Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Tuwekee hapa hiyo sherialissu anatafuta sqbabu ya kushindwa
kisheria polisi wanaweza kukuita hata kwa simu,maelezo utayakuta polisi,na utapewa haki ya kusikilizwa ukiwa na mwanasheria wako au mtu yoyote
Kabudi naye aliongea nao, Je nayeye ni pandikizi ?!Huoni alichoandika ,? Anaeñda kuonana na. Mabalozi wa nje baada ya kuitwa akaripoti polisi
Lisu pandikizi la nje hilo
Njozi nyingine ni ushuhuda wa jinsi waTZ walivyoharibiwa na utawala wa ukandamizaji. Wanaogopa hata haki zao. Mwaka wa ukomboziAnajua kabisa ameshashindwa.
Mwongo eti anaenda kukutana na mabalozi wakati anaenda kuhojiwa na tume ya maadiliThis is a true lawyer not feki akina Sirro na Msajili.
Sawa afandelissu anatafuta sqbabu ya kushindwa
kisheria polisi wanaweza kukuita hata kwa simu,maelezo utayakuta polisi,na utapewa haki ya kusikilizwa ukiwa na mwanasheria wako au mtu yoyote
Hoja zimaliki?Huyu pandikizi wa mabeberu mwacheni apige kelele akichoka basi
Poleni sana Mkuu, CCM mpya maji ya shingo.Mwongo eti anaenda kukutana na mabalozi wakati anaenda kuhojiwa na tume ya maadili
Iyo ni sheria yenu huko lumumba mnapojazana upotololissu anatafuta sqbabu ya kushindwa
kisheria polisi wanaweza kukuita hata kwa simu,maelezo utayakuta polisi,na utapewa haki ya kusikilizwa ukiwa na mwanasheria wako au mtu yoyote
Hapa ndio patamu napopatakaBasi utakamatwa kwa kukataa kutii sheria bila shuruti!
Huoni alichoandika ,? Anaeñda kuonana na. Mabalozi wa nje baada ya kuitwa akaripoti polisi
Lisu pandikizi la nje hilo
Hakuna kitu hapo hana cha kukutana na mabalozi wala nini muongo anaenda kuhojiwa tume ya maadiliInawezekana lengo ni kumzuia kukutana na mabalozi.