Utakatifu na haki
Member
- Jun 17, 2020
- 75
- 268
Niko kwenye jimbo la Ccm tunatumia visima vya kuchimba wenyeweHabari wangu?
Hivyi ulisikia wapi, Mtu anaomba kura kwa vitisho?? Wanatunduma wameishi miaka 60 bila Maji alafu Leo wanatishwa eti wasipomchagua silinde, hawatapata Maji! Who is silinde by the way????? Sisi ni watu wazima, huwezi kutupangia cha kufanya, ww subiri tu tarehe 28!!
SEMA WEWE NA FAMILIA YAKO MNAOSHINDA NA KULALA HUKO VIJIWENI. LAKINI SISI WENYEFAMILIA NA TAASISI HAPA TUNDUMA, KURA ZETU NI CCM KWAKUWA MAJI NI MUHIMU SAANA.Habari wangu?
Hivyi ulisikia wapi, Mtu anaomba kura kwa vitisho?? Wanatunduma wameishi miaka 60 bila Maji alafu Leo wanatishwa eti wasipomchagua silinde, hawatapata Maji! Who is silinde by the way????? Sisi ni watu wazima, huwezi kutupangia cha kufanya, ww subiri tu tarehe 28!!
Habari wangu?
Hivyi ulisikia wapi, Mtu anaomba kura kwa vitisho?? Wanatunduma wameishi miaka 60 bila Maji alafu Leo wanatishwa eti wasipomchagua silinde, hawatapata Maji! Who is silinde by the way????? Sisi ni watu wazima, huwezi kutupangia cha kufanya, ww subiri tu tarehe 28!!
Kwan siku zote mlikosa maji kwa ajili ya nani? Kwel hii akili kisodaTukose maji kwaajili yako bambav Silinde oyee
Hamtaki wewe na nani? We jisemee hutaki kisha usubiri tarehe 28 Oktoba kama kuna wanaokuunga mkono kukataa maji na kichagua ushoga.Habari wangu?
Hivyi ulisikia wapi, Mtu anaomba kura kwa vitisho?? Wanatunduma wameishi miaka 60 bila Maji alafu Leo wanatishwa eti wasipomchagua silinde, hawatapata Maji! Who is silinde by the way????? Sisi ni watu wazima, huwezi kutupangia cha kufanya, ww subiri tu tarehe 28!!
Kwan siku zote mlikosa maji kwa ajili ya nani? Kwel hii akili kisoda
Nani kakwambia mamlaka hayapo kwenu. Muanze na kurudisha mamlaka kwa wananchama wa Chadema kwanza kwani mamlaka sasa hivi yapo kwa mwenye chama Mbowe. Mkiweza hilo na kubadili katiba ya chama chenu ndio mfikirie kubadili katiba ya nchi.Kura kwa vitisho, duh!! Chukueni hatua wana Tunduma na Tanzania nzima.
Utawala Bora wa nchi yenu lazima uanze kwa katiba mpya ili mamlaka yarudi kwenu wananchi.
Wakati wa ukombozi wenu ni sasa!!
Kwa nini hamkupeleka maji kwa miaka 60 iliyopita tangu tupate uhuru leo mje na vitisho kwa wapiga kura?SEMA WEWE NA FAMILIA YAKO MNAOSHINDA NA KULALA HUKO VIJIWENI. LAKINI SISI WENYEFAMILIA NA TAASISI HAPA TUNDUMA, KURA ZETU NI CCM KWAKUWA MAJI NI MUHIMU SAANA.
Mkuu acha kupotosha umma wanaohangaika kwa ukosefu wa maji na akina mama wanao amuka sa8 za usiku kwenda kuteka maji siyo wewe mhuni unaeamkia vijiweni kupiga porojo.
Acha wananchi Tuchague maendeleo hivyo vyama vyenu msituhusishe navyo.
Acha uongo kwani mda wote wantunduma hatunywi majiii??Kwa nini hamkupeleka maji kwa miaka 60 iliyopita tangu tupate uhuru leo mje na vitisho kwa wapiga kura?
Wananchi wa Mbeya Ni akili kubwa. Hawawezi kuchagua wakoloni sababu ya majiMkuu acha kupotosha umma wanaohangaika kwa ukosefu wa maji na akina mama wanao amuka sa8 za usiku kwenda kuteka maji siyo wewe mhuni unaeamkia vijiweni kupiga porojo.
Acha wananchi Tuchague maendeleo hivyo vyama vyenu msituhusishe navyo.
Jiulize wewe uliyesema kwenu maji ni muhimu ina maana miaka yote hakujua kama maji ni ya muhimu hadi jiwe aje awatishe? Au wewe ndiyo kama jiwe akili kama👇Acha uongo kwani mda wote wantunduma hatunywi majiii??
Tumewakataa ccm na mambo yao yote kuanzia sasa.Kura kwa vitisho, duh!! Chukueni hatua wana Tunduma na Tanzania nzima.
Utawala Bora wa nchi yenu lazima uanze kwa katiba mpya ili mamlaka yarudi kwenu wananchi.
Wakati wa ukombozi wenu ni sasa!!