Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakenya hawajawahi kuwa wazuri kwa TZ sana sana wanufaike wao. Kwa hio ameamua kuwa Mkenya wa hiari na anajipendekeza na kujitolea kwa wakenyaHii habari ya uraia wa Kenya umeipata wapi mbona hata rais Samia juzi alikuwa huko naye amekuwa mkenya.
😅😅mtachukia sana. Mtakufa mtamwacha Mtu wa Mungu. mtateseka sana
Wakenya hawajawahi kuwa wazuri kwa TZ sana sana wanufaike wao. Kwa hio ameamua kuwa Mkenya wa hiari na anajipendekeza na kujitolea kwa wakenya. Karopoka sana kuisema nchi kipoyoyo.Hii habari ya uraia wa Kenya umeipata wapi mbona hata rais Samia juzi alikuwa huko naye amekuwa mkenya.
Kwanini asije nchini?? atakuja,yule mwenye chuki ayupo kwasasa,Nchi inaongozwa na Rais mwenye hofu ya Mungu, na Mtanzania halisi sio pandikiziMakamu Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Tundu Antipas Lissu ametua nchini Kenya kwa ajili ya uzinduzi wa kitabu chake, je atakuja nchini?
#Tanzania opposition politician Tundu Lissu, who has been exiled in Belgium after fleeing the country in 2020, has arrived in Kenya ahead of his book launch on Friday.
Mr Lissu will be launching his book titled “Remaining in the Shadows: Parliament and Accountability in East Africa”.
View attachment 1828258
Tunachotakiwa ni kufanya kazi tuwazidi ki maendeleo sio kusema wakenya sio wazuri kwetu kwa mafanikio yao.Wakenya hawajawahi kuwa wazuri kwa TZ sana sana wanufaike wao. Kwa hio ameamua kuwa Mkenya wa hiari na anajipendekeza na kujitolea kwa wakenya
Sasa si asafishe wote? Anangojea nini sasa?Bado hawajakata tamaa safari ya mama kusafisha uchafu wa mwendazake inaendelea.
Kumchinja kobe kunahitaji timing, kaanza na Sabaya.Sasa si asafishe wote? Anangojea nini sasa?
Tena ikiwezekana aawakamate hata huo ubunge awanyanganye awafunge jela
Ili washenzi wengine wajitafakari. Wasipobadilika anakula kichwa.Sasa si asafishe wote? Anangojea nini sasa?
Tena ikiwezekana aawakamate hata huo ubunge awanyanganye awafunge jela
Hilo ndio tunaloomba Nchi yetu izidi kuwa na utengamano zaidiKwanini asije nchini?? atakuja,yule mwenye chuki ayupo kwasasa,Nchi inaongozwa na Rais mwenye hofu ya Mungu, na Mtanzania halisi sio pandikizi
zimeshawakuta nikutajie list?Aliyesababisha Tundu Lissu awe mkimbizi laana zimkukute popote alipo,na kila aliyejaribu kumuua basi alaaniwe zaidi maana alishapata laana tayari.
Mwambieni ale tu,!Ili washenzi wengine wajitafakari. Wasipobadilika anakula kichwa.
wivu tu unawasumbua. Tunafanya nao kazi hapa KCB ni watu poa sana.Wakenya kwa tunaowajua ni mende tu na mtu anaejipendekeza kwao kwa historia ya TZ tunawaita Mbwa na Traitors, fanya kosa lolote lakini sio kuhusu Kenya
Pamoja na hayo sera za Samia kwa sasa hazitakuwa nufaishi kwa Tz, she has to nurture private sector ya ndani with seriousness na kwa uzalendo na moyo na asiwe overwhelmed emotionally verbally hasa kwa wajanja wa mdomoni kama Wakenya. NB: Kamwe wakenya hawajawahi kuwa marafiki na never and neverTunachotakiwa ni kufanya kazi tuwazidi ki maendeleo sio kusema wakenya sio wazuri kwetu kwa mafanikio yao.
Take a breath, haya mambo hayahitaji hasira.Mwambieni ale tu,!
Kwani si anataka kuwa na selikali safi? Na mnasema hao ndio wanamuharibia? Sasa badala ya kuawaacha waendelee kumuharibia ale vichwa vyao mapema,, mwambie asiogope.
Hio superficial na uzuri wakenya wanaandaliwa kudeal na watz, theu learn how to work and live in Tz.wivu tu unawasumbua. Tunafanya nao kazi hapa KCB ni watu poa sana.
ElitwegeMakamu Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Tundu Antipas Lissu ametua nchini Kenya kwa ajili ya uzinduzi wa kitabu chake, je atakuja nchini?
#Tanzania opposition politician Tundu Lissu, who has been exiled in Belgium after fleeing the country in 2020, has arrived in Kenya ahead of his book launch on Friday.
Mr Lissu will be launching his book titled “Remaining in the Shadows: Parliament and Accountability in East Africa”.
View attachment 1828258
Ndio anakujkujakuja hivyo usishangae lema nae akaja ki style yake nae
Mkuu kila nchi huwa inaangalia maslahi yake usitegemee Kenya iipende Tanzania and vice versa.Pamoja na hayo sera za Samia kwa sasa hazitakuwa nufaishi kwa Tz, she has to nurture private sector ya ndani with seriousness na kwa uzalendo na moyo na asiwe overwhelmed emotionally verbally hasa kwa wajanja wa mdomoni kama Wakenya. NB: Kamwe wakenya hawajawahi kuwa marafiki na never and never
Anazindua Kitabu!!!! Na yeye Israel ameshamkaribia?Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Tundu Antipas Lissu ametua nchini Kenya kwa ajili ya uzinduzi wa kitabu chake, je atakuja nchini?
#Tanzania opposition politician Tundu Lissu, who has been exiled in Belgium after fleeing the country in 2020, has arrived in Kenya ahead of his book launch on Friday.
Mr Lissu will be launching his book titled “Remaining in the Shadows: Parliament and Accountability in East Africa”.
View attachment 1828258