Interested Observer
JF-Expert Member
- Mar 27, 2006
- 3,384
- 4,428
EgomaniacalBasi utakamatwa kwa kukataa kutii sheria bila shuruti!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
EgomaniacalBasi utakamatwa kwa kukataa kutii sheria bila shuruti!
Tatizo hamuwezi kuvumilia risasi kama alizovumilia yeye.Aisee kama sote tungekuwa kama Lissu, Nchi hii ingekuwa mbali sana
Ok, wanaweza kukuita hata kwa simu. Vipi kutoambiwa kosa lake? Kisheria wapo sawa hao polisi? Na kwanini barua ipelekwe kwa mwenyekiti wa Chama wakati aliyeitwa ni Lisu?Lissu anatafuta sababu ya kushindwa, kisheria polisi wanaweza kukuita hata kwa simu, maelezo utayakuta polisi na utapewa haki ya kusikilizwa ukiwa na mwanasheria wako au mtu yoyote.
Tundu Lissu katika Ukurasa wake wa Twitter, ameweka Barua ya Polisi na kuandika Maneno haya "Wito wa polisi sio barua ya kirafiki, ni amri ya kisheria. Wito huo unatakiwa kueleza kosa la mtuhumiwa. Barua hii haielezi kosa ninaloitiwa na imepelekwa kwa Mwenyekiti wa chama. Huu sio wito wa polisi kwa mujibu wa sheria. Nitaendelea na ratiba yangu ya kikao na mabalozi kesho."
Soma pia: IGP Sirro amtaka Tundu Lissu kuripoti kituo cha polisi Moshi mkoani Kilimanjaro
Then 2023, July , 24 KINGAI anarudia kumwandia Professor ADVOCATE , mheshimuwa Barua ? ha ha ha.Tundu Lissu katika Ukurasa wake wa Twitter, ameweka Barua ya Polisi na kuandika Maneno haya "Wito wa polisi sio barua ya kirafiki, ni amri ya kisheria. Wito huo unatakiwa kueleza kosa la mtuhumiwa. Barua hii haielezi kosa ninaloitiwa na imepelekwa kwa Mwenyekiti wa chama. Huu sio wito wa polisi kwa mujibu wa sheria. Nitaendelea na ratiba yangu ya kikao na mabalozi kesho."
Soma pia: IGP Sirro amtaka Tundu Lissu kuripoti kituo cha polisi Moshi mkoani Kilimanjaro
Upo kwenye kifungu gani cha sheria?Lissu anatafuta sababu ya kushindwa, kisheria polisi wanaweza kukuita hata kwa simu, maelezo utayakuta polisi na utapewa haki ya kusikilizwa ukiwa na mwanasheria wako au mtu yoyote.
Ameshindwa kitu gani?Anajua kabisa ameshashindwa.
Sheria ipi hakutii wakati yeye Lisu ndiye anayewataka polisi wafuate sheria?Basi utakamatwa kwa kukataa kutii sheria bila shuruti!
Kila kitu.Ameshindwa kitu gani?...
Sheria gani na kifungu gani?Lissu anatafuta sababu ya kushindwa, kisheria polisi wanaweza kukuita hata kwa simu, maelezo utayakuta polisi na utapewa haki ya kusikilizwa ukiwa na mwanasheria wako au mtu yoyote.