Mchengerwa afumbia macho wahuni wakurugenzi walioteka nyara mchakato wa uchaguzi wa serikali ya mitaa 2024 walioamua kuwaengua wagombea
08 November 2024
View: https://m.youtube.com/watch?v=yBMTHBdD0T0
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa amewataka wanaodai kuenguliwa katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa kuacha kulalamika pembeni badala yake watumie siku mbili zilizowekwa kikanuni kuwasilisha malalamiko yao.
Mbali na hilo, Mchengerwa amewataka wasimamizi wasaidizi katika maeneo yote kuhakikisha wanatenda haki na kuzingatia misingi ya 4R kama ambavyo kanuni, taratibu zilivyotoa miongozo ya nini cha kufanya.
Akizungumza na waandishi wa habari Dodoma leo Novemba 8, 2024 amesema zipo siku mbili za kupokea changamoto na malalamiko mbalimbali, kupitia taratibu ambazo wagombea wanatakiwa kuzifuata
08 November 2024
Mchengerwa: Mgombea asiyeridhika na uteuzi akate rufaa
View: https://m.youtube.com/watch?v=yBMTHBdD0T0
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa amewataka wanaodai kuenguliwa katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa kuacha kulalamika pembeni badala yake watumie siku mbili zilizowekwa kikanuni kuwasilisha malalamiko yao.
Mbali na hilo, Mchengerwa amewataka wasimamizi wasaidizi katika maeneo yote kuhakikisha wanatenda haki na kuzingatia misingi ya 4R kama ambavyo kanuni, taratibu zilivyotoa miongozo ya nini cha kufanya.
Akizungumza na waandishi wa habari Dodoma leo Novemba 8, 2024 amesema zipo siku mbili za kupokea changamoto na malalamiko mbalimbali, kupitia taratibu ambazo wagombea wanatakiwa kuzifuata