Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Unawezaje kumtenganisha Lisu na chadema?Kwani Lisu ameongea kwa niaba ya Chadema? Au mi ndio sielewi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawezaje kumtenganisha Lisu na chadema?Kwani Lisu ameongea kwa niaba ya Chadema? Au mi ndio sielewi.
Lazima mkubali uhuru na haki ya kila mtu kuchagua anachopenda na kuamini anachoamini.Alichosema Lissu ndio kweli.
Diamond ndio walewale walioishi ktk unafiki na uzandiki mtupu, kamwe mie siwezi kumuunga mkono mnafiki.
Yani Lisu anataka kutwambia kwamba kwa vile kina Roma wapo chadema basi wana ccm wasiwaunge mkono kwenye mziki wanaoufanya.Chama hakina ajenda zaidi ya kudandia trending issues hata zisizo na mashiko. Chadema hawapendi kukosolewa JPM nafuu! Hivi makamu mwenyekiti anaingia kwenye malumbano ya akina Diamond kweli?
Hawa kwao kikwazo si alikuwa mwendazake? Sasa watakuwa exposed jinsi wasivyo na ajenda.
Mtafanya nini nyinyi Chadema sana sana mnazidi kupoteza watu wenye akili maana wanaona kama genge la machokoraa tu halina ustaarabu fujo mizuka chuki ndio mtaji wenu sio ushawishi.au siyo? utajionea.
Lissu vs chadema haiwezi humiza kichwa na media ikiwemo Wasafi ,bland ya CHADEMA inajitosheleza ,media uchaguzi 2020 zilikua mfukoni mwa mwendazake ila bado ccm chin ya mwendazake ukweli wa mziki wanaujua,na mungu anajuaView attachment 1806668
Lissu nakushauri kabisa achana na habari za Diamond maana vita yake hauiwezi. Diamond anafanya sanaa na anawapa watu burudani.
Team Wasafi ni jeshi kubwa na likishambulia linashambulia kama waveitnamu.
Yeye kuchagua chama cha CCM chama cha watoto wa mjini, kosa lake mpaka wewe na wafuasi wako wa Chadema kumshambulia mitandaoni ni lipi?
Mnahubiri haki ila haki ya wenzenu kuchagua wanachopenda hamuitaki...Huu mbona ni udikteta sasa, siku mkipewa nchi watu wasiounga mkono chama chenu hakuna rangi wataacha ona hapa hamna polisi hamna jela ila mnataka kila mtu aamini mnachoamini kwa mabavu akiwa tofauti ni adui.
Beyonce alimpigia Hillary Clinton kampeni za kufa mtu ila Trump akachukua nchi , Trump akumgeuza Beyonce adui wala Republican hawakuanzisha vita na Beyonce kwanza full unyamwezi yani Beyonce support bila kujali vyama.
Lissu na viongozi wa huko dizaini yako mnafanya vijana wa kisasa wasivutiwe na Chadema. Yani kwa kifupi mnatuonyesha nyie sio watu poa, kwenu huko ni vurugu, visasi, ukamanda, usela nnya ndio umejaa mpo so harsh 😖😖 mnayafanya maisha kama kitu kigumu sana.
Huyo Ney wenu mnaemsifia mkumbuke jina halisi ni Elibariki wa kule kule sasa kwa nini asiwe Chadema.
Ili ni onyo Lissu fanya siasa zako na kina Polepole achana na Wasafi kama unahitaji kuungwa mkono na watoto wa mjini.
Toa neno mtanzania weka mwanachadema.Wasafi wakiwa ni wa mavazi na muonekano pekee huku wakisahau usafi katika utu na haki ,Hakuna Mtanzania atakaye waelewa.
Sidhani kama umewahi kuzitafuta agenda za Chadema ukazikosa, google utazipata.Chama hakina ajenda zaidi ya kudandia trending issues hata zisizo na mashiko. Chadema hawapendi kukosolewa JPM nafuu! Hivi makamu mwenyekiti anaingia kwenye malumbano ya akina Diamond kweli?
Hawa kwao kikwazo si alikuwa mwendazake? Sasa watakuwa exposed jinsi wasivyo na ajenda.
Kwahiyo songi za akina Roma ziskilizwe na chadema ila wana ccm na ADc sio? Munaingiza ushamba kwenye mambo ya siasa halafu ssiem inawaitia mnasema wameiba, cdm hamjitambuiAlichosema Lissu ndio kweli.
Diamond ndio walewale walioishi ktk unafiki na uzandiki mtupu, kamwe mie siwezi kumuunga mkono mnafiki.
Hatupo humu kiitikadi kama uwazavyo,ila tupo kizalendo na kitaifa zaidi.Toa neno mtanzania weka mwanachadema.
Mungu mwenyewe mwanzilishi wa mfumo wa demokrasia ametupa uhuru wa kumfata au lah,kwanini mnalazimisha kila mtu amchague Diamond, huo ndiyo udikteta uchwara, amesema mapenzi hayalazimishwi hivyo ni haki yake na demokrasia kumpigia ampendaye siyo lazima diamond na ameweka vigezo vyake anampa mtu mpenda kupigania haki, msilazimishe watu ninyi lumumbaView attachment 1806668
Lissu nakushauri kabisa achana na habari za Diamond maana vita yake hauiwezi. Diamond anafanya sanaa na anawapa watu burudani.
