Pre GE2025 Tundu Lissu: Watu wanaolipwa mshahara ndani ya CHADEMA hawafiki 20

Pre GE2025 Tundu Lissu: Watu wanaolipwa mshahara ndani ya CHADEMA hawafiki 20

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Naona Uchaguzi wa safari hii ndani ya CHADEMA mambo yamekuwa ya moto mno to the point where viongozi wameanza kuvujisha siri za kambi.

Akizungumza siku ya leo kwenye mahojiano na Global TV, Tundu Lissu amesema kuwa, notion iliyopo ndani ya CHADEMA kuwa kuna mtu mmoja tu anajitolea kukuza chama ni uongo kwani watu wengi ikiwemo viongozi wakubwa wa kwenye chama hicho hawalipwi.

Lissu alisema kuwa tangu mwaka 2004 hadi sasa amekuwa ni mjumbe wa kamati kuu CHADEMA na kwa taarifa alizonazo watu wanaolipwa mshahara ndani ya chama hicho hawafiki 20 na wengine wote wanajitolea

=======================================================

CHADEMA lipeni watu jamani ndo maana chama kina migogoro isiyoisha.

Chama kinadai kina wanachama Milioni 8 ila kina active na paid employees 20 tu? Hadi Niffer anawashinda?

Na hao viongozi 20 wanaolipwa ni akina nani?

Tunataka tujue Mbowe analipwa shingapi

 
Wakuu,

Naona Uchaguzi wa safari hii ndani ya CHADEMA mambo yamekuwa ya moto mno to the point where viongozi wameanza kuvujisha siri za kambi.

Akizungumza siku ya leo kwenye mahojiano na Global TV, Tundu Lissu amesema kuwa, notion iliyopo ndani ya CHADEMA kuwa kuna mtu mmoja tu anajitolea kukuza chama ni uongo kwani watu wengi ikiwemo viongozi wakubwa wa kwenye chama hicho hawalipwi.

Lissu alisema kuwa tangu mwaka 2004 hadi sasa amekuwa ni mjumbe wa kamati kuu CHADEMA na kwa taarifa alizonazo watu wanaolipwa mshahara ndani ya chama hicho hawafiki 20 na wengine wote wanajitolea

=======================================================

CHADEMA lipeni watu jamani ndo maana chama kina migogoro isiyoisha.

Chama kinadai kina wanachama Milioni 8 ila kina active na paid employees 20 tu? Hadi Niffer anawashinda?

Na hao viongozi 20 wanaolipwa ni akina nani?

Tunataka tujue Mbowe analipwa shingapi

View attachment 3179672
Tatizo Lissu ni vocal and controversial!
Watu wanashindwa kumuelewa.
 
Wakuu,

Naona Uchaguzi wa safari hii ndani ya CHADEMA mambo yamekuwa ya moto mno to the point where viongozi wameanza kuvujisha siri za kambi.

Akizungumza siku ya leo kwenye mahojiano na Global TV, Tundu Lissu amesema kuwa, notion iliyopo ndani ya CHADEMA kuwa kuna mtu mmoja tu anajitolea kukuza chama ni uongo kwani watu wengi ikiwemo viongozi wakubwa wa kwenye chama hicho hawalipwi.

Lissu alisema kuwa tangu mwaka 2004 hadi sasa amekuwa ni mjumbe wa kamati kuu CHADEMA na kwa taarifa alizonazo watu wanaolipwa mshahara ndani ya chama hicho hawafiki 20 na wengine wote wanajitolea

=======================================================

CHADEMA lipeni watu jamani ndo maana chama kina migogoro isiyoisha.

Chama kinadai kina wanachama Milioni 8 ila kina active na paid employees 20 tu? Hadi Niffer anawashinda?

Na hao viongozi 20 wanaolipwa ni akina nani?

Tunataka tujue Mbowe analipwa shingapi

View attachment 3179672
Erythrocyte yupo kwenye hiyo payroll ya wasiozidi 20? Maana anapambana kwa kweli!!
 
Sasa hapo tatzo ni nn kama wao hawalalamiki na wameamua kujitolea na mijiz ccm vp
 
Pesa za ruzuku wabunge zaidi ya 100mwaka 2015-2020 zote mbowe kapeleka wapi?

Ukweli Mbowe ni tapeli kaitafuna Sana chadema

Ndio maana nilikuwa najiuliza hivi chama kinakosaje ofisi miaka zaidi ya 32?
Shida ni nini, kujitolea? Mbona huo ndiyo utaratibu wa vyama vya siasa kote duniani!
 
Back
Top Bottom