Tundu Lissu yupo sahihi, tunapinga umungu mtu ndani ya vyama vyetu sio CHADEMA tu bali hata CCM

Tundu Lissu yupo sahihi, tunapinga umungu mtu ndani ya vyama vyetu sio CHADEMA tu bali hata CCM

kwahivyo Lisu ni sauti ya mtu aliae nyikani, kwahivyo wanachadema wanyooshe mapito yake, right?🐒

yupo Ezekia Wenje pia, nae ni sauti ya mtu aliae nyikani, nae anyooshewe mapito yake apiti, right?🐒

lakini,
ni uoga, hofu, kutokua na uewezo au kukosa ujasiri, kwamba kiongozi muandamizi wa chama, tena mwanasheria mbobevu, badala ya kuchukua hatua analalamika au kubweka bweka kwa wananchi anao amini ndio watakao muokoa huku kaufyata mkia, ooh sijui mahali Fulani kwenye chama rushwa imekithiri, ooh ikiendelea nitaondoka 🤣

anamthibitishia nani sasa na hana ujasiri wala uewezo wa kuchukua hatua bali kubweka bweka tu?
kiongozi gani muoga hivi ndugu zango...

that is early alert and indicator for you that, forget about being chadema presidential candidate come 2025 general elections and party vice chairman on the coming party elections 🐒
Mwabukusi for president of URT


JESUS IS LORD&SAVIOR
 
TUNDU LISU YUPO SAHIHI, TUNAPINGA UMUNGU MTU NDÀNI YA VYAMA VYETU SIÔ CHADEMA TUU BALI HATA CCM.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Watu aina ya LISSU wàpo vyama vyote sio CHADEMA tuu, wàpo Mpaka CCM na vyama vingine vidogo.

Ndàni ya nchi yetu kûna tatizo la umungu Mtu, umungu taasisi, Jambo ambalo ni baya Kwa Taífa.

Sisi Watibeli tunatumia Kanuni isemayo, usitumie Mawe mawili kupimia. Kwa sababu hiyo siô HAKI

Siô Kwa sababu wewe NI CHADEMA unayepinga ufisadi au Rushwa au Jambo lolote ovu Kwa Wengine lakini CHADEMA wakifanya hivyo ati ukae kimya Kisa NI wenzako au ndugu zako wamefanya hayo. Huo NI ushetani. Hiyo siô HAKI.

Kipimo unachotumia kuwapimia Wengine kwèñye maovu tumia kipimo hichohicho kujipimia wewe mwenyewe Siku ukifanya Kosa hilohilo.

Unafiki ni Sifa ya Walaghai, waongo, matapeli na Mashetani.

Lisu yupo Sahihi Kabisa, na Sisi Watibeli tunamuunga Mkono. Watu wa Haki na kweli waliopo CCM, CHADEMA, ACT na vyama vingine wote tunamuunga Mkono.

Sisi siô wale ambao tunaacha kutenda Haki au kusema Ukweli Kwa sababu ya kumnyenyekea Mtu Fulani Kisa atupe cheo au wadhfa fulani.

Íwe ni Mzazi, íwe ni Mtoto, íwe ni Mimi, íwe ni Mfalme, íwe NI Rais, íwe ni Kiongozi wa Dini, íwe NI mtu yeyote Yule lazima aambiwe ukweli kama anakosea, lazima Haki itendeke.

Kitendo cha kushindwa kusema kweli na kutenda Haki kisa Fulani ni Mzazi wako, au NI ndugu yako, au NI wewe au Mimi, au NI Kiongozi wako WA kidini au wakisiasa au Kiongozi yeyote NI dalili ya Kuwa wewe hufai Kuongoza Wengine, wewe sio muadilifu.

Imekuwa desturi ndàni ya nchi yetu na nafikiri nchi nyingi Duniani.
Unakuta Mwanaccm anauwezo WA kuongea ukweli wa Mabaya ya Watu Wengine yani maovu ya vyama vingine lakini maovu ya Chama chake hawezi. Huo ni UNAFIKI na siô uadilifu hata kidôgo.

