Tundu Lissu: We were too quick to give President Samia Suluhu Hassan the benefit of doubt

Tundu Lissu: We were too quick to give President Samia Suluhu Hassan the benefit of doubt

Juzi kazomewa kwenye mkutano wa Mbowe. Vipi ameshawauzi Chagadema au?

Mkuu jibu swali juzi kwa nini mlimzomea kwenye mkutano wa Mbowe mkamwita ni Yuda. Kwani kafanya nini tena?
Maasikini UCD, kwa akili hizi ndogo utahangaika kweli kweli humu JF lakini safari hii mmeumbuliwa na kubaki uchi hivyo nakushauri kama una kahekima kadogo kamebaki chutama!
 
Tundu Lissu has apologise to the nation and international community, for being too naive


View: https://m.youtube.com/watch?v=9djeud3m8Ic


And Tundu Lissu went further by saying he and many tanzanians have to bare that heavy burden of wrongly thinking that any leader assuming the office under the ruling party CCM Chama cha Mapinduzi has guts to stop State Terror action initiated by the leadership of the late President John Pombe Joseph Magufuli..

President Samia Hassan has chosen to consolidate her power and that of the ruling party by enacting laws that allow the security apparatus to abduct, torture and even .... extrajudicial killings and murder ....that are taking place right now under the administration of president Samia Hassan

Tundu Lissu says we tanzanians should play our part to resist the repressive laws and barbaric actions which are under the aegis of President Samia Hassan

Tundu Lissu deplored any chances of further engagement for talks with the Chama Cha Mapinduzi leadership about constitutional reforms, as for the past 3 years the approach has brought empty promises from the ruling party CCM which is under the leadership of President Samia Hassan

The CHADEMA senior leader Tundu Lissu urged the international community to revisit its close relationship with President Samia Hassan government.

Tundu Lissu lamented that we know all dictators when are faced with the possibility of sanctions, they always plea that the poor will bear the burden and they will ask for the saction to be uplifted. He argue the international community and partners not to listen to such pleas coming from dictators like Samia Suluhu Hassan.

The international community should rise firmly and start to implement measures and sactions from right now to support the majority who are being harassed through actions like using Food as a war weapon contrary to the UN resolution guidelines which Tanzania is a signatory, burning down vast land of savannah to forcefully evict the cattle herders in Ngorongoro Arusha region, the recent mass arrest of more than 500 CHADEMA cadres, abduction and killing of a senior CHADEMA functionary Ali Mohamed Kibao and kidnapping of opposition leaders all over Tanzania.

Espanyola

La comunidad internacional debe levantarse con firmeza y comenzar a implementar medidas y sanciones desde ahora para apoyar a la mayoría que está siendo acosada mediante acciones como el uso de alimentos como arma de guerra, en contra de las directrices de la resolución de la ONU de la que Tanzania es signataria, quemando vastas tierras de sabana para desalojar por la fuerza a los pastores de ganado en la región de Ngorongoro Arusha, el reciente arresto masivo de más de 500 cuadros de CHADEMA, el secuestro y asesinato de un alto funcionario de CHADEMA, Ali Mohamed Kibao, y el secuestro de líderes de la oposición en toda Tanzania

Mkiambiwa TL hanaga hekima na busara muwe mnaelewa. Cóż moja ya sifa ya mtu ambaye hana hekima ni kuongea kabla ya kutafakari.
1. Walitoa povuuu weee kumtukana Lowasa kuwa na fisadi; baada ya muda kidogo wakaanza kumpamba akiwa mgombea wao wa urais.
2. Wakampamba sanaa madam, muda kidogo tu wameanza kumtukana.

WaTZ mnataka Mungu aongee na nyie kwa njia gani ili muelewe?
 
You represent a typical Tanzanian mindset, which is to wait, do nothing, and then blame others by saying, 'I told you before this wasn't going to work, but you didn't listen to me. ''Wasomi diaspora'' wa nchi ya Tanzania mnachekesha sana.
1. Stop pigeonholing me. I’m neither scholarly nor an erudite.

2. There is no such thing as “a typical Tanzanian mindset”.

It is just a creation of your rich imagination [= delulu].

3.,Assessing a situation and saying a certain approach won’t work, is pragmatism.

I said the approach wouldn’t work. And guess what, it didn’t work.

Next time you decide to criticize, do so and make it make sense.

Don’t come here babbling like a tether 🤣 and act like you’re dropping some gems.

You are not.
 
Mkuu, what Mbowe did was right. Kujaribu njia zote. Asingekubali maridhiano sasa hivi CCM wangekuwa wanasema CHADEMA ilikataa kukaa meza moja kuleta suluhisho. By the way, Mbowe angefanya nini cha zaidi? Watanzania wenyewe wamejikalia tu kama mizigo na hata kama anayewatetea akipata madhila hakuna support yoyote.
Watu wanadhani kufanya siasa na CCM ni kazi rahisi, kwamba things zinaenda "by the books " . Hawajui kitu hawa! CCM ina hila zaidi ya 200 wamezifungia kabatini wanasubiri muda ufike wazitumie.

Mbowe na wenzie walijaribu kunavigate.
 
14 September 2024
VENUE : UDSM LIBRARY
Dar es Salaam, Tanzania

MJADALA NAFASI ZA WAGOMBEA KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024


PROFESA TIBAIJUKA - HUU NI MJADALA WA WASOMI KUHUSU TAIFA LETU, NA SIYO KWA AJILI YA WAZANAKI

View: https://m.youtube.com/watch?v=aWUM2rPAnoU


Maneno hayo Prof. Tibaijuka amemnukuu Mwalimu Nyerere alipokuwa anasisitiza mijadala ya kisomi inahitaji watu wenye upeo fulani ili kuweza kujadili mambo mazito ya kitaifa na siyo mambo ya Wazanki.

Hivyo chaguzi za kupata viongozi bora ndani ya chama huakisi mfumo bora wa kupata viongozi wa nchi.

Mwanadiplomasia mstaafu na mwanasiasa mkongwe wa Tanzania, Prof. Anna Tibaijuka akizungumza katika Kongamano la maadhimisho ya siku ya Demokrasia Duniani, ambapo kwa Tanzania kongamano hilo liliandaliwa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kwa kushirikiana na shirika la NDI.


Retired diplomat and veteran Tanzanian politician, Prof. Anna Tibaijuka, has warned that election observers often do not get the full picture of what is happening on the ground, citing an example from her time as head of the United Nations in Nairobi during the 2008 election crisis.Tibaijuka made these remarks while delivering a lecture during World Democracy Day celebrations, which in Tanzania took place at the University of Dar es Salaam and were organized by the civil society organization Legal Human Rights Center.


Party dictatorship still exist in the politics of Tanzania and to overcome this can be done by allowing independent candidates to vie for political post .

Prof. Tibaijuka believes by introducing space for independent candidates it will strengthen the whole process of finding ideal candidates and thus as a nation we are going to have capable leaders at levels ...
 
Watu wanadhani kufanya siasa na CCM ni kazi rahisi, kwamba things zinaenda "by the books " . Hawajui kitu hawa! CCM ina hila zaidi ya 200 wamezifungia kabatini wanasubiri muda ufike wazitumie.

Mbowe na wenzie walijaribu kunavigate.
Asante sana. Wewe unajua hali halisi.
 
Maasikini UCD, kwa akili hizi ndogo utahangaika kweli kweli humu JF lakini safari hii mmeumbuliwa na kubaki uchi hivyo nakushauri kama una kahekima kadogo kamebaki chutama!
Kwahiyo hakuzomewa?
 
Back
Top Bottom