Team Wasafi ni jeshi kubwa na likishambulia linashambulia kama waveitnamu.
Yeye kuchagua chama cha CCM chama cha watoto wa mjini, kosa lake mpaka wewe na wafuasi wako wa Chadema kumshambulia mitandaoni ni lipi?
Mnahubiri haki ila haki ya wenzenu kuchagua wanachopenda hamuitaki...Huu mbona ni udikteta sasa, siku mkipewa nchi watu wasiounga mkono chama chenu hakuna rangi wataacha ona hapa hamna polisi hamna jela ila mnataka kila mtu aamini mnachoamini kwa mabavu akiwa tofauti ni adui.
Beyonce alimpigia Hillary Clinton kampeni za kufa mtu ila Trump akachukua nchi , Trump akumgeuza Beyonce adui wala Republican hawakuanzisha vita na Beyonce kwanza full unyamwezi yani Beyonce support bila kujali vyama.
Lissu na viongozi wa huko dizaini yako mnafanya vijana wa kisasa wasivutiwe na Chadema. Yani kwa kifupi mnatuonyesha nyie sio watu poa, kwenu huko ni vurugu, visasi, ukamanda, usela nnya ndio umejaa mpo so harsh 😖😖 mnayafanya maisha kama kitu kigumu sana.
Huyo Ney wenu mnaemsifia mkumbuke jina halisi ni Elibariki wa kule kule sasa kwa nini asiwe Chadema.
Ili ni onyo Lissu fanya siasa zako na kina Polepole achana na Wasafi kama unahitaji kuungwa mkono na watoto wa mjini.
Mkuu maoni ya Lisu ndio maoni ya chadema.Kwahiyo Lissu asitoe maoni yake kwasababu Diamond kahusika! wacha ushamba.
Nakuhurumia kwa sababu haulijui jeshi halisi la Wasafi ni kina nani. Labda kama Lissu Hana mpango wa kugombea tena urais. Kama ungelijua jeshi nalolizungumzia ungeskitikia chama chenu.Lissu vs chadema haiwezi humiza kichwa na media ikiwemo Wasafi ,bland ya CHADEMA inajitosheleza ,media uchaguzi 2020 zilikua mfukoni mwa mwendazake ila bado ccm chin ya mwendazake ukweli wa mziki wanaujua,na mungu anajua
Sasa Wasafi KWA Chadema kitu gani , au kipi chadema itegemee toka kwenu, walitimuliwa TBC kwenye MKUTANO wa kampeni na bado Mambo yakaenda sembuse Wasafi, Chadema ikiamua inaweza anzisha izo Wasafi hata mia hacheni jitutumua wakati hamna effect yoyote kwa lissu na Chadema
Sioni tatizo kwenye hiyo comment ya Lissu, tena katumia lugha nzuri sana, na kusema maoni ya Lissu ndio maoni ya Chadema sijui walikaa kikao wapi wakaamua hivyo, wacha ushamba.Mkuu maoni ya Lisu ndio maoni ya chadema.
Unapotaka kuleta u diamond kwenye chama huo ni ushamba pia.
Udikteta ni kusema mchagueni yule maana huyu hayuko kwenye chama chetu.Mungu mwenyewe mwanzilishi wa mfumo wa demokrasia ametupa uhuru wa kumfata au lah,kwanini mnalazimisha kila mtu amchague Diamond, huo ndiyo udikteta uchwara, amesema mapenzi hayalazimishwi hivyo ni haki yake na demokrasia kumpigia ampendaye siyo lazima diamond na ameweka vigezo vyake anampa mtu mpenda kupigania haki, msilazimishe watu ninyi lumumba
Sisi washabiki wa Ney ambao tuko sisiem tunaomba.Lissu vs chadema haiwezi humiza kichwa na media ikiwemo Wasafi ,bland ya CHADEMA inajitosheleza ,media uchaguzi 2020 zilikua mfukoni mwa mwendazake ila bado ccm chin ya mwendazake ukweli wa mziki wanaujua,na mungu anajua
Sasa Wasafi KWA Chadema kitu gani , au kipi chadema itegemee toka kwenu, walitimuliwa TBC kwenye MKUTANO wa kampeni na bado Mambo yakaenda sembuse Wasafi, Chadema ikiamua inaweza anzisha izo Wasafi hata mia hacheni jitutumua wakati hamna effect yoyote kwa lissu na Chadema
Kwani anayo elimu ya kutofautisha mapenzi na ngono? Huyo mtu elimu aliyonayo ni ya mitaani. Alijifunzia Tandale kwenye ngono, unategemea nini? Angalia kundi lote hilo la wasanii ni watu wa aina gani ndo utajua umuhimu wa elimu badala ya kipaji.Mim napenda sana songs za Diamond za kipindi hicho
Very touching songs...Ila hizi za siku hizi za paka mate iteleze, Mara nasafisha mtaro, mara alichokupa mama kwa kweli nikiwa home nawaonea aibu WATOTO na wadogo zangu.
Aondoe lugha za kuchochea ngono /sex abakie kwenye kuchochea mapenzi/love Kama mwanzoni
Kwangaruu wimbo mzuri Sana ukiondoa vineno ngonoka alivyochomeka diamond