokrasia kumpigia ampendaye siyo lazima diamond na ameweka vigezo vyake anampa mtu mpenda kupigania haki, msilazimishe watu ninyi lumumba
Watu wa siasa mnakuwaga vipofu sn[emoji16]..sasa wewe unamkosoa mleta mada wakati nawe umerudia hichohicho..

Km ni demokrasia sasa ni Kwa nn na nyie wanachadema mnawalazimisha watu Kwa kuwaambia wasimpigie Kura diamond?hapo Uhuru wa kuchangia upo wapi,si ni udikteta huohuo mlioupingaga enzi hizo

Mkuu,km hujui kinachoendelea Ila umekomenti Tu baada ya kuona huu Uzi ni kwamba diamond yeye amekuwa nominated na BET,Ila huko Twitter wafuasi wa chadema ndy wanaotumia nguvu kubwa kushawishi watanzania wasimpigie Kura diamond..sasa niambie huo Uhuru unaouongelea hapa ni upi?
 
Wachukueni ccm sie hatuwataki ,mbona unalazimisha Mambo ,aendelee nao na wamfuate huko ccm Kama 2020 walivyo mfuata uliona wapi chadema ikimpigia MAGOTI,
Hata wakati anapiga kampeni tulitoa ushauri hakusikia ila watu kama nyie ndio akawasikiliza matokea yake akambulia 18%
 
Lisu tulimuonya toka anatoka ubelgiji na mimi binafsi nilisema hatapata zaidi ya 20% ya kura zote.

Huwezi ukabeba mtu toka ubelgiji eti awe ndio anakupigania uwe rais kisha watz wakuelewe!

Sasa hapa amejiingiza kwenye ligi za akina diamond bila kujua diamond ana mashabiki wake wapo huko chadema pia.

Umbumbumbu wa siasa huu
Mungu hapendi uongo na dhuluma,that,s mmeyaona mliyoyaona bado mpaka kila mshiriki wa dhuluma atubu,
Ukweli wa mungu na mungu anajua,ccm 2020 hamkushinda, Sasa kanusha mbele ya mungu wako unaemuabudu ,
 
Sioni tatizo kwenye hiyo comment ya Lissu, tena katumia lugha nzuri sana, na kusema maoni ya Lissu ndio maoni ya Chadema sijui walikaa kikao wapi wakaamua hivyo, wacha ushamba.

Above all, Lissu ana haki yake kikatiba kutoa maoni yake kwenye jambo lolote, msitupigie makelele hapa.
Hivi Samia akienda sehemu akatoa maoni ya jambo flani hayawi maoni ya tz?

Lisu angekuwa na akili hiyo ligi angeachia watu wajinga kama hao kina JACOB wa ubungo ila kwa kuwa nae ndio wale wale ndio hivyo tena.
 
Kwa hiyo Lisu nae akitaka kuja kuomba kura hahitaji kura za wana ccm, act, cuf ila ni za chadema tu?

Akili mgando hizi
Kama akigombea tena inabidi aulizwe hili.

Imefika hatua watu wajielewe sasa, siasa zimewashinda wanataka waiaribu na tasnia ya music, ambayo watu wachache wameipambania sana hadi hapa ilipo..
 
Kila binadamu na malengo yake, si lazima kila msanii apiganie haki kiuanaharakati. Huyu kijana inawezekana malengo yake ni kupata mafanikio kifedha na si kuwa mwanasiasa au mwanaharakati ila wanasiasa wanatumia mafanikio yake aliyoyapigania kwa jasho kufikia alipofika. AIBU.

Wakati unafikiri kuhakikisha kuwa hafanikiwi Jambo ambalo hulifikiri ni kuwa huyu kijana anaongelewa kwa sababu amechaguliwa kugombea hizo tuzo. Kwa umri wake ameshafanikiwa kimziki, hata asipoipata wengine wataendeleza alipoishia.
 
Watu wa siasa mnakuwaga vipofu sn[emoji16]..sasa wewe unamkosoa mleta mada wakati nawe umerudia hichohicho..

