Pre GE2025 Tundu Lissu: Watu wanaolipwa mshahara ndani ya CHADEMA hawafiki 20

Pre GE2025 Tundu Lissu: Watu wanaolipwa mshahara ndani ya CHADEMA hawafiki 20

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lissu hawezi kupewa Uenyekiti wa CDM.
Ajiandae tu kuunda chama kipya maana hakuna chama anachoweza kujiunga nacho kikawa serious na yeye kukitumia kama platform.

Ushauri wa bure kwa Lissu: your next move iwe kuanzisha chama kingine ili usimamishe itikadi zao na kusimama na wanaokuamini.

Bahati Mbaya sana, Mbowe hayuko serious na kuchukua dola zaidi ya biashara zake na za inner circle yake + elites wanaojua malengo ya CDM.

BAHATI MBAYA SANA WENGI HAMJUI MALENGO YA UWEPO WA CDM, matokeo imekuwa busy kutumia nguvu zenu na akili zenu kupambania CDM. CDM inamilikiwa na elites fulani kwa malengo fulani, hao ndio CDM na ndio wako na siri zote, Mbowe ni kijana wao muaminifu aliyekula yamini, MBOWE ni genius ndio maana ameaminiwa kukaa pale kulinda maslahi na malengo ya CDM.

Mtajua mkiwa mmechelewa sana.
 
Shida ni nini, kujitolea? Mbona huo ndiyo utaratibu wa vyama vya siasa kote duniani!
Shida sio kujitolea shida pesa inaenda wapi hivi unajua mwaka 2010-2015 chadema ilikuwa inapokea milion300 kwa mwezi

Na mwaka 2015-2020 ilikuwa inapokea 1.2 bilion kwa mwezi Kama ruzuku hizo pesa zimeenda wapi na zimefanya Nini Kama hata ofisi makao kakuu hakuna?
 
Pesa za ruzuku wabunge zaidi ya 100mwaka 2015-2020 zote mbowe kapeleka wapi?

Ukweli Mbowe ni tapeli kaitafuna Sana chadema

Ndio maana nilikuwa najiuliza hivi chama kinakosaje ofisi miaka zaidi ya 32?
Hayo ndio aliyoyasema Lissu?
 
Lissu hawezi kupewa Uenyekiti wa CDM.
Ajiandae tu kuunda chama kipya maana hakuna chama anachoweza kujiunga nacho kikawa serious na yeye kukitumia kama platform.

Ushauri wa bure kwa Lissu: your next move iwe kuanzisha chama kingine ili usimamishe itikadi zao na kusimama na wanaokuamini.

Bahati Mbaya sana, Mbowe hayuko serious na kuchukua dola zaidi ya biashara zake na za inner circle yake + elites wanaojua malengo ya CDM.

BAHATI MBAYA SANA WENGI HAMJUI MALENGO YA UWEPO WA CDM, matokeo imekuwa busy kutumia nguvu zenu na akili zenu kupambania CDM. CDM inamilikiwa na elites fulani kwa malengo fulani, hao ndio CDM na ndio wako na siri zote, Mbowe ni kijana wao muaminifu aliyekula yamini, MBOWE ni genius ndio maana ameaminiwa kukaa pale kulinda maslahi na malengo ya CDM.

Mtajua mkiwa mmechelewa sana.
Umeandika takataka
 
Sasa idadi ya watu wanaolipwa inategemea na ruzuku inayotolewa na serikali kwa vyama. Je Chadema kina wabunge wangapi wa kuchaguliwa?
 
Shida sio kujitolea shida pesa inaenda wapi hivi unajua mwaka 2010-2015 chadema ilikuwa inapokea milion300 kwa mwezi

Na mwaka 2015-2020 ilikuwa inapokea 1.2 bilion kwa mwezi Kama ruzuku hizo pesa zimeenda wapi na zimefanya Nini Kama hata ofisi makao kakuu hakuna?
Mbali na kuendesha mikutano mingi ya hamasa nchi nzima pia walinunua magari na pikipiki! Chama cha siasa majukumu makubwa ni mikutano ya siasa na hamasa, hilo nalo hulijui?
 
Chama hiki ni upuuzi mtupu
Watoto wa Mama.jpg
 
Wakuu,

Naona Uchaguzi wa safari hii ndani ya CHADEMA mambo yamekuwa ya moto mno to the point where viongozi wameanza kuvujisha siri za kambi.

