naiman64
JF-Expert Member
- Nov 22, 2013
- 6,961
- 5,460
Mchagueni huyu kibaraka wa wenzenu halafu awaletee majimbo ndio mtajua uchaguzi haujaribiwiTumewakataa ccm na mambo yao yote kuanzia sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchagueni huyu kibaraka wa wenzenu halafu awaletee majimbo ndio mtajua uchaguzi haujaribiwiTumewakataa ccm na mambo yao yote kuanzia sasa.
Mbona Jiwe kibaraka wa Kagame?Mchagueni huyu kibaraka wa wenzenu halafu awaletee majimbo ndio mtajua uchaguzi haujaribiwi
Una mwambia sema WEWE halafu hapo hapo wewe unaridia kusema SISI sasa hii ni akili au funza kichwani??SEMA WEWE NA FAMILIA YAKO MNAOSHINDA NA KULALA HUKO VIJIWENI. LAKINI SISI WENYEFAMILIA NA TAASISI HAPA TUNDUMA, KURA ZETU NI CCM KWAKUWA MAJI NI MUHIMU SAANA.
Uchaguzi haujaribiwi.... manake unataka ccm itawale milele? Nchi zote zinazotuzunguka walishaondokana na vyama vya kale wana vyama vipya.Mchagueni huyu kibaraka wa wenzenu halafu awaletee majimbo ndio mtajua uchaguzi haujaribiwi
Mimi nashangaa Tunduma kuna matajiri wengi tuu wanashindwa kuchimba visima vikubwa na kuwauzia wenzao? Kule Moshi kuna vijiji unakuta tajiri kachimba kitaalamu kabisa kisima kikubwa kaweka matenki na distribution pipes na watu wanavuta maji na kuwekewa mita, kila mtu ana maji nyumbani kwake. Siyo lazima kumsubiria eti serikali itawaletea maji kwa staili hii ya kubaguana kichama.Kura kwa vitisho, duh!! Chukueni hatua wana Tunduma na Tanzania nzima.
Utawala Bora wa nchi yenu lazima uanze kwa katiba mpya ili mamlaka yarudi kwenu wananchi.
Wakati wa ukombozi wenu ni sasa!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Eti ushoga. Unaweza kukuta unashikishwa ukuta daily....Hamtaki wewe na nani? We jisemee hutaki kisha usubiri tarehe 28 Oktoba kama kuna wanaokuunga mkono kukataa maji na kichagua ushoga.
Kwahiyo tangu mwaka 1961 hujapewa maji uje upewe Leo miaka 5 na chama hichi hichi cha makatili ccmSEMA WEWE NA FAMILIA YAKO MNAOSHINDA NA KULALA HUKO VIJIWENI. LAKINI SISI WENYEFAMILIA NA TAASISI HAPA TUNDUMA, KURA ZETU NI CCM KWAKUWA MAJI NI MUHIMU SAANA.
Hahahahahhaa USHAWASHITUKIIA WAZEE WA FARAGHA KUWA NI WAHUNISEMA WEWE NA FAMILIA YAKO MNAOSHINDA NA KULALA HUKO VIJIWENI. LAKINI SISI WENYEFAMILIA NA TAASISI HAPA TUNDUMA, KURA ZETU NI CCM KWAKUWA MAJI NI MUHIMU SAANA.
CCM OYEEEEEE!Habari wangu?
Hivyi ulisikia wapi, Mtu anaomba kura kwa vitisho?? Wanatunduma wameishi miaka 60 bila Maji alafu Leo wanatishwa eti wasipomchagua silinde, hawatapata Maji! Who is silinde by the way????? Sisi ni watu wazima, huwezi kutupangia cha kufanya, ww subiri tu tarehe 28!!
.mkuu kama miaka yoote hiyo hawajaleta maji, iweje leo ile vitisho? kwahiyo unaafiki kwamba kwenye majimbo yote ya CCM mambo ni safi kwa wananchi wote?
.Wananchi wa Mbeya Ni akili kubwa. Hawawezi kuchagua wakoloni sababu ya maji
Hivyo umeuza kura kwa maji?? Maendeleo ni haki yako huwezi kuyanunua kwa rushwa wacha ujjnga weeeSEMA WEWE NA FAMILIA YAKO MNAOSHINDA NA KULALA HUKO VIJIWENI. LAKINI SISI WENYEFAMILIA NA TAASISI HAPA TUNDUMA, KURA ZETU NI CCM KWAKUWA MAJI NI MUHIMU SAANA.
Maendeleo ni haki yako ya msingi ya maji safi inatengenezwa kwa Kodi yako magu hana uwezo wa kutoa hela mfukoni mwake ameshawapima km hamna uelewa wowote wa haki zenu ndio maana ana wakazia hutuba km hii huwez ukaisikia Nchi Kama Kenya mtaji wa CCM ni nyinyi mambumbu juu wa uelewa wa haki zenuMkuu acha kupotosha umma wanaohangaika kwa ukosefu wa maji na akina mama wanao amuka sa8 za usiku kwenda kuteka maji siyo wewe mhuni unaeamkia vijiweni kupiga porojo.
Acha wananchi Tuchague maendeleo hivyo vyama vyenu msituhusishe navyo.
Huna loloteHivyo umeuza kura kwa maji?? Maendeleo ni haki yako huwezi kuyanunua kwa rushwa wacha ujjnga weee
Matusi yenu tayari yameshamgarimu jamaa yenuu mzee wa kiki. Endeleenii mkizidiwa hojaa mnalipua matusii.Una mwambia sema WEWE halafu hapo hapo wewe unaridia kusema SISI sasa hii ni akili au funza kichwani??
Wewe kula kulala utajua nini? Kila kitu unasubiri wazazi wako walete!?Habari wangu?
Hivyi ulisikia wapi, Mtu anaomba kura kwa vitisho?? Wanatunduma wameishi miaka 60 bila Maji alafu Leo wanatishwa eti wasipomchagua silinde, hawatapata Maji! Who is silinde by the way????? Sisi ni watu wazima, huwezi kutupangia cha kufanya, ww subiri tu tarehe 28!!