Tundu Lissu: We were too quick to give President Samia Suluhu Hassan the benefit of doubt

Juzi kazomewa kwenye mkutano wa Mbowe. Vipi ameshawauzi Chagadema au?
 
Hauna akili. lazima amtaje si aliagiza mumuuwe pale dodoma Mungu akakataa. Siyo hapa hata mbele za Mungu atamtaja. Kama alivyomtaja akiwa hai kuwa umeusika kutaka kumuuwa. Hajapepesa macho.
Vipi mbona juzi kwenye mkutano wa Mbowe mlimzomea Tundu Lissu kafanya nini tena!!?
 
Vipi mbona juzi kwenye mkutano wa Mbowe mlimzomea Tundu Lissu kafanya nini tena!!?
Mm si mwanasiasa Kama wewe ndiyo maana kwenye ukweli nanyooka. Magu atatajwa hata mbele za Mungu kutaka kumuuwa Lisu utake usitake
 
Tanzanians are very well known as lazy thinkers. They are easily fooled by sweet talks.
We cant reach the laziness to thick of kenyans who can riot because ruto has not reached the price of one luo man odinga for 20yrs? Once the odinga price tag reached all kenyans go to sleep at kibera slums with colonial language efficience pride and stomach full of rejected maize in Tanzania market(githeri) so thanks to ur kids(gen z) helped u come to light.

Inauma ee?? U mess with the bull you get the horn.
 
Dunia macho yote Tanzania baada ya Tundu Lissu kuweka hadharani kwa lugha kubwa ya kigeni duniani, hadaa ya Chama Dola Kongwe CCM.

Ni muhimu vyombo vya media Tanzania kuwa na channel kwa lugha kubwa za kigeni tofauti na sasa hata habari za biashara, sayansi utafiti, biashara haramu ya usafirishaji binadamu toka Ethiopia wanaokamatwa kwa mamia kila mwezi Tanzania, michezo na burudani hazipo kwa lugha kubwa za kigeni, na ndipo CCM inapoificha dunia vitu mbalimbali zinavyoendelea nchini.
 
Mamlaka Yote Hutoka kwa Wananchi Kupitia kwa Sandulu la Kula. Ingawa Mungu ndiye mwenye kutoa yote hayo.
Kwahiyo na wewe unaamini CCM huwa inashinda kupitia box la kura?

Ila kwa kuwa umeandika sanduku la "kula" hapo lazima hatuwezi kuelewana maana tunaongea lugha mbili tofauti.
 
Ignore them all associating JPM with ignorance, also reject CCM in 2025 to protect the life of our countr
Raisi ni Mpaang,PM Kabudi au Mwanamke Mwenye Uwezo sio Chawa iwe ndani ya CCM au Nje ya CCM
 
You represent a typical Tanzanian mindset, which is to wait, do nothing, and then blame others by saying, 'I told you before this wasn't going to work, but you didn't listen to me. ''Wasomi diaspora'' wa nchi ya Tanzania mnachekesha sana.
 
Mbowe na maridhiano 🤣🤣🤣
Mkuu, what Mbowe did was right. Kujaribu njia zote. Asingekubali maridhiano sasa hivi CCM wangekuwa wanasema CHADEMA ilikataa kukaa meza moja kuleta suluhisho. By the way, Mbowe angefanya nini cha zaidi? Watanzania wenyewe wamejikalia tu kama mizigo na hata kama anayewatetea akipata madhila hakuna support yoyote.
 
Kimombi kizuri sana ila hutapata wachangiaji
 
Hapa nimekuelewa vizuri kweli Mimi ni Zero Minus 10
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…