Km ni demokrasia sasa ni Kwa nn na nyie wanachadema mnawalazimisha watu Kwa kuwaambia wasimpigie Kura diamond?hapo Uhuru wa kuchangia upo wapi,si ni udikteta huohuo mlioupingaga enzi hizo

Mkuu,km hujui kinachoendelea Ila umekomenti Tu baada ya kuona huu Uzi ni kwamba diamond yeye amekuwa nominated na BET,Ila huko Twitter wafuasi wa chadema ndy wanaotumia nguvu kubwa kushawishi watanzania wasimpigie Kura diamond..sasa niambie huo Uhuru unaouongelea hapa ni upi?
Naelewa vizuri huko twitter bwana Reel Haule analazimisha watu wote wampigie kura Diamond kigezo eti ni mtanzania mwenzetu, Lissu na vijana wa chadema wanasema hawampi wala kumuunga mkono kwa vigezo siyo mpigania haki za watanzania na kushiriki kupigia kampeni watesi wao, ni sahihi kwani lazima wampigie demokrasia ni kuchagua mtu mwenye vigezo unavyotaka siyo kushinikizwa na mtu kwa sababu eti uzalendo
 
Lissu nakushauri kabisa achana na habari za Diamond maana vita yake hauiwezi. Diamond anafanya sanaa na anawapa watu burudani.

Team Wasafi ni jeshi kubwa na likishambulia linashambulia kama waveitnamu.

Yeye kuchagua chama cha CCM chama cha watoto wa mjini, kosa lake mpaka wewe na wafuasi wako wa Chadema kumshambulia mitandaoni ni lipi?

Mnahubiri haki ila haki ya wenzenu kuchagua wanachopenda hamuitaki. Huu mbona ni udikteta sasa, siku mkipewa nchi watu wasiounga mkono chama chenu hakuna rangi wataacha ona hapa. Hamna polisi hamna jela ila mnataka kila mtu aamini mnachoamini kwa mabavu akiwa tofauti ni adui.

Beyonce alimpigia Hillary Clinton kampeni za kufa mtu ila Trump akachukua nchi, Trump akumgeuza Beyonce adui wala Republican hawakuanzisha vita na Beyonce kwanza full unyamwezi yani Beyonce support bila kujali vyama.

Lissu na viongozi wa huko dizaini yako mnafanya vijana wa kisasa wasivutiwe na Chadema. Yani kwa kifupi mnatuonyesha nyie sio watu poa, kwenu huko ni vurugu, visasi, ukamanda, usela nnya ndio umejaa mpo so harsh 😖😖 mnayafanya maisha kama kitu kigumu sana.

Huyo Ney wenu mnaemsifia mkumbuke jina halisi ni Elibariki wa kulekule sasa kwanini asiwe Chadema.

Hili ni onyo Lissu fanya siasa zako na kina Polepole achana na Wasafi kama unahitaji kuungwa mkono na watoto wa mjini.
Hata mimi ni raia wa kawaida tu, lakini sijawahi kumuunga mkono Diamond Platinum...

Na unajua nini eti..?

Yeye na Mwendazake mungu wao ni mmoja, walikuwa wanalelewa na madhabahu moja...

Asipobadilika na kuachana na ibada za mashetani na kumwabudu Mungu wa kweli, Yehova atamfuata Kanumba na Magufuli walipo
 
kama huna akili huwezi kuelewa lakini kama una akili utaelewa.
𝙷𝚒𝚟𝚒 𝚁𝙾𝙼𝙰 𝚊𝚞 𝙽𝙴𝚈 𝚠𝚊𝚕𝚒𝚠𝚊𝚑 𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚗𝚘𝚖𝚒𝚗𝚎𝚝𝚎𝚍 𝚑𝚞𝚔𝚘 𝙱𝙴𝚃?
 
Chama hakina ajenda zaidi ya kudandia trending issues hata zisizo na mashiko. Chadema hawapendi kukosolewa JPM nafuu! Hivi makamu mwenyekiti anaingia kwenye malumbano ya akina Diamond kweli?

Hawa kwao kikwazo si alikuwa mwendazake? Sasa watakuwa exposed jinsi wasivyo na ajenda.
Mkuu haya yanayoendelea ki ukweli yana sikitisha sana.....lakini mtu unaogopa kuchangia maoni yako ambayo unajua yatakwenda kinyume na utashi wao kwa kuwa utaambulia matusi ya nguoni......

UKWELI NI KWAMBA CHAMA CHA SIASA KINAPOACHANA NA AJENDA ZA KIMSINGI ZA KITAIFA KINAELEKEA KUBAYA.......
 
