Augustine Moshi
JF-Expert Member
- Apr 22, 2006
- 2,556
- 1,385
Kuna charges nyingine zilianzishwa za usaliti mara baada ya uchaguzi. Polisi wan amri ya kuwakamata.Hizo kesi zilikuwepo hata kabla ya uchaguzi wa 2020.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna charges nyingine zilianzishwa za usaliti mara baada ya uchaguzi. Polisi wan amri ya kuwakamata.Hizo kesi zilikuwepo hata kabla ya uchaguzi wa 2020.
Sisi na akenya ni ndugu. Hata wanyama wanapata mimba kenya wanazalia tanzania.Asilimia 80% ya damu yake wakati wa matibabu yake ni yawakenya
We acha tu. Yule ibilisi Jiwe alichotaka kumfanyia. Mungu tu ndie anampenda Lissu. Cha ajabu eti leo Jiwe hayupo tena.Maisha ni kitendawili sana, leo hii mtu kama Lissu amekuwa mkimbizi wa kisiasa...😬
Usaliti au uchochezi.Kuna charges nyingine zilianzishwa za usaliti mara baada ya uchaguzi. Polisi wan amri y kuwakamata.
Kinachotia faraja ni kifo cha mchattleANakajima kufa huyo ndiyo maana anazindua kitabu
Hii habari ya uraia wa Kenya umeipata wapi mbona hata rais Samia juzi alikuwa huko naye amekuwa mkenya.Namchukia kwa sababu ameamua kuwa raia wa Kenya na aendelee na Ukenya wake. Kwa msingi huu yumkini akawa na kesi za kujibu akiingia Tanzania
Nuksi ya mwendazake, anaweza kuja wakampiga risasi wakamchafulia mama samia.Mtaomgea sana. Nuksi. Ipi mkuu. Corona au Reli. Mna maneno mengi ya kujitungia tu. Mama tunaenda naye. Lakini there is Never 10 bila 01.
Mijitu ya magufuli ni kina nani?Ee ndio kama Manji. Mijitu ya magufuli bado imejazana kwenye system
Kwamba "Who has been exiled after fleeing the country." Au siyo?Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Tundu Antipas Lissu ametua nchini Kenya kwa ajili ya uzinduzi wa kitabu chake, je atakuja nchini?
#Tanzania opposition politician Tundu Lissu, who has been exiled in Belgium after fleeing the country in 2020, has arrived in Kenya ahead of his book launch on Friday.
Mr Lissu will be launching his book titled “Remaining in the Shadows: Parliament and Accountability in East Africa”.
IHizo kesi zilikuwepo hata kabla ya uchaguzi wa 2020.
Mbona unajistukia labda kina Kabudi na Bashite.Mijitu ya magufuli ni kina nani?
Hata wakati wa mwendazake walisema akitua JKNIA watamdaka.Ana kesi kibao akija watamdandia
I
Lissu hakuchagua kuwa Mkimbizi ila ni kwasababu ya Ibilisi.Maisha ni kitendawili sana, leo hii mtu kama Lissu amekuwa mkimbizi wa kisiasa...😬