Tundu Lissu yupo Kenya kwa uzinduzi wa kitabu chake

Tundu Lissu yupo Kenya kwa uzinduzi wa kitabu chake

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Tundu Antipas Lissu ametua nchini Kenya kwa ajili ya uzinduzi wa kitabu chake, je atakuja nchini?

#Tanzania opposition politician Tundu Lissu, who has been exiled in Belgium after fleeing the country in 2020, has arrived in Kenya ahead of his book launch on Friday.

Mr Lissu will be launching his book titled “Remaining in the Shadows: Parliament and Accountability in East Africa”.


Wale watu wasiojulikana waliompiga risasi kule Dodoma mpaka wajulikane na wakamatwe ndiyo anaweza kuja nyumbani vinginevyo hakuna sababu ya kuja maana uwezekano ni mkubwa wakumiongezea risasi zingine.
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Tundu Antipas Lissu ametua nchini Kenya kwa ajili ya uzinduzi wa kitabu chake, je atakuja nchini?

#Tanzania opposition politician Tundu Lissu, who has been exiled in Belgium after fleeing the country in 2020, has arrived in Kenya ahead of his book launch on Friday.

Mr Lissu will be launching his book titled “Remaining in the Shadows: Parliament and Accountability in East Africa”.

Ndio anakuja kuja hivyo usishangae lema nae akaja ki style yake nae
 
Ndio mijitu ya Magufuli hiyo?

Sasa si huwa nnasema mama kaikomesha kwa kuitoa kwenye system Na sasa tuko vizuri sana?
Kwenye list ongeza na Polepole, siku hizi unawasikia kama enzi za mwendazake?
 
Kwenye list ongeza na Polepole, siku hizi unawasikia kama enzi za mwendazake?
Sasa kama hawasikiki hao mijitu wa magu kwenye selikali ya mama wanatoka wapi?

Sasa hivi tuko vizuri! Kila kitu kiko kwenye mstari! Mi 10 tena kwa mama
 
Sasa kama hawasikiki hao mijitu wa magu kwenye selikali ya mama wanatoka wapi?

Sasa hivi tuko vizuri! Kila kitu kiko kwenye mstari! Mi 10 tena kwa mama
Unafikiri kukaa kwao kimya ni kwa kupenda.

811DFA35-2FAE-4324-93EF-EE8F551E6AD9.jpeg
 
Sasa kwanini mnasema selikali ya mama inaangushwa na watu wa magu na huku mnasema wamekomeshwa?
Bado hawajakata tamaa safari ya mama kusafisha uchafu wa mwendazake inaendelea.
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Tundu Antipas Lissu ametua nchini Kenya kwa ajili ya uzinduzi wa kitabu chake, je atakuja nchini?

#Tanzania opposition politician Tundu Lissu, who has been exiled in Belgium after fleeing the country in 2020, has arrived in Kenya ahead of his book launch on Friday.

Mr Lissu will be launching his book titled “Remaining in the Shadows: Parliament and Accountability in East Africa”.

View attachment 1828258
Kwenye nchi zenye wivu wa maendeleo watu kama hawa huendelezwa, hutunzwa na hulindwa na na serikali ili nchi ifaidi vipaji vyao, ila sisi tunawapiga risasi. Shame on us!
 
Lissu njoo home brother; jambazi kasha i evacuated nchi. Mama yupo peace ✌ hiyo mikesi kesi ya kijinga ya kisiasa ataifuta
 
Back
Top Bottom