Lissu nakushauri kabisa achana na habari za Diamond maana vita yake hauiwezi. Diamond anafanya sanaa na anawapa watu burudani.

Team Wasafi ni jeshi kubwa na likishambulia linashambulia kama waveitnamu.

Yeye kuchagua chama cha CCM chama cha watoto wa mjini, kosa lake mpaka wewe na wafuasi wako wa Chadema kumshambulia mitandaoni ni lipi?

Mnahubiri haki ila haki ya wenzenu kuchagua wanachopenda hamuitaki. Huu mbona ni udikteta sasa, siku mkipewa nchi watu wasiounga mkono chama chenu hakuna rangi wataacha ona hapa. Hamna polisi hamna jela ila mnataka kila mtu aamini mnachoamini kwa mabavu akiwa tofauti ni adui.

Beyonce alimpigia Hillary Clinton kampeni za kufa mtu ila Trump akachukua nchi, Trump akumgeuza Beyonce adui wala Republican hawakuanzisha vita na Beyonce kwanza full unyamwezi yani Beyonce support bila kujali vyama.

Lissu na viongozi wa huko dizaini yako mnafanya vijana wa kisasa wasivutiwe na Chadema. Yani kwa kifupi mnatuonyesha nyie sio watu poa, kwenu huko ni vurugu, visasi, ukamanda, usela nnya ndio umejaa mpo so harsh 😖😖 mnayafanya maisha kama kitu kigumu sana.

Huyo Ney wenu mnaemsifia mkumbuke jina halisi ni Elibariki wa kulekule sasa kwanini asiwe Chadema.

Hili ni onyo Lissu fanya siasa zako na kina Polepole achana na Wasafi kama unahitaji kuungwa mkono na watoto wa mjini.
Wanachohubiri demokrasia ni tofauti na matendo yao. Kuchagua chama ni haki ya mtu, anataka watu wote wawe chadema? Huyu jamaa ashakuwa compromised na hawezi tokea akawa raisi wa tz.
 
Uvumilivu wa kisiasa ndo tatizo, ila msanii anaweza kuchukua mlengo wowote wa kisiasa au kukosoa bila bughudha kwa sababu ni haki yake. Sasa wasanii wenye mlengo mwingine wanapokosoa na kuanza kushushiwa rungu zito hapo ndo kunakuwa na walakini.
 
Lissu nakushauri kabisa achana na habari za Diamond maana vita yake hauiwezi. Diamond anafanya sanaa na anawapa watu burudani.

Team Wasafi ni jeshi kubwa na likishambulia linashambulia kama waveitnamu.

Yeye kuchagua chama cha CCM chama cha watoto wa mjini, kosa lake mpaka wewe na wafuasi wako wa Chadema kumshambulia mitandaoni ni lipi?

Mnahubiri haki ila haki ya wenzenu kuchagua wanachopenda hamuitaki. Huu mbona ni udikteta sasa, siku mkipewa nchi watu wasiounga mkono chama chenu hakuna rangi wataacha ona hapa. Hamna polisi hamna jela ila mnataka kila mtu aamini mnachoamini kwa mabavu akiwa tofauti ni adui.

Beyonce alimpigia Hillary Clinton kampeni za kufa mtu ila Trump akachukua nchi, Trump akumgeuza Beyonce adui wala Republican hawakuanzisha vita na Beyonce kwanza full unyamwezi yani Beyonce support bila kujali vyama.

Lissu na viongozi wa huko dizaini yako mnafanya vijana wa kisasa wasivutiwe na Chadema. Yani kwa kifupi mnatuonyesha nyie sio watu poa, kwenu huko ni vurugu, visasi, ukamanda, usela nnya ndio umejaa mpo so harsh 😖😖 mnayafanya maisha kama kitu kigumu sana.

Huyo Ney wenu mnaemsifia mkumbuke jina halisi ni Elibariki wa kulekule sasa kwanini asiwe Chadema.

Hili ni onyo Lissu fanya siasa zako na kina Polepole achana na Wasafi kama unahitaji kuungwa mkono na watoto wa mjini.

Ungeanzia definition (tafsiri) ya nini maana ya kushambulia ili kujiridhisha kuwa huo ndiyo ulio msingi wa hoja yako.

Haiyumkiniki unabwaja bwabwaja tu.
 
Back
Top Bottom