Akizungumza siku ya leo kwenye mahojiano na Global TV, Tundu Lissu amesema kuwa, notion iliyopo ndani ya CHADEMA kuwa kuna mtu mmoja tu anajitolea kukuza chama ni uongo kwani watu wengi ikiwemo viongozi wakubwa wa kwenye chama hicho hawalipwi.

Lissu alisema kuwa tangu mwaka 2004 hadi sasa amekuwa ni mjumbe wa kamati kuu CHADEMA na kwa taarifa alizonazo watu wanaolipwa mshahara ndani ya chama hicho hawafiki 20 na wengine wote wanajitolea

=======================================================

CHADEMA lipeni watu jamani ndo maana chama kina migogoro isiyoisha.

Chama kinadai kina wanachama Milioni 8 ila kina active na paid employees 20 tu? Hadi Niffer anawashinda?

Na hao viongozi 20 wanaolipwa ni akina nani?

Tunataka tujue Mbowe analipwa shingapi

View attachment 3179672
Huyu anataka kuiua Chadema kama walivyo iua NCCR Mageuzi, wanaolipwa unasema hawazidi 20, kanda tu zipo 10, unasema ktk kanda wanalipwa watu 2, hapo tayari ni 20, na je wa makao makuu? Wewe hautaki cheo bali unataka kukiua chama!
 
Wakuu,

Naona Uchaguzi wa safari hii ndani ya CHADEMA mambo yamekuwa ya moto mno to the point where viongozi wameanza kuvujisha siri za kambi.

Akizungumza siku ya leo kwenye mahojiano na Global TV, Tundu Lissu amesema kuwa, notion iliyopo ndani ya CHADEMA kuwa kuna mtu mmoja tu anajitolea kukuza chama ni uongo kwani watu wengi ikiwemo viongozi wakubwa wa kwenye chama hicho hawalipwi.

Lissu alisema kuwa tangu mwaka 2004 hadi sasa amekuwa ni mjumbe wa kamati kuu CHADEMA na kwa taarifa alizonazo watu wanaolipwa mshahara ndani ya chama hicho hawafiki 20 na wengine wote wanajitolea

=======================================================

CHADEMA lipeni watu jamani ndo maana chama kina migogoro isiyoisha.

Chama kinadai kina wanachama Milioni 8 ila kina active na paid employees 20 tu? Hadi Niffer anawashinda?

Na hao viongozi 20 wanaolipwa ni akina nani?

Tunataka tujue Mbowe analipwa shingapi

View attachment 3179672
Uzuri wa tundu Lissu sio muongo ,na hapendi ujinga hata akiwa baba yake akifanya ujinga atamwambia bila kupapasa macho. Mimi nimekuwa mfuwasi mzuri wa chadema kwa zaidi ya miaka 18 nanilikuwa supporter mkubwa wa Mbowe kwa vipindi vyote vya uongozi wake. Lakini kwa sasa na namsupport Tundu Lissue. Mbowe kaisha fika mwisho wa kufikiri ubinafusi umeisha muingia kichwani. Hata speach yake ya leo ilikuwa imejaa umimi mtupu. Hajajibu hojo za mpizani wake, wala hajaweka sababu za kuutaka uwenyekiti kwa mara ya tano. M
 
Ndio maana nilikuwa najiuliza hivi chama kinakosaje ofisi miaka zaidi ya 32?
Kumbuka, aliyependekeza chama kisusie ruzuku ni TL. Aliyekomalia akina Mdee na wenzake watimuliwe ni TL. Hela zitatoka wapi, kwa ada hii ya wanachama?
 
Hii Chadema itakuwa kama TLP , CUF na ville vinginev 14.
Nobody should stay in leadership position for that long - power has gone into their head.
Sasa kitasambaratika na project ya ccm kukamilika pwaa...
Wanakamati kuu- kama bado munakipenda chama Chenu, mpumzisheni huyo Mbowe kwenye sanduku la kura.
Uchaguzi huu anapigiwa kampeni na ccm na mashabiki wao Akina Lucas na tlatlah, ni ajabu Sana ccm inampenda Mbowe leo hii lakini walitaka kumfunga.
Amekeni, msije Sema hamkuambiwa.
Msizikane nafsi zenu, watanzania wanataka mabadiliko, sio hizi drama za hii ni awamu ya mwisho.
 