Hivyohivyo Kwa CHADEMA waô Kwao NI Sawa wakitamka Rushwa za Wengine, lakini akitokea Mtu ndàni ya Chama Chao akitamka uozo wa Chama chake anaonekana Mbaya. Hii ni nini ndugu zanguni.

Kama Taífa tunahitaji matengenezo Makubwa Sana ya Mtu mmojammoja, matengenezo ya kifamilia, matengenezo ya taasisi za Umma na Taífa Kwa ujumla.

Kunyamazia uovu wa Baba au Mama yako ni kumuunga Mkono.
Kunyamazia uovu wa Kiongozi wako NI kumuunga Mkono yani kushiriki uovu huo.
Kunyamazia uovu wa Dini yako ati Kisa unaabudu katika Dini hiyo NI kushiriki katika uovu huo.
Kunyamazia maovu ya Chama Chako NI kumaanisha wewe nawe NI muovu NI vile umekosa nafasi.

Huwezi pata mabadiliko Kwa Watu wanaonyamazia maovu ya Watu waliokaribu yao.

Kikanuni, kuficha maovu ya my Mwingine NI kuficha maovu yako.
Kwamba Kwa vile nawe unamaovu basi huwezi semà maovu ya Mtu Mwingine kwani maovu Yao nayo yatawekwa wazi.

NI kwèli kîla Mtu anaubaya Fulani lakini ili ubaya wetu uondoke lazima tuamue kuwa Sasa ubaya Basi. HAKI íwe chaguo letu. Kwèli ituongoze. Upendo úwe Nguzo yetu. Na Maarifa yatushikilie.

Haya, unasikia oooh! Mimi nilikipigania Chama, sijui jina langu kûbwa, sijui nilikuweka Hapo. Ooh! Tulipigania Taífa sijui Baba yàngu alitumikia nchi. Sawa Kwa nini nawe usifanye Mema kama Mzee wako.
Au Kúpigania nchi au Chama ndîo íwe kisingizio cha kutaka kufanya maovu au uhalifu na usitake kuambiwa ukweli na kupewa HAKI yako?

Yàani usigusike Kwa maovu kisa ulipigania Chama sijui Taífa, au ati umetumikia nafasi Fulani kûbwa. Hiyo siô Haki.

Ûtawala Bora hauwezi ikaja kwèñye nchi hii kama Watu watakuwa na mtazamo wa Mawe mawili ya kupimia.
Yàani huyu NI CCM mwenzao wanam-treat tofauti na asiye CCM Kwa Jambo lilelile. Au huyu NI CHADEMA mwenzao wanam-treat tofauti na asiye CHADEMA Kwa Jambo lilelile.
Huo NI umungu Mtu au umungu taasisi.

Tunahitaji usalama wa Taífa ambao hawana Mawe mawili ya kupimia.
Tunahitaji JWTZ na Polisi na Vyombo vyote vya Dola àmbavyo vinatenda HAKI.
Tunahitaji viongozi wa Dini na wakisiasa àmbao ukweli na Haki hawamung'unyi maneno.
Tunahitaji mawakili, majaji na mahakimu wanaopenda Haki na kuitenda.

Tunahitaji Wazazi àmbao ni waadilifu WANAOPENDA Haki na kuitenda.
Mambo ya Mzazi hakosei dhana ya kishetani na umungu Mtu. Na hiyohiyo ndîo imekua na kufikia level ya kitaifa kuwa ukiwa Kiongozi hukosei na hupaswi kuambiwa ukweli. Hizô Fikra za kidhulma.

Mfumo huo siô salama hata kidôgo Kwa sababu ni mfumo wa kishetani (kihalifu).
Anatekwa au anauawa Mtu Kwa vile siô Mtoto wako unakaa kimya. Anadhulumiwa Mtu Mwingine Kwa vile Huna uhûsiano naye unakaa kimya. Tafsiri yake nawe ni mdhulumaji.

Kama Taífa tunahitaji matengenezo. Ûtawala Bora NI pàmoja na kutokuwa na mawe mawili ya kupimia.

