Uchaguzi 2020 Tunduma hatutaki maji yenu! Kura zetu ni CHADEMA!

Uchaguzi 2020 Tunduma hatutaki maji yenu! Kura zetu ni CHADEMA!

Wajinga nyie mnataka mturudishe zama za kale.Huu mwendo ni mdundo tu wezi nyie na tutashinda kwa kishindo.Huyu huyi Silinde si ndiye mlikuwa mnamchagua.Tunawarudishia na lazima ashinde pumbav kabisa
Pambana na maisha yako mbwa wewe mwanasiasa hawezi badili chochote kwenye maisha yako.
 
Nani kakwambia mamlaka hayapo kwenu. Muanze na kurudisha mamlaka kwa wananchama wa Chadema kwanza kwani mamlaka sasa hivi yapo kwa mwenye chama Mbowe. Mkiweza hilo na kubadili katiba ya chama chenu ndio mfikirie kubadili katiba ya nchi.

Halimashauri mliiongoza sasa mlishindwa nini kupeleka maji hapo Tunduma

We mpumbavu kumbe huna hata uwezo wa kuchambua mambo. Sikiliza tena hiyo clip ya Rais - “nimekwisha panga kuleta maji”. Anachomaanisha ni kila kitu hupangwa na yeye. Hukusikia akiwaambia Bunda barabara ilivuka jimbo lao kwa sababu walichagua upinzani??

Miradi ya maji ni ya wizara, sio halmashauri za wilaya!! Halmashauri hupewa pesa za miradi iliyoidhinishwa na serikali kuu. Kama Rais hataki mradi, hakuna kitakachofanyika.

Nimegundua ni kilaza/kiazi usiyejua mambo mengi yanafanyikaje bali unaongozwa na mihemuko au ushabiki.
 
Pambana na maisha yako mbwa wewe mwanasiasa hawezi badili chochote kwenye maisha yako.





Kama hawezi badili kwako mwanasiasa kitu basi kwako unavyomng'ania Lisu angalau anaweza akabadili hata condomu endelea mjinga.sisi huku mambo moto na Magu wetu haturudi nyuma na majirani wameanza kutuogopa
 
SEMA WEWE NA FAMILIA YAKO MNAOSHINDA NA KULALA HUKO VIJIWENI. LAKINI SISI WENYEFAMILIA NA TAASISI HAPA TUNDUMA, KURA ZETU NI CCM KWAKUWA MAJI NI MUHIMU SAANA.
Miaka 59 jimbo halina maji, inamaana jimbo limeongozwa na chadema miaka 59???? Ccm ni takataka hata walioichagua kwa miaka59 bado hawana maji
 
Mleta mada nakufahamu haupo tunduma unataka kuwasemea watu wa tunduma.
 
Habari wangu?
Hivyi ulisikia wapi, Mtu anaomba kura kwa vitisho?? Wanatunduma wameishi miaka 60 bila Maji alafu Leo wanatishwa eti wasipomchagua silinde, hawatapata Maji! Who is silinde by the way????? Sisi ni watu wazima, huwezi kutupangia cha kufanya, ww subiri tu tarehe 28!!
Hajitambui kabisa huyo. Anadhani ana hati miliki na nchi yetu. Sasa ni kutompigia kura. Na ole wake aibe kura. Hapatatosha.
 
Habari wangu?
Hivyi ulisikia wapi, Mtu anaomba kura kwa vitisho?? Wanatunduma wameishi miaka 60 bila Maji alafu Leo wanatishwa eti wasipomchagua silinde, hawatapata Maji! Who is silinde by the way????? Sisi ni watu wazima, huwezi kutupangia cha kufanya, ww subiri tu tarehe 28!!
Aulizwe geita kwao wana maji
 
kama uwanja wa ndege alipeleka chato,mbuga ya wanyama chato basi na MAJI APELEKE CHATO,TUNDUMA TUNA JAMBO LETU NA CHADEMA OCTOBA 28
 
SEMA WEWE NA FAMILIA YAKO MNAOSHINDA NA KULALA HUKO VIJIWENI. LAKINI SISI WENYEFAMILIA NA TAASISI HAPA TUNDUMA, KURA ZETU NI CCM KWAKUWA MAJI NI MUHIMU SAANA.

Miaka 60 bila maji aliyekuwa anatawala ni Clinton au ni CCM? Kweli uchawi Upo?
 
Habari wangu?
Hivyi ulisikia wapi, Mtu anaomba kura kwa vitisho?? Wanatunduma wameishi miaka 60 bila Maji alafu Leo wanatishwa eti wasipomchagua silinde, hawatapata Maji! Who is silinde by the way????? Sisi ni watu wazima, huwezi kutupangia cha kufanya, ww subiri tu tarehe 28!!
wewe si mwanatunduma,watu walishachoka na siasa za upinzani haujasaidia lolote,watu hawawezi kukosa kisa tukuchague wewe,bungeni unasusa susa
 
Maji ya masimango kama vile anatoa pesa yake mfukoni

sasa unataka akuletee maji wewe ambae hukumchagua? ulie mchagua means manifesto yake umeikubali basi dai alivyokuahidi! unataka umchague mbunge wa chadema alaf unataka utimiziwe yaliyo ahidiwa na ccm unaakili au matope
 
Asiwapangie cha kufanya

Yeye mwemyeo huwa hapendi kupangiwa vitu

So msipangiane [emoji1]
 
Miaka 60 bila maji aliyekuwa anatawala ni Clinton au ni CCM? Kweli uchawi Upo?
acha utapeli. Miaka 60 bila maji haiwezekanii. Labda ukoo wenu wote utakua marehem. Halafu ccm hatujatawala miaka 60. Uongo utawafikisha pabayaa
 
Back
Top Bottom