Tundu Lissu yupo Kenya kwa uzinduzi wa kitabu chake

Tundu Lissu yupo Kenya kwa uzinduzi wa kitabu chake

arudi sasa kama amehakikishiwa usalama ambao aliupata kipindi cha kampeni[emoji16][emoji16].

uzuri wa siasa unakuwa na wafuasi wako watiifu wanaokutii hata uwaombe nini.hawawezi hata kufikiri tena.
Sasa hivi kama amehakikishiwa Usalama wake arudishiwe na stahiki zake alizodhulumumiwa
 
Ili uchumi wetu uendelee kudidimia?
Ili upae zaid, weng wanaomfurahia mama ni mafisadi, vyet fek plus madawa at work. So tuombe majaliwa aukwae urais ili nchi ipate maendeleo ya haraka
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Tundu Antipas Lissu ametua nchini Kenya kwa ajili ya uzinduzi wa kitabu chake, je atakuja nchini?

#Tanzania opposition politician Tundu Lissu, who has been exiled in Belgium after fleeing the country in 2020, has arrived in Kenya ahead of his book launch on Friday.

Mr Lissu will be launching his book titled “Remaining in the Shadows: Parliament and Accountability in East Africa”.

View attachment 1828258
Nilidhani kitabu cha sayansi fulani, kumbe ngwini fulani vile! Hope ametumia english nzuri maana ile anayoandikanga kwenye magazeti na anayotumia ktk mahojiano ni balaa kwa wasomaji na wasikilizaji.

Natamani sana kuendeleza sayansi, vipi anaweza kutuandikia kitabu cha maana au ni hayo hayo ya kutumia maneno kama 'pumbavu' dikteta uchwara' n.k.
 
Hawezi kurudi . Ridhikeni Maghufuli alishakufa na wazima wataendelea na maisha . Na waTz hawawezi kurudia u dictator. Ni aina fulani ya upumbavu

1624526935997.png
 
Nilidhani kitabu cha sayansi fulani, kumbe ngwini fulani vile! Hope ametumia english nzuri maana ile anayoandikanga kwenye magazeti na anayotumia ktk mahojiano ni balaa kwa wasomaji na wasikilizaji.

Natamani sana kuendeleza sayansi, vipi anaweza kutuandikia kitabu cha maana au ni hayo hayo ya kutumia maneno kama 'pumbavu' dikteta uchwara' n.k.
Wewe umeandika vitabu vingapi au unasubiri Lissu akuandikie kila kitu.
 
Back
Top Bottom