AGROPRODUCT
JF-Expert Member
- Apr 2, 2023
- 290
- 952
Ukubwa wa sanduku la nguo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukubwa wa sanduku la nguo
Vipodozi vyenye Hela ndefu ni vile vilivyopigwa marufuku hapa Tanzania, kwahiyo watu wanaputisha Kwa magendoHapo tunduma kwann vipodozi vinapitishwa kimagendo au ushuru wa kuviingiza ni mkubwa au ni vile ambavyo havitakiwi
Unapanda gari Mpemba Tunduma then ukifika Mbeya ndio unapanda gari za Chunya makongorosi. Mbeya Tunduma Usafiri ni wmwinhi sana , unaweza kupata muda wowote ule,Mkuu kutoka hapo Hadi makongolosi Kuna umbali gani?niwewahi kukaa hapo machimboni
Kwa biashara ya vipodozi inatakiwa mtaji kuanzia shi ngapi?Unapanda gari Mpemba Tunduma then ukifika Mbeya ndio unapanda gari za Chunya makongorosi. Mbeya Tunduma Usafiri ni wmwinhi sana , unaweza kupata muda wowote ule,
Kumbuka kwanza hiyo biashara sio Halali, utakuwa unafanya Kwa magendo mtaji unaweza kutaifishwa na wewe kufungua. Ukijua Hilo ndio uanze kujuwa mtaji unaohitajika sio tu wa kununulia mzigo wa vipodozi , Weka na budget ya kulindis huo mzigo ukiwa barabarani in case ukishikwa utoe Hela faster uachiweKwa biashara ya vipodozi inatakiwa mtaji kuanzia shi ngapi?
Huu sio Mji wa kuishi Bali kufanya biashara na kuondoka.Huu uzi ilikuwa niuandike muda mrefu kwa mambo niliyojionea kwenye mji wa Tunduma. Kwa ambao hajawahi fika Tunduma wanaweza kudhani ni ka-mji kadogo ambacho kipokipo tu. Kwa sisi wa Arusha tulikuwa tunaamini Namanga ndo mji mkubwa zaidi wa mpakani kwa Tanzania kumbe kuna Tunduma.
Kinachonifanya niandike ni biashara kubwa iliyoko Tunduma. Ule mji wa mpakani kwa mjasiriamali mdogo ni sehemu sahihi ya kwenda kusoma ramani. Uchangamfu wake unaendana sana na Kkoo tofauti ikiwa ni ukubwa tu. Ila wafanyabiashara wa nguo Tunduma wanawezaje kuuza nguo za jumla kwa bei sawa na ya Kariakoo? Baadhi ya wafanyabiashara huuza bei chini hata kuliko Kariakoo. Kimahesabu imekaaje hii? Hata vitu vingine jamaa wako fair.
Kimsingi Tunduma ni boda kubwa zaido bongo yenye fursa nyingi sana.
Poa mkuu , utatupa mrejeshoWakuu kumekucha tunduma hapa mishe kama zote tupeane michongo basi kwa wenyeji naona mnakaza[emoji3] ila mji unamishemishe sijawahi ona kama kariakoo vile, now naenda chunya makongolosi kupaangalia pia jioni nitarudi tunduma mjini fursa nitakazoziona huko nitawaambia wakuu.
Mrejesho mkuu ,kwema ?Sijajua bado mkuu ndio kwanza nipo njiani naelekea huko labda nikifika naweza kukuambia.
Hivo ni vile vilivyopigwa marufuku , Kwa hapa TanzaniaHapo tunduma kwann vipodozi vinapitishwa kimagendo au ushuru wa kuviingiza ni mkubwa au ni vile ambavyo havitakiwi
Mkuu tupe update. Hata kama mambo ni magumu. Labda tutakuchangia. Buku buku zetu.Sijajua bado mkuu ndio kwanza nipo njiani naelekea huko labda nikifika naweza kukuambia.
Huko nishatoka kitambo mkuuMkuu tupe update. Hata kama mambo ni magumu. Labda tutakuchangia. Buku buku zetu.
Mkuu AGROPRODUCT hongera kwako! Unaijua vizuri Tunduma, "boda la wajanja". Na husiti kusambaza upendo kwa wana.Maeneo tulivu ni Kuanzia Majengo mapya nyuma ya Gapco petrol station nenda ma huo upande Hadi mwisho wa Mji kuelekea Sumbawanga Road, piya Nyerere secondary , Msongwa, njia panda Msongwa Hilo eneo ndio Kali Kwa Tunduma. Piya jaribu Dampo pale jirani Kwa Furaha, Momba garage, Kwa mchaga wa Viatu, Kwa Mzee Joseph Baba mkwee wa Manyanya like eneo limetulia . Piya mtaa wa Manyanya nyuma ya kabisa la Roma hapo kwenye Rasta barabarani
Kutoka kivipi ? , Umetoka Tunduma ?Huko nishatoka kitambo mkuu
Nili kupm hukunijibu mkuuHuko nishatoka kitambo mkuu
Sipo tunduma kwa sasaKutoka kivipi ? , Umetoka Tunduma ?
Sorry mkuu, private sms hazifunguki kwangu sijui tatizo ni nini.Nili kupm hukunijibu mkuu
Vipi ramani zilisomeka pale Tunduma ?Sorry mkuu, private sms hazifunguki kwangu sijui tatizo ni nini.