Tundu Lissu yupo Kenya kwa uzinduzi wa kitabu chake

Tundu Lissu yupo Kenya kwa uzinduzi wa kitabu chake

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Tundu Antipas Lissu ametua nchini Kenya kwa ajili ya uzinduzi wa kitabu chake, je atakuja nchini?

#Tanzania opposition politician Tundu Lissu, who has been exiled in Belgium after fleeing the country in 2020, has arrived in Kenya ahead of his book launch on Friday.

Mr Lissu will be launching his book titled “Remaining in the Shadows: Parliament and Accountability in East Africa”.

0B346EB0-B879-4003-9524-4B4B5BD97310.jpeg
 
Msisahau kwamba akina Tundu Lisu walizushiwa makesi ya makosa ya kutisha mara baada ya uchaguzi. Aliyewazushia hayo makesi hayupo lakini uzushi wenyewe bado upo, haujafutwa. Wataweza kukamatwa wakirudi. Kama viongozi wanapenda Lisu na Lema warudi basi ni kiasi cha kuwafutia madai ya makesi tu. Ni makesi ya kisiasa, yaliyolenga kuwafunga maisha.

Kama Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hasan anataka kujenga tena umoja basi aanze kwa kuwafutia viongozi wa upinzani hizo shutuma za kisiasa zilizoanzishwa chini ya uongozi uliopita. Maana polisi bado wana amri ya kuwakamata.
 
Back
Top Bottom