Unajua hawa wenzetu watunzi wa vitabu ata kama ni fictional they actually do research.

Kitabu kizuri elewa mwandishi keshafanya psychology research yake kuhusu personalities ya characters zake.

It takes a lot to write a good book or produce a good movie, wazungu awatukuzi tu kitu ambacho hakina resemblance na reality.

Lissu ni sawa na ‘Santino (Sonny) Carleone’ kwenye kitabu cha ‘The God Father’

Ni vigumu sana kuelewa character ya Sonny kupitia cinema, ukisoma kitabu humo ndio ‘Mario Puzo’ mwandishi kamuelezea kwa kina tabia yake ya kukurupuka.

Na Mbowe leo kagusia kuna watu wana papara na hawana subira ndio Lissu, na papara zina madhara.

Kwa mtu yeyote anaetaka kuona mustakabali wa muda mrefu wa CDM, hawezi kubali Lissu awe kiongozi. Hana leadership skills bado.
 
Huyu ana mdomo.... ehhh, sasa mbona alikuwa kiongozi na alikuwa kimya, alikuwa hahudhurii vikao vya bajeti
Unanikumbusha wafanyakazi hewa , yaani kila.kitu hewa, huko chadema ni mwendo wa kujitolewa tu

Na kunawatu wanajitolea kwelikweli siyo mzaha
 
Huyu ana mdomo.... ehhh, sasa mbona alikuwa kiongozi na alikuwa kimya, alikuwa hahudhurii vikao vya bajeti


Acheni unafiki .

Lisu amechaguliwa akiwa Ubelgiji kwenye matibabu.
Akaja akagombea urais ,akarudi Ubelgiji , sasa hivyo vikao vya fedha anavifanya saa ngapi?

Wawe haujawahi kusikia kuwa Mbowe alikua ananunua vifaa used halafu pesa ya Ruzuku ikitoka anajilipa na Riba kwa vifaa vipya.


Wewe inaelekea haujawahi kufanya kazi kwenye ofisi ya watu wanaopiga maadili unajua jinsi inavyokua .
Kwenye madili ya pesa mtu mwadilifu hua hadhirikishwi kabisa na ukijifanya kuwakemea wapiga dili wanakuua haraka sana kwa sababu wetu wanaopiga maadili wanakoneksheni kubwa sana. Kila mahali na wanakutana kwenye starehe na kuinjoi maisha .

Sasa kama Mwenyekiti anaelekeza pesa itoke kwa ajili ya malipo yake utakataa wewe ni nani ?

Jiulize ni kwa nini watu wote wenye akili nyingi wamefukuzwa au kukimbia Chadema ya Mbowe ?
Je ,hawakua na vyeo huko ? Wengine waliulizwa sana kama Dr.Slaa na akina Kafulila wakiponea chupu chupu kuuawa na mafisadi . Sasa wakihoji matumizi mabovu wanaambiwa wakasome riport ya CAG. Sasa ripoti ya CAG mbona ni rahisi sana kuweka kumbukumbu kama taasisi inajiendesha kibinafsi. Si kiasi cha kuweka tu kumbukumbu za kila pesa inayotoka na kuingia . Kama bil. zaidi ya mia nne zinalipwa wetu 20 tu achilia mbali Miradi kama ya kuuza Tshirt ,kofia , na ada za wanachama na wafadhili kama akina Sabodo.

Yaani Mbowe alikitoa chama kutoka kwenye chama cha kupinga ufisadi mpaka kuwa chama Cha walamba asali za Serikali na kujifanya wanaendesha Chama kistaarabu kumbe ni ili wasimulikwe.
 
Shida sio kujitolea shida pesa inaenda wapi hivi unajua mwaka 2010-2015 chadema ilikuwa inapokea milion300 kwa mwezi

Na mwaka 2015-2020 ilikuwa inapokea 1.2 bilion kwa mwezi Kama ruzuku hizo pesa zimeenda wapi na zimefanya Nini Kama hata ofisi makao kakuu hakuna?
Kiukweli Mbowe Kala chama atoke Kwa hesabu hizo
 
Back
Top Bottom