Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Ili uchumi wetu uendelee kudidimia?Kwa hali ilivyokuwa ilibidi tuwe na rais aina ya magufuli, na bado tunahitaji rais km yy, i thnk majaliwa is needed
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili uchumi wetu uendelee kudidimia?Kwa hali ilivyokuwa ilibidi tuwe na rais aina ya magufuli, na bado tunahitaji rais km yy, i thnk majaliwa is needed
Sasa hivi kama amehakikishiwa Usalama wake arudishiwe na stahiki zake alizodhulumumiwaarudi sasa kama amehakikishiwa usalama ambao aliupata kipindi cha kampeni[emoji16][emoji16].
uzuri wa siasa unakuwa na wafuasi wako watiifu wanaokutii hata uwaombe nini.hawawezi hata kufikiri tena.
kahakikishiwa na nani!!!Sasa hivi kama amehakikishiwa Usalama wake arudishiwe na stahiki zake alizodhulumumiwa
You must be really primitive.Wakenya kwa tunaowajua ni mende tu na mtu anaejipendekeza kwao kwa historia ya TZ tunawaita Mbwa na Traitors, fanya kosa lolote lakini sio kuhusu Kenya
Ili upae zaid, weng wanaomfurahia mama ni mafisadi, vyet fek plus madawa at work. So tuombe majaliwa aukwae urais ili nchi ipate maendeleo ya harakaIli uchumi wetu uendelee kudidimia?
Anaweza kurudi kwani yule Muuaji keshakufakahakikishiwa na nani!!!
yeye kama anarudi arudi tu maana hata uchaguzi alirudi.
Aliyeshupalia ukamataji yupo Chato mapumzikoniyaaani akija ni chap akamatwe
Aliyeshupalia ukamataji yupo Chato mapumzikoni
Hawezi kurudi . Ridhikeni Maghufuli alishakufa na wazima wataendelea na maisha . Na waTz hawawezi kurudia u dictator. Ni aina fulani ya upumbavuwasiwasi wako nn? acha arudi show ifanyike
2020 oct alirudi,mwendazake akiwepo.Anaweza kurudi kwani ye Muuaji keshakufa
Akiwataja mabeberu.kumsikia akifanyaje!!
kwani yuko mambo ya nje bado!!Akiwataja mabeberu.
Si alikuwa akimtumia vitisho vya kumuua ikabidi Lissu arudi Ulaya2020 oct alirudi,mwendazake akiwepo.
uchawi haulipi mkuu.Si alikuwa akimtumia vitisho vya kumuua ikabidi Lissu arudi Ulaya
Nilidhani kitabu cha sayansi fulani, kumbe ngwini fulani vile! Hope ametumia english nzuri maana ile anayoandikanga kwenye magazeti na anayotumia ktk mahojiano ni balaa kwa wasomaji na wasikilizaji.Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Tundu Antipas Lissu ametua nchini Kenya kwa ajili ya uzinduzi wa kitabu chake, je atakuja nchini?
#Tanzania opposition politician Tundu Lissu, who has been exiled in Belgium after fleeing the country in 2020, has arrived in Kenya ahead of his book launch on Friday.
Mr Lissu will be launching his book titled “Remaining in the Shadows: Parliament and Accountability in East Africa”.
View attachment 1828258
Bado huamini?uchawi haulipi mkuu.
Hawezi kurudi . Ridhikeni Maghufuli alishakufa na wazima wataendelea na maisha . Na waTz hawawezi kurudia u dictator. Ni aina fulani ya upumbavu
Wewe umeandika vitabu vingapi au unasubiri Lissu akuandikie kila kitu.Nilidhani kitabu cha sayansi fulani, kumbe ngwini fulani vile! Hope ametumia english nzuri maana ile anayoandikanga kwenye magazeti na anayotumia ktk mahojiano ni balaa kwa wasomaji na wasikilizaji.
Natamani sana kuendeleza sayansi, vipi anaweza kutuandikia kitabu cha maana au ni hayo hayo ya kutumia maneno kama 'pumbavu' dikteta uchwara' n.k.