Uchaguzi 2020 Tundu Lissu yupo tayari kwa urais wa Tanzania, hatanii

Huyu atatuvuruga tu watz, atulie kwanza akue kisiasa. Bado anamijihasira na hakika hata hiyo baadae akiupata uraisi nchi itazama ktk wimbi la udini na ukabila.
 
Huyo mropokaji aendelee kujifurahisha
Watu wanakuja kwenye mkutano wako na mabango ya kukusifu Kisha unawaambia yapelekeni vitandani kwenu myatandike mlalie na wake zenu'' ccm wanapigia makofi na vigeregere kauli hiyo" kwa akili hizi nakuelewa sana unapomuita Lissu mlopokaji maana nahakika huwa humuelewi
 
Mkuu Nyerere hakuwahi kuwa mungu wa Tanzania Wala nchi yoyote.ni ujinga wa kiwango Cha juu kabisa kuamini kuwa Nyerere hakuwahi kufanya makosa au kuamini kuwa utetezi wa mtei au mtu mwingine yoyote yule ndo kidhibitisho kuwa Nyerere hajawahi kufanya makosa
 
Lissu The Greatest
 
Wanao kimbilia huo utetezi wamefirisika kisiasa na wamekosa hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…