Tundu Lissu yupo Kenya kwa uzinduzi wa kitabu chake

Tundu Lissu yupo Kenya kwa uzinduzi wa kitabu chake

ivi kingereza cha hiko kitini kitakua kama kile alipokua anahojiwa na Shaka Ssali?
 
Na alivyo bingwa wa mikakati DW idhaa yakiswahili,BBC ,V.O.A wikimbilizote watakua wanaangaza habari za Lisu na kitabu chake
 
Vipi ile pesa ya michango ya matibabu yake? Hakuna hata mahesabu ili tujue chenji ilikuwaje?
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Tundu Antipas Lissu ametua nchini Kenya kwa ajili ya uzinduzi wa kitabu chake, je atakuja nchini?

#Tanzania opposition politician Tundu Lissu, who has been exiled in Belgium after fleeing the country in 2020, has arrived in Kenya ahead of his book launch on Friday.

Mr Lissu will be launching his book titled “Remaining in the Shadows: Parliament and Accountability in East Africa”.

View attachment 1828258

yaaani akija ni chap akamatwe
 
Lissu hakuchagua kuwa Mkimbizi ila ni kwasababu ya Ibilisi.
arudi sasa kama amehakikishiwa usalama ambao aliupata kipindi cha kampeni[emoji16][emoji16].

uzuri wa siasa unakuwa na wafuasi wako watiifu wanaokutii hata uwaombe nini.hawawezi hata kufikiri tena.
 
arudi sasa kama amehakikishiwa usalama ambao aliupata kipindi cha kampeni[emoji16][emoji16].

uzuri wa siasa unakuwa na wafuasi wako watiifu wanaokutii hata uwaombe nini.hawawezi hata kufikiri tena.
Hata aliyeondoka alikuwa hivyo alikuwa na wafuasi wake kina palamagamba ilikuwa huwaambii kitu mbele yake.
 
Back
Top Bottom