Tundu Lissu: Wenje atoe video recording ya mjadala wa tuhuma dhidi yake na wenzake kupokea pesa za Abduli na mama yake

Tundu Lissu: Wenje atoe video recording ya mjadala wa tuhuma dhidi yake na wenzake kupokea pesa za Abduli na mama yake

Naona wanasiasa wetu wanajivua nguo tu

Sisi wananchi tupate funzo tu kuwa hatuna chetu nchi hii ni ya wachache. Wanagawiana wao kwa wao. Walioko madalakani mama Abduli et al, sambamba na wanaowanyima usingizi(wapinzani).

Mwanasiasa akikwambia usiku mwema, kabla ya kumjibu toka nje uangalie kama kweli ni usiku ndipo umjibu asante na wewe pia.
😆😅😅😅,
akikwambia angalia kushoto we geuka kulia uone kuna nini.
 
Ezekia Wenje amekiri mwenyewe kwamba kuna video recording ya mjadala wa tuhuma dhidi yake na wenzake kupokea pesa za Abduli na mama yake. Ni kweli. Walirekodi kikao hicho chote kwa video.

Ili kuondoa ubishi wa suala hili ninawashauri watoe video recording yote ya kikao hicho. Wasikate vipande vipande wala wasihariri chochote. Watoe video nzima ya mjadala huo ili wanachama na Watanzania wajue ni akina nani walituhumiwa kwa kupokea pesa ya Abduli na mama yake, ushahidi niliouwasilisha dhidi yao na wao wenyewe walijiteteaje!!!View attachment 3181258
Tundu sisi hatutaki hiyo video sababu utakuja kusema imehaririwa. Leta ushahidi wewe mwenyewe tutaupima kama ni kweli au uzushi
 
Lissu ameingia mkenge wa Diaspora. Infact hao diaspora walimuuguza sana tundu. Ameingizwa mkenge na yeye kwa kulewa sifa bila kusikia na kujua madhaifu yake akauvaa mkenge kichwa kichwa. Umewahi kuona diaspora hata mmoja akimkemea Msigwa? Msigwa yupo wapi sasa hivi?
 
Ezekia Wenje amekiri mwenyewe kwamba kuna video recording ya mjadala wa tuhuma dhidi yake na wenzake kupokea pesa za Abduli na mama yake. Ni kweli. Walirekodi kikao hicho chote kwa video.

Ili kuondoa ubishi wa suala hili ninawashauri watoe video recording yote ya kikao hicho. Wasikate vipande vipande wala wasihariri chochote. Watoe video nzima ya mjadala huo ili wanachama na Watanzania wajue ni akina nani walituhumiwa kwa kupokea pesa ya Abduli na mama yake, ushahidi niliouwasilisha dhidi yao na wao wenyewe walijiteteaje!!!View attachment 3181258
20241218_051429.jpg
 
Lissu amenyooka kama rula, nyeusi nyeusi...ndio maana ma ccm hayamtaki kwasabb hahongeki kudadek!!!.
Lisu anahongeka, tena sana tu. Nyie msiomjua ndio mnasema hahongeki. Lisu alikatiwa mshiko (alihongwa) na mbowe wakati wa sakata la Lowassa kukodisha chama ili agombelee urais. Mwanzo alikuwa upande wetu wapinga Lowassa, alipokatiwa cha juu akatusaliti mchana kweupe kwa tamaa ya pesa. Tangu wakati huo nilimuondoa kwenye orodha ya viongozi wa kisiasa wenye misimamo imara. Lisu ni tapeli tu kama matapeli wengine wa kisiasa.
 
Ezekia Wenje amekiri mwenyewe kwamba kuna video recording ya mjadala wa tuhuma dhidi yake na wenzake kupokea pesa za Abduli na mama yake. Ni kweli. Walirekodi kikao hicho chote kwa video.

Ili kuondoa ubishi wa suala hili ninawashauri watoe video recording yote ya kikao hicho. Wasikate vipande vipande wala wasihariri chochote. Watoe video nzima ya mjadala huo ili wanachama na Watanzania wajue ni akina nani walituhumiwa kwa kupokea pesa ya Abduli na mama yake, ushahidi niliouwasilisha dhidi yao na wao wenyewe walijiteteaje!!!View attachment 3181258
Haahaa kumekucha, kwa lissu watafika mbali
 
Lissu ameingia mkenge wa Diaspora. Infact hao diaspora walimuuguza sana tundu. Ameingizwa mkenge na yeye kwa kulewa sifa bila kusikia na kujua madhaifu yake akauvaa mkenge kichwa kichwa. Umewahi kuona diaspora hata mmoja akimkemea Msigwa? Msigwa yupo wapi sasa hivi?
Haahaa Kwa lissu mna kazi mkuu, watu wamejua ukweli lissu ukweli na uwazi wake umemtengenezea maadui ccm na hata chadema, watakaomuokoa lissu ni wanachama wa kawaida na wapenda haki
 
Lissu ana madhaifu mengi ila sio mla rushwa

Msimuonee lissu ajihis mpweke huwa namhurumia Sana huyo father kwa kweli
 
Lissu amenyooka kama rula, nyeusi nyeusi...ndio maana ma ccm hayamtaki kwasabb hahongeki kudadek!!!.
Kwa hakika.
Hiyo ndiyo sifa kubwa ya Lisu inayomtofautisha na Watanzania wengi, ambao wamezoea kupindisha mambo.

Sasa CHADEMA impe uongozi Lisu ili chama hiki kiwe tofauti kabisa na mambo ya CCM, mambo ya rushwa na kupindisha mambo. Kama CHADEMA ikiyaiga mambo ya CCM, basi watu hawana sababu ya kuiona CHADEMA ni mbadala wa CCM.
 
Kiongozi wa ngazi ya kitaifa anatumia muda mwingi kusutana na watu wa chini take. That's too low!
Too low for the low the brains.

Katika uongozi uliotukuka hakuna cha kiongozi mkubwa wala mdogo, kinachoangaliwa ni haki, ambayo msingi wake mkubwa ni ukweli.
 
Utetezi wake hauwezi kushawishi watu.

Wenje anapinga madai ya kuhongwa kwa hoja nyepesi kuwa mbona anaendelea kuisema negative administration ya Samia.

This is weak argument
Hoja ya kijinga kabisa hiyo
 
Ezekia Wenje amekiri mwenyewe kwamba kuna video recording ya mjadala wa tuhuma dhidi yake na wenzake kupokea pesa za Abduli na mama yake. Ni kweli. Walirekodi kikao hicho chote kwa video.

Ili kuondoa ubishi wa suala hili ninawashauri watoe video recording yote ya kikao hicho. Wasikate vipande vipande wala wasihariri chochote. Watoe video nzima ya mjadala huo ili wanachama na Watanzania wajue ni akina nani walituhumiwa kwa kupokea pesa ya Abduli na mama yake, ushahidi niliouwasilisha dhidi yao na wao wenyewe walijiteteaje!!!View attachment 3181258
Majadiliano ya ndani ya kamati kuu hayawezi kutolewa hadharani hiyo ni kukibomoa chama hata kana Lissu ataonekana muongo.

Lissu ajibu tuhuma zilizotolewa na Wenje katika mahojiano ya Wenje na waandishi. Je Lissu anadaiwa na Wenje? Je Lissu alimtumia Abdul email ya madai yake. Lissu alisaidiwa logistics za matibabu Nairibi na Wenje. je ni kweli kikao cha Masaki kiliahirishwa sababu ya Lissu kuumwa tumbo na siyo kuwa alikikwepa kama alivyodanganya mwanzo?
 
Back
Top Bottom