Tunduma ni mji wa kipekee. Mapigo yake ni kama Kariakoo

Tunduma ni mji wa kipekee. Mapigo yake ni kama Kariakoo

😄😄😄 Nimecheka Sana ulivyojibu Mkuu... Umejibu kibabe Sana na shoti endi kilia.... Nimefatilia huu uzi kuanzia mwanzo na jinsi ulivyokua mnyenyekevu kuomba konekisheni ili uende Tunduma ukapewa Kila kitu na kila mchongo mpaka kutafutiwa Loji. Ila kwenye ripoti ya matokeo Sasa.... Daaah🤣🤣🤣 Kibabe Sana mpwa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
😄😄😄 Nimecheka Sana ulivyojibu Mkuu... Umejibu kibabe Sana na shoti endi kilia.... Nimefatilia huu uzi kuanzia mwanzo na jinsi ulivyokua mnyenyekevu kuomba konekisheni ili uende Tunduma ukapewa Kila kitu na kila mchongo mpaka kutafutiwa Loji. Ila kwenye ripoti ya matokeo Sasa.... Daaah🤣🤣🤣 Kibabe Sana mpwa
😂😂😂 kwani nimezingua mkuu?
 
😄😄😄 Nimecheka Sana ulivyojibu Mkuu... Umejibu kibabe Sana na shoti endi kilia.... Nimefatilia huu uzi kuanzia mwanzo na jinsi ulivyokua mnyenyekevu kuomba konekisheni ili uende Tunduma ukapewa Kila kitu na kila mchongo mpaka kutafutiwa Loji. Ila kwenye ripoti ya matokeo Sasa.... Daaah🤣🤣🤣 Kibabe Sana mpwa
Aliyemtafutia wrnyeji no mimi
 
Mkuu tunasibiri Report ya Chunya , yule Dada wa kuuza pochi mlifika nae Salama kwenye Biashara?
Kwanza samahani mkuu naona ulinitxt pm lakini pm yangu haifunguki mda sasa, kuhusu yule dada niliuza nae vipochi one week tulikua tunachukulia soko la mwanjelwa kwenye duka la jamaa mmoja anaitwa shafii then tunaenda kuuzia makongorosi aisee ule mziki sio poa vumbi la makongolosi plus jua ni hatari, inafika jioni umeuza vipochi viwili nikaona sio nikakimbia😂😂
 
Mkuu hujanipa feedback , Mimi Jamaa yake Solo , aliyekytafutia lodge pale African?
Mkuu solo alinipa ushirikiano lakini sio kivile kwasababu hakukumbuka nilivyomuelezea kuhusu wewe jina lako hakulijua ila nilivyomuambia shabiki wa arsenal at least ikasaidia, alinipa ushirikiano wa kawaida wa kunipeleka lodge na kunionesha sehemu ya kula ila nilivyoanza kumdadisi issue za biashara pale tunduma kama alikua mzito hivi ndio maana nikaamua kuondoka kwenda chunya.
 
Huu uzi ilikuwa niuandike muda mrefu kwa mambo niliyojionea kwenye mji wa Tunduma. Kwa ambao hajawahi fika Tunduma wanaweza kudhani ni ka-mji kadogo ambacho kipokipo tu. Kwa sisi wa Arusha tulikuwa tunaamini Namanga ndo mji mkubwa zaidi wa mpakani kwa Tanzania kumbe kuna Tunduma.

Kinachonifanya niandike ni biashara kubwa iliyoko Tunduma. Ule mji wa mpakani kwa mjasiriamali mdogo ni sehemu sahihi ya kwenda kusoma ramani. Uchangamfu wake unaendana sana na Kkoo tofauti ikiwa ni ukubwa tu. Ila wafanyabiashara wa nguo Tunduma wanawezaje kuuza nguo za jumla kwa bei sawa na ya Kariakoo? Baadhi ya wafanyabiashara huuza bei chini hata kuliko Kariakoo. Kimahesabu imekaaje hii? Hata vitu vingine jamaa wako fair.

Kimsingi Tunduma ni boda kubwa zaido bongo yenye fursa nyingi sana.
Chai
 
Zile deal za Black market upande wapili nyuma ya frame za Viatu ule upande unazalisha sana Madoni Kila mwezi kwenye deal za:-
Vipodozi.
Vitenge.
Mafuta ya Kula.
Sukari.
Sigara .
Mbegu za Mahindi / Zamsed.
Mafazeti used kutoka Zimbabwe, South Africa.
USD ;- zinatoka Congo na unazipata upande wapili, Pombe za Viroba, na Pombe za vichupa vidogo wanauza Bei ya Tshs 1000/= na Viroba vinaanzia 250-500 maeneo ya Black na Iboya.
Kuna matajiri wanspiga Hela kwenye Biashara ya kubadilisha Fedha, yeye ana Supply fedha Kwa Vijana jioni anarudishiwa na Faida , Hao wanaitwa wenye Visima , mtu ana Supply hata billioni Moja Kwa Vijana wake 30 wanaokwenda kutafuta Dolla Hadi Congo.
Kuna Wababe kwenye Biashara ya Mafuta ya Petroleum kupeleka upande wa Zambia Kuna Yule Msomali wa Petroafrica mwenye upara aliwakamata sana wa Zambia.
Kuna Yule Tajiri wa Valentine Bar ya Pale Boarder na Valentine night club Jamaa anajimbiza sana kaanzia kwenye Bar Hadi kushika soko la Viatu Hadi Kumiliki Kusoma pale Kisimani.
Yupo Dubai Tyre Jamaa anakimbiza sana kwenye biashara ya Tyre Sasa amehamia kwenye Mafuta Bei zake za Tyre ni kama Dar es salaam. Yupo yule Manyanya ameshika biashara za maduka balaa pale Boarder piya yeye ndie amehamia kwenye vituo vya Mafuta, Wapo Hawa Jamaa wa Olympic petroleum anauza Mafuta Kwa wholesale Kwa Bei ya Depot'.
Mjii wa Tunduma una Bank zaidi ya Sita, Petrol Station zaidi ya Hamsini, lodge na Bar zimetapaka Kila baada ya nyumba mbili or tatu,
Yaani ule mji ni umechangamka kwelikweli.... Watu wanapiga biashara kwelikweli
 
Back
Top Bottom