Nawatakia maandalizi mema ya Sabato

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam

Tunasimama na TAL:

Mbowe ajiuzulu mara moja kama Mwenyekiti wa CHADEMA
 
Tlaatlaah Njoo huku kûna swali Lako
mapinduzi ni falsafa hususani katika uongozi wa vyama hususani CCM.

lakini pia ni dhana ya mabadiliko kutoka kwenye hali fulani, mathalani ya udhalimu kwenda kwenye ahueni...

actually,
chimbuko lake hasa nadhani ni katika kujikomboa kutoka kwenye utumwa ulokua umepambwa na ubaguzi, udhalimu, unyonyaji, na kujiweka huru, katika usawa, haki, kujitegemea n.k.

hata hivyo,
tafsiri huru kulingana na maoni, mtazamo na mazingira ya mtafsiri ni muhimu sana kuheshimiwa 🐒
 
mapinduzi ni falsafa hususani katika uongozi wa vyama hususani CCM.

lakini pia ni dhana ya mabadiliko kutoka kwenye hali fulani, mathalani ya udhalimu kwenda kwenye ahueni...

actually,
chimbuko lake hasa nadhani ni katika kujikomboa kutoka kwenye utumwa ulokua umepambwa na ubaguzi, udhalimu, unyonyaji, na kujiweka huru, katika usawa, haki, kujitegemea n.k.

hata hivyo,
tafsiri huru kulingana na maoni, mtazamo na mazingira ya mtafsiri ni muhimu sana kuheshimiwa 🐒

Vizuri.
 
katika siasa, Mbowe ni zaidi ya TAL

Katika Angle Ipi?

Unajua hata hivi Leo ukipiga Kura humu JF Kwa weñye iD fake LISU anaushawishi kuliko Mbowe.
Unajua ni Kwa nini?

Mbowe ni Kiongozi mzuri Kwa sababu ya utulivu wake wa kimaamuzi.
Sio Mkali Sana na Msimamo wake ni ule wa Kawaida.
Tofauti na LISU àmbaye NI aina ya Watu weñye Msimamo Mkali Jambo ambalo linaweza kumfanya asifanye maamuzi Kwa utulivu

kiuongozi kama ningeambiwa niwapange Mbowe na LISU Kwa cheo Basi Mbowe angepaswa awe Rais alafu LISU awe Waziri Mkuu. Ili LISU apate wa kumfunga speedGoverner.

Lisu na Magufuli wanafanana Kwa namna Fulani hasa ya Ukali na kuwa very strictly
 
wake up call kwa chama chake kurekebisha nyufa? zipi?
Kwan yeye ni nani kwenye hicho chama ?

nani huyo aliefanya kosa ili aweze kupewa nafasi ya pili kujisahihisha?🐒

hili limesemwa sana lakini linapuuzwa na washupaza shingo chamani hapo.

fukuto na vita baridi baina ya chairman na vice chairman pale chadema will end up with political casualties miongni mwa waandamizi na wanachama, kama hatua muhimu na muafaka za makusudi zisipochukuliwa mapema kutuliza mambo na hali ya joto la siasa ndani ya chama isiyo na afya kwa ustawi wa demokrasia nchini...

mpaka sasa mgawanyiko na mpasuko ni dhahiri na mkubwa sana, kuna wako wanachama wanaunga mkono upande wa vice chairman ikiwa ni pamoja na wewe ndugu mtoa hoja, lakini pia wako wanaomuunga mkono chairman,

lakini wako wale ambao hawajachagua upande, ni wanyonge na wapweke sana, wapo kama yatima wana shangaa shangaa tu na hawajui la kufanya, baadhi yao wameanza kutimkia vyama vingine, na wengine wanatafakari cha kufanya..

vice chairman ameonyesha udhaifu mkubwa sana kiuongozi kama sio amechoka kuishi chadema na sasa ameamua kuihujumu tu,

ni kama vile yeye ni kiongozi wa nje ya chama, asie na uwezo wa kushauri, kuagiza na kupendeza kusitisha vikao vya ndani ya chama na kupendeza hatua za kuchukua dhidi ya yale ambayo ameona si sawa, mfano rushwa ndani ya chama chake n.k

ni kama vile lisu anamuogopa na kumuonea aibu chairman wake 🐒
Mimi nataka CHADEMA isambaratike tu maana ni chama kisicho na msaada wowote ule katika ustawi wa demokrasia hapa nchini..kazi yake kubwa ni kuzusha uongo uongo, uchonganishi,undumila kuwili, unafiki,kudandia matukio badala ya kuwa na sera na ajenda za kueleweka na kugusa maisha ya watanzania.

