Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,215
- 3,076
ivi kingereza cha hiko kitini kitakua kama kile alipokua anahojiwa na Shaka Ssali?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ISRAEL ? zilaili ?!... ameshamchukua MEKO inatoshaAnazindua Kitabu!!!! Na yeye Israel ameshamkaribia?
Unajisikiaje kuandika uharo kama huu?ANakajima kufa huyo ndiyo maana anazindua kitabu
ANakajima kufa huyo ndiyo maana anazindua kitabu
Hana sababu ya kugeuza, avuke mpaka aingie Tz aje kwa ajili ya kongamano la Katiba Mpya tarehe 1 July.
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Tundu Antipas Lissu ametua nchini Kenya kwa ajili ya uzinduzi wa kitabu chake, je atakuja nchini?
#Tanzania opposition politician Tundu Lissu, who has been exiled in Belgium after fleeing the country in 2020, has arrived in Kenya ahead of his book launch on Friday.
Mr Lissu will be launching his book titled “Remaining in the Shadows: Parliament and Accountability in East Africa”.
View attachment 1828258
arudi sasa kama amehakikishiwa usalama ambao aliupata kipindi cha kampeni[emoji16][emoji16].Lissu hakuchagua kuwa Mkimbizi ila ni kwasababu ya Ibilisi.
Mama ni tofauti siasa za mwendazake kaondoka nazo.yaaani akija ni chap akamatwe
Hata aliyeondoka alikuwa hivyo alikuwa na wafuasi wake kina palamagamba ilikuwa huwaambii kitu mbele yake.arudi sasa kama amehakikishiwa usalama ambao aliupata kipindi cha kampeni[emoji16][emoji16].
uzuri wa siasa unakuwa na wafuasi wako watiifu wanaokutii hata uwaombe nini.hawawezi hata kufikiri tena.
akina palamagamba bado wapo.Hata aliyeondoka alikuwa hivyo alikuwa na wafuasi wake kina palamagamba walikuwa hawaambiwi kitu mbele yake.
Mara ya mwisho kumsikia ilikuwa lini.akina palamagamba bado wapo.
Kwa hali ilivyokuwa ilibidi tuwe na rais aina ya magufuli, na bado tunahitaji rais km yy, i thnk majaliwa is neededMwendazake aliiharibu sana nchi kwa kipindi kifupi.
Mama ni tofauti siasa za mwendazake kaondoka nazo.
kumsikia akifanyaje!!Mara ya mwisho kumsikia ilikuwa lini.