CHADEMA acha ife na kupasuka pasuka tu.
 
Mimi nataka CHADEMA isambaratike tu maana ni chama kisicho na msaada wowote ule katika ustawi wa demokrasia hapa nchini..kazi yake kubwa ni kuzusha uongo uongo, uchonganishi,undumila kuwili, unafiki,kudandia matukio badala ya kuwa na sera na ajenda za kueleweka na kugusa maisha ya watanzania.

CHADEMA acha ife na kupasuka pasuka tu.

Hauko peke yako, CCM na hata wale wengine; tangu lini mlifurahia Lissu kuwa hai?
 
TUNDU LISU YUPO SAHIHI, TUNAPINGA UMUNGU MTU NDÀNI YA VYAMA VYETU SIÔ CHADEMA TUU BALI HATA CCM.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Watu aina ya LISSU wàpo vyama vyote sio CHADEMA tuu, wàpo Mpaka CCM na vyama vingine vidogo.

Ndàni ya nchi yetu kûna tatizo la umungu Mtu, umungu taasisi, Jambo ambalo ni baya Kwa Taífa.

Sisi Watibeli tunatumia Kanuni isemayo, usitumie Mawe mawili kupimia. Kwa sababu hiyo siô HAKI

Siô Kwa sababu wewe NI CHADEMA unayepinga ufisadi au Rushwa au Jambo lolote ovu Kwa Wengine lakini CHADEMA wakifanya hivyo ati ukae kimya Kisa NI wenzako au ndugu zako wamefanya hayo. Huo NI ushetani. Hiyo siô HAKI.

Kipimo unachotumia kuwapimia Wengine kwèñye maovu tumia kipimo hichohicho kujipimia wewe mwenyewe Siku ukifanya Kosa hilohilo.

Unafiki ni Sifa ya Walaghai, waongo, matapeli na Mashetani.

Lisu yupo Sahihi Kabisa, na Sisi Watibeli tunamuunga Mkono. Watu wa Haki na kweli waliopo CCM, CHADEMA, ACT na vyama vingine wote tunamuunga Mkono.

Sisi siô wale ambao tunaacha kutenda Haki au kusema Ukweli Kwa sababu ya kumnyenyekea Mtu Fulani Kisa atupe cheo au wadhfa fulani.

Íwe ni Mzazi, íwe ni Mtoto, íwe ni Mimi, íwe ni Mfalme, íwe NI Rais, íwe ni Kiongozi wa Dini, íwe NI mtu yeyote Yule lazima aambiwe ukweli kama anakosea, lazima Haki itendeke.

Kitendo cha kushindwa kusema kweli na kutenda Haki kisa Fulani ni Mzazi wako, au NI ndugu yako, au NI wewe au Mimi, au NI Kiongozi wako WA kidini au wakisiasa au Kiongozi yeyote NI dalili ya Kuwa wewe hufai Kuongoza Wengine, wewe sio muadilifu.

Imekuwa desturi ndàni ya nchi yetu na nafikiri nchi nyingi Duniani. Unakuta Mwanaccm anauwezo WA kuongea ukweli wa Mabaya ya Watu Wengine yani maovu ya vyama vingine lakini maovu ya Chama chake hawezi. Huo ni UNAFIKI na siô uadilifu hata kidôgo.

Hivyohivyo Kwa CHADEMA waô Kwao NI Sawa wakitamka Rushwa za Wengine, lakini akitokea Mtu ndàni ya Chama Chao akitamka uozo wa Chama chake anaonekana Mbaya. Hii ni nini ndugu zanguni.

Kama Taífa tunahitaji matengenezo Makubwa Sana ya Mtu mmojammoja, matengenezo ya kifamilia, matengenezo ya taasisi za Umma na Taífa Kwa ujumla.

Kunyamazia uovu wa Baba au Mama yako ni kumuunga Mkono. Kunyamazia uovu wa Kiongozi wako NI kumuunga Mkono yani kushiriki uovu huo. Kunyamazia uovu wa Dini yako ati Kisa unaabudu katika Dini hiyo NI kushiriki katika uovu huo. Kunyamazia maovu ya Chama Chako NI kumaanisha wewe nawe NI muovu NI vile umekosa nafasi.

Huwezi pata mabadiliko Kwa Watu wanaonyamazia maovu ya Watu waliokaribu yao.

Kikanuni, kuficha maovu ya my Mwingine NI kuficha maovu yako. Kwamba Kwa vile nawe unamaovu basi huwezi semà maovu ya Mtu Mwingine kwani maovu Yao nayo yatawekwa wazi.

NI kwèli kîla Mtu anaubaya Fulani lakini ili ubaya wetu uondoke lazima tuamue kuwa Sasa ubaya Basi. HAKI íwe chaguo letu. Kwèli ituongoze. Upendo úwe Nguzo yetu. Na Maarifa yatushikilie.

Haya, unasikia oooh! Mimi nilikipigania Chama, sijui jina langu kûbwa, sijui nilikuweka Hapo. Ooh! Tulipigania Taífa sijui Baba yàngu alitumikia nchi. Sawa Kwa nini nawe usifanye Mema kama Mzee wako. Au Kúpigania nchi au Chama ndîo íwe kisingizio cha kutaka kufanya maovu au uhalifu na usitake kuambiwa ukweli na kupewa HAKI yako?

Yàani usigusike Kwa maovu kisa ulipigania Chama sijui Taífa, au ati umetumikia nafasi Fulani kûbwa. Hiyo siô Haki.

Ûtawala Bora hauwezi ikaja kwèñye nchi hii kama Watu watakuwa na mtazamo wa Mawe mawili ya kupimia.
Yàani huyu NI CCM mwenzao wanam-treat tofauti na asiye CCM Kwa Jambo lilelile. Au huyu NI CHADEMA mwenzao wanam-treat tofauti na asiye CHADEMA Kwa Jambo lilelile. Huo NI umungu Mtu au umungu taasisi.

Tunahitaji usalama wa Taífa ambao hawana Mawe mawili ya kupimia. Tunahitaji JWTZ na Polisi na Vyombo vyote vya Dola àmbavyo vinatenda HAKI. Tunahitaji viongozi wa Dini na wakisiasa àmbao ukweli na Haki hawamung'unyi maneno. Tunahitaji mawakili, majaji na mahakimu wanaopenda Haki na kuitenda.

Tunahitaji Wazazi àmbao ni waadilifu WANAOPENDA Haki na kuitenda. Mambo ya Mzazi hakosei dhana ya kishetani na umungu Mtu. Na hiyohiyo ndîo imekua na kufikia level ya kitaifa kuwa ukiwa Kiongozi hukosei na hupaswi kuambiwa ukweli. Hizô Fikra za kidhulma.

Mfumo huo siô salama hata kidôgo Kwa sababu ni mfumo wa kishetani (kihalifu). Anatekwa au anauawa Mtu Kwa vile siô Mtoto wako unakaa kimya. Anadhulumiwa Mtu Mwingine Kwa vile Huna uhûsiano naye unakaa kimya. Tafsiri yake nawe ni mdhulumaji.

Kama Taífa tunahitaji matengenezo. Ûtawala Bora NI pàmoja na kutokuwa na mawe mawili ya kupimia.

Nawatakia maandalizi mema ya Sabato

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam.

Pia soma=> Lissu: CHADEMA ikiondoka kwenye misingi iliyonifanya nijiunge nacho, nitaondoka. CHADEMA siyo mama yangu wala dini yangu

Ungeweka na kile original alichokisema Tundu Lissu huko space wakati akihojiana na wale jamaa waliokuwa wanamuuliza maswali, basi utagundua kuwa uchambuzi wako uko nje kwa 95% kumhusu TL na alichokisema..

Nilifuatilia mjadala/mahojiano hayo mwanzo mwisho. Wale jamaa walikuwa wanauliza swali hili moja tu muda mrefu kwa kurudiarudia ili mradi aseme;

1. Ana ugomvi na Freeman Mbowe M/Kiti wake (hoja ambayo alishaitolea maelezo mara kibao akihojiwa na TV mbalimbali, kwenye mikutano yake nk kwa uwazi kabisa kuwa hana ugomvi wala mgogoro wowote na mwenyekiti wake isipokuwa kutofautiana ktk mitizamo ambako kuko kila mahali palipo na watu wawili au zaidi..)

2. Na kwa sababu hiyo ☝🏻☝🏻, ktk namna ya kurudiarudia swali hilo pengine walitaka aseme kuwa yuko tayari kutoka CHADEMA na kwenda kwingine hususani CCM kitu hawakukipata toka kwake..

Baada ya kuwachoka na swali lao la kujirudia rudia, ndipo akiwa na hasira kidogo na mfadhaiko ndani yake, akaanza kuwapa elimu na historia yake kisiasa pamoja na historia yote kwa ujumla akiwatumia kina, Hayati Oscar Kambona, Julius K. Nyerere na kauli yake maarufu ya;

"....CCM sio mama yangu, ikitoka ktk misingi yake ninaachana nayo......."

Aidha aliendelea kuwapa elimu vijana wale kwa kuwaambia kuwa, vyama vya siasa ni taasisi za kihiari. Mtu hujiunga kwa hiari na anaweza kutoka kwa hiari yake, kwa kufukuzwa kwa kufuata taratibu halali au kuondolewa kwa mizengwe. Yote haya yapo na yanatokea ktk vyama vya siasa..

Akasema pia kwamba, yeye Tundu Lissu alijiunga CHADEMA miaka 20 iliyopita kwa kuvutiwa na misingi ya kuanzishwa kwake..

Na kama CHADEMA itatoka ktk misingi hiyo, basi anakubaliana 100% na Baba wa taifa Hayati Mwl. J. K. Nyerere kuwa chama cha siasa (cha kwake ni CHADEMA) si dini na wala si mama yake, anaweza kuachana nacho kwa sababu ya kutoka ktk msingi wa kuanzishwa kwake na yeye kujiunga nacho. Hoja ya "MIUNGU WATU" ni yako haikutoka kwenye kinywa cha Tundu Lissu na ndiyo maana huna ushahidi huo wa aidha video au sauti tu akitamka hivyo..

Shida ya wale vijana waliokuwa wakihojiana na Tundu Lissu ni moja..

Hawakumuuliza swali moja muhimu sana Tundu Lissu baada ya kusema kuwa;

".....Siku CHADEMA ikitoka ktk misingi na itikadi yake, atatoka kwa kuwa CHADEMA siyo dini ya Mungu wala si mama yake...".

Swali hilo lilipaswa kuwa;

"...Vipi Mh. Tundu Lissu unadhani kwa sasa CHADEMA bado imesimama ktk misingi ya kuanzishwa kwake...?"

Namna ambavyo angejibu swali hili, basi wangeweza kuwa na hitimisho zuri sana ya aidha atatoka kesho au leo na wana mgogoro na mwenyekiti wake au la. Na kwa jinsi Tundu Lissu alivyo honest and genuine bila woga wala hofu, wala asungemung'unya maneno, anggesema hapohapo kwa uwazi na mchana kweupe kwamba ameichoka CHADEMA au la, kuna Mungu mtu au la...

Lakini hawa waswahili wakapitwa na fursa hiyo muhimu sana na badala yake wanaanzisha majungu na uzushi tu..

Na watu kama wewe Robert Heriel Mtibeli wajuvi wa kucheza na lugha ni rahisi kuwa - manipulate watu kwa uongo...

Lakini kiukweli hata wewe ni walewale, tatizo lako ni Freeman Mbowe. Huyu ndiye unayem - label kama "Mungu mtu" ukweli ukiwa ni ZERO. Na kuhalalisha hoja yako ukaingiza na CCM ndani yake..
 
Back